Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,718
- 3,465
Ukishinda unaachiwa hata wakikata rufaa
Alikuwa na kesi nyingine Moshi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukishinda unaachiwa hata wakikata rufaa
Laptop-mpakato unabonyezwa kwa nyuma.Acha hiyo tabia hutoolewa.lazima atumie kiuno ili akufikishe we changu mzoefu wa Ohio
Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
It dependsDPP ni mpuuzi; acha aendelee kupoteza muda wake. Prosecution case ikikosewa kwenye trial phase ni hasara ya kudumu. Huwezi kushinda kwa kukataa rufaa!
Kama kile cha mama yako mzazi?Acha kuchungulia wazazi wako wanavyochgua machuya katika mchele.
It depends
Chuki ipo ww?Mbinu ile wameicheza vibaya na kijinga. Badala ya kuleta huruma kwa Sabaya imeongeza chuki kwa Raia dhidi ya serikali.
Atatoka, but sio leo au kesho maana atasota sana sio chini ya miaka 5 ya nenda rudi mahakamani akitokea jela.
Si kwa mahakama za Tz zinaweza kukufanya lolote kwa loloteUkiona Serikali ya Tanzania inashindwa kesi, ujue hiyo kesi ni mbovu kupindukia; ni mbovu kiasi kwamba mahakama imekosa kisingizio chochote kile cha kuwa upande mmoja na Serikali.
huyu hata uraiani kwake si salamaItakuwa vizuri kabisa huyu kufungwa. Na iwe fundisho kwa mwengine??
Kiswahili gani hiki??Unakata rufaa kwenye hamna ili iweje? Jambazi gani anatumia Vx la serikali kuvamia mchana?
View attachment 2267218
Hii ndio taarifa ya leo iliyoripotiwa na gazeti la Raia Mwema , ni kwamba DPP ameamua kukata rufaa kwa ile kesi ya kwanza iliyowashangaza wengi ambayo pamoja na Sabaya kufungwa miaka 30 Jela , lakini aliachiwa huru katika mazingira ya kutatanisha , baada ya kukata rufaa na kushinda .
Tuendelee kutega sikio kwa yatakayojili ili kujionea Haki ikitendeka .
View attachment 2267336
KILA UBAYA UTALIPWA
Raha yetu ni jambazi kulala uku likinyea ndoo, JPM alimlinda jambazi sana huyu jambazi, naye tunamuombea aendelee kuchomwa na moto wa mileleDPP ni mpuuzi; acha aendelee kupoteza muda wake. Prosecution case ikikosewa kwenye trial phase ni hasara ya kudumu. Huwezi kushinda kwa kukataa rufaa!
We boya nini, kwan wadhan cc hatulijui hilo?? Hata akitoka, raha yetu ni mateso anayoyapata kwa sasa kwan aliwafanyia ivyo pia raia wemaSarakasi tu hizo uyo atatoka mapema
Raha yetu ni jambazi kulala uku likinyea ndoo, JPM alimlinda jambazi sana huyu jambazi, naye tunamuombea aendelee kuchomwa na moto wa milele
Katibu wa ccm Hai Ana sifa tofauti na waccm ninaowafahamu:-Ameumiza watu wengi sana..
You are uncircumcised baboonWe boya nini, kwan wadhan cc hatulijui hilo?? Hata akitoka, raha yetu ni mateso anayoyapata kwa sasa kwan aliwafanyia ivyo pia raia wema
Kunguni katika ubora wa kimataifa nimeipenda hii-- "Strategies" za kufuata maagizo! Hata mdhikiri uchi atahukumiwa na hizo mahakama za maagizo au mahakama za jamii iliyoumizwa! stay tuned!Wewe kenge, ushindi katika kesi sio swala la kutamani tu ushinde. Ushindi unapatikana kwa strategies. Hao mburura na hakimu mkazi ndio walioiharibu hiyo kesi. Kazi ya mahakama inayosikiliza rufaa ni kupitia tu yaliyojiri huko kwenye mahakama ya chini.
Huyo kama vipi wamuachie tu wahanga wake watamalizana naye kimila huku uraianiAmeumiza watu wengi sana..