Nimecheka Sana hii komenti ,,eti imetengeneza wamamaHamna kitu hapo, CCM wameshatengeneza wale wamama wanaolia mahakamani siku sio nyingi huyo Sabaya atakuwa huru, wanavuta muda tu ili kutuzubaisha.
He! Kwa hiyo huyu ndio Kamanda Asiyechoka ? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila anavutia!Huyu hapa
Bado ana kesi za Dar na Mwanza. Huyo kijana ana makosa mengi sana utadhani HitlerJenerali Sabaya analia Jela sio Picknic ni mateso,hakika maisha ni safari ndefu na kuna kupanda na kushuka, Jenerali leo anabadili Jela tu mara Kisongo mara Karanga na kuamrishwa kulala saa 9 alasiri,daaaah[emoji1787][emoji1787]
Mama Sabaya mbona una hasira sn best|?
Mmmmmgh sasa mbona makasiriko?
DPP ni mpuuzi; acha aendelee kupoteza muda wake. Prosecution case ikikosewa kwenye trial phase ni hasara ya kudumu. Huwezi kushinda kwa kukataa rufaa!
Hii ndio taarifa ya leo iliyoripotiwa na gazeti la Raia Mwema , ni kwamba DPP ameamua kukata rufaa kwa ile kesi ya kwanza iliyowashangaza wengi ambayo pamoja na Sabaya kufungwa miaka 30 Jela , lakini aliachiwa huru katika mazingira ya kutatanisha , baada ya kukata rufaa na kushinda .
Tuendelee kutega sikio kwa yatakayojili ili kujionea Haki ikitendeka .
View attachment 2267336
KILA UBAYA UTALIPWA
Unateseka ukiwa wapi mkuu? Hii inaitwa ubaya kwa ubaya.DPP ni mpuuzi; acha aendelee kupoteza muda wake. Prosecution case ikikosewa kwenye trial phase ni hasara ya kudumu. Huwezi kushinda kwa kukataa rufaa!
Sabaya aachiwe tu uraiani.DPP ni mpuuzi; acha aendelee kupoteza muda wake. Prosecution case ikikosewa kwenye trial phase ni hasara ya kudumu. Huwezi kushinda kwa kukataa rufaa!
lazima atumie kiuno ili akufikishe we changu mzoefu wa OhioUlitaka atumie baiskeli?Hivi weye shoga-mwandamizi kwa nini huwa unatumia kiuno kufikiri mambo?
wewe mbn unawashwa kwenye ki.ne..naHuwa ana tatizo la kuwashwa maeneo ya "kiunoni".Msamehe![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo sasa !..nashangaa Sabaya alishinda vipi rufani wakati alikiri kuwa alitenda, na akadai kuwa alitumwa na wakubwa zake.
Mwacheni avune alivhopanda alinyanyasa raia nae aonje joto kidogoHii ndio taarifa ya leo iliyoripotiwa na gazeti la Raia Mwema , ni kwamba DPP ameamua kukata rufaa kwa ile kesi ya kwanza iliyowashangaza wengi ambayo pamoja na Sabaya kufungwa miaka 30 Jela , lakini aliachiwa huru katika mazingira ya kutatanisha , baada ya kukata rufaa na kushinda .
Tuendelee kutega sikio kwa yatakayojili ili kujionea Haki ikitendeka .
View attachment 2267336
KILA UBAYA UTALIPWA
Kunywa maji walau glasi moja upunguze hasira.Kada wa Ccm baba yako
Iliaashangaza wengi kina nani? Tunajua kesi iliyowashangaza wengi ni ile ya kuachiwa kwa Gaidi Mbowe ktk mazingira yenye utataHii ndio taarifa ya leo iliyoripotiwa na gazeti la Raia Mwema , ni kwamba DPP ameamua kukata rufaa kwa ile kesi ya kwanza iliyowashangaza wengi ambayo pamoja na Sabaya kufungwa miaka 30 Jela , lakini aliachiwa huru katika mazingira ya kutatanisha , baada ya kukata rufaa na kushinda .
Tuendelee kutega sikio kwa yatakayojili ili kujionea Haki ikitendeka .
View attachment 2267336
KILA UBAYA UTALIPWA
Kunguni wewe damu za watu zimeozea tumboni bado unalia na hili jambazi litanyea ndoo tu!
Unateseka ukiwa wapi mkuu? Hii inaitwa ubaya kwa ubaya.
Wapo wengi sana wanafanya maovu na wanaishi raha mstarehe pengine ilimfanya Sa7ya aamini hivyo Ila nature imemkatalia kabisa.
Ukishinda unaachiwa hata wakikata rufaaVipi tena si mlisema kaachiwa
Magazeti ya udaku udaku wa magaidi wa saccos utayaweza..Hii ndio taarifa ya leo iliyoripotiwa na gazeti la Raia Mwema , ni kwamba DPP ameamua kukata rufaa kwa ile kesi ya kwanza iliyowashangaza wengi ambayo pamoja na Sabaya kufungwa miaka 30 Jela , lakini aliachiwa huru katika mazingira ya kutatanisha , baada ya kukata rufaa na kushinda .
Tuendelee kutega sikio kwa yatakayojili ili kujionea Haki ikitendeka .
View attachment 2267336
KILA UBAYA UTALIPWA