Uchaguzi 2020 Ombi: Tume ya Uchaguzi tunataka mdahalo wa Wagombea Urais

Lissu vs JPM

Kwenye mdahalo kumbuka JPM hataweza ku-controll naratives zote. Na Lissu ataweka ushahidi wa madhaifu ya utawala wa JPM. Mfano rahisi ni yeye kupigwa risasi na hakuna aliekamatwa. Huo ni udhaifu mkubwa wa serikali.

Bado mengine mengi, JPM atakimbia mdahalo.
 
..Jpm kumbukumbu zake siku hizo siyo sharp kama wakati alipokuwa waziri.

..pia Jpm anajua sheria mbili tu, sheria ya ardhi, na sheria ya barabara.

..zaidi, Jpm amezoea kuzungumza peke yake, hajazoea na hapendi kuwa challenged.
JPM anaongoza kwa propaganda.

Lissu anaweza kuibua ishu za ufisadi tu kwenye utawala wa awamu ya tano Magufuli akazimia.

Mdahalo wowote ni mgumu kwa CCM.
 
Sijui tundulisu ataweza kutueleza miga na ushoga alimaanisha nn
 
JPM anaongoza kwa propaganda.

Lissu anaweza kuibua ishu za ufisadi tu kwenye utawala wa awamu ya tano Magufuli akazimia.

Mdahalo wowote ni mgumu kwa CCM.

..pia kwenye mdahalo Jpm hatakuwa na wapambe wa kum-keep company.

..Kabudi hatakuwepo hapo ili kusherehesha tukio zima.

..Hakutakuwa na viongozi wa dini watakaompamba kuwa yeye ni chaguo la mungu.

..kitakachombeba ni PROPAGANDA baada ya tukio zima.
 
Tunazungumzia mdahalo boss sio ilani...
Upinzani ilani yenu ya uchaguzi imetoka?

Bring forward your election manifesto.

CCM inayo tayari ilani yake ya uchaguzi.

Waleteeni wananchi waichambue ilani yenu ya uchaguzi.

Acheni blahblah zisizo na tija.
 
Ushauri mzuri NEC wasikie.
Katika hilo jengo la mdahalo hakikisheni nje Kuna ambulance, just in case mmoja anaanguka ghafla. Si mnafahamu wagombea wetu ni 60+ na yule ambae ni under 60 ana vyuma mwili mzima.
 
Safi sana umenena vyema
Kwanini kusiwepo na mdahalo wa saa 8 kwa wagombea wote wa kiti cha uraisi maana najua JPM anavitu vya kuongelea ndani ya miaka yake mitano kama Raisi, na wengine watasema wanataka kuchaguliwa ili iweje?.
 
Basi kama ni hivyo akubali haraka sana mdahalo ili kazi iwe nyepesi jombaa
 
Vizuri kabisa...ni wazo zuri saana.

Mdahalo uwepo na wagombea watuambie wanaenda kutufanyia nini.
 
Una uhakika na unachokisema..?
 
Hata wewe uliyoyaongea kuhusu lissu ndio atakyosema ni mawazo yako pia.

Mkuu tambua fedha nyingi sana ya kodi inapotea kizembe,ebu fikiria ile katiba ya warioba ilivyosema ,ilipendekeza baadhi ya vyeo vifutwe maana havina tija yoyote zaidi ya fadhila kwa wana ccm.

Ebu fikiria fedha tunazotumia kununua VX za milioni 300 kwaRC,DC,DEC,RAS na watu wanaofanana na hao ni Tsh Bilioni ngapi? Fikiria Maintanance zake na mafuta kwa mwaka ni mabilioni mangapi? Fedha zipo nyingi sana zinapotea kizembe ,ebu fikiria mkuu wa wilaya,mkoa unaenda kumpangishia nyumba masakai wakati analipwa mshahara huo si utapakanaji wa fedha za umma?

Nenda zanzibar viongozi wake wako simple tu ,jioni unawakatu wanapiga kahawa na wananchi na makazi yake ni ya kitaani tu kawaida,makatibu wa wizara ,mawaziri wapo simple tu hawana complication kama wabara ,cha kushangaza eti DC unampa Kilimo kwanza la milioni 300 halafu unampa nyumba ,unampa mshahara mil6 kwa faida gani anayoiingizia taifa?

Kichuguu fedha TZ ipo nyingi sana sema tunaitapakanya tu,kodi itapunguzwa na mishahara itaongezeka kama kawaida tu.
 

Kama ulikuwa unajiandaa mitihani kwa kukarii inawezekana hujui nmaana ya kujiandaa. maandalizi maana yake ni kupanga facts zako right. Hata wanasheria humuomba hakimu muda kuwa wanata wajiandae siyo kuwa wanataka kukariri mambo. Mwaka 1995 nyerere akihutubia waandishi pale kilimanjaro hotel aliwaambia kuwa ingawa ana facts nyingine anazotaka kuziongelea lakini alikuwa hakuziandaa vizuri, hivyo akawaambia atayaongelea mambo hayo siku nyingine; siyo kuwa alikuwa anataka kukariri. hata mwalimu anapota kufundisha huwa anajiandaa hata kama alishafundisha mambo hayo kwa miaka 20 bado atajiandaa. kujiandaa siyo kukariri
 
wewe unachukulia kuwa mjadala maana yake ni kubishana na kushambuliana personally, jambo ambalo lissu anajua sana. mimi naangalia mjadala kua ni uwanja kupambanishana sera na vision ya taif. ukiingia kwene mjadala na ajenda ya chuki, nin wasiwasi kama utakusaidia kupata hata kura moja zaidi zile za base kama wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…