Uchaguzi 2020 Ombi: Tume ya Uchaguzi tunataka mdahalo wa Wagombea Urais

Uchaguzi 2020 Ombi: Tume ya Uchaguzi tunataka mdahalo wa Wagombea Urais

Kukiwa na mdahalo, JPM hatakuwa na mengi kwani aliyofanya yanajitosheleza. Waliobaki ni kujikang'aga tu.
 
Wakuu habari za jioni poleni kwa kutafuta na mihangaiko ya kutwa nzima. Mimi sina mengi ila nina imani humu kuna watumishi wa tume ya uchaguzi basi wafikishe salamu hizi, tunaomba mdahalo wa wagombea wote watakaoteuliwa kugombe Urais kuanzia, CCM, CHADEMA , ACT - Wazalendo nk ili tuwapime kwa hoja zao tuulize maswali yetu wakiwa pamoja kwenye ukumbi mmoja tupate mgombea ambaye ni cream ili wanachi tuchague Rais makini ambaye atatavusha kwenye umaskini tulionao na kuweka sera zinazotekelezeka kwa weledi na maarifa yaliyotukuka.

Nawasilisha.

View attachment 1527961

View attachment 1527962

View attachment 1527963
Je??
Leo huyu mlamba viatu vya wajumbe wa Ccm atathubutu kurudia hii kauli??
Au atabaki kama Mr Slowslow???
Screenshot_20200811-202801.jpg


Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu habari za jioni poleni kwa kutafuta na mihangaiko ya kutwa nzima. Mimi sina mengi ila nina imani humu kuna watumishi wa tume ya uchaguzi basi wafikishe salamu hizi, tunaomba mdahalo wa wagombea wote watakaoteuliwa kugombe Urais kuanzia, CCM, CHADEMA , ACT - Wazalendo nk ili tuwapime kwa hoja zao tuulize maswali yetu wakiwa pamoja kwenye ukumbi mmoja tupate mgombea ambaye ni cream ili wanachi tuchague Rais makini ambaye atatavusha kwenye umaskini tulionao na kuweka sera zinazotekelezeka kwa weledi na maarifa yaliyotukuka.

Nawasilisha.

View attachment 1527961

View attachment 1527962

View attachment 1527963
Rais Magufuli atapokuwa anaongelea kujenga SGR, Mwalimu Nyerere Hydroelectric Power, masoko ya madini, kuingia uchumi wa kati, Bombardiers, hazina kujaa mafedha, kushusha kodi kwenye mishahara, kuongeza wigo wa ukusanyaji kodi, kuthibiti rushwa kwa kiasi kikubwa nchini, ujenzi wa viwanda, wakulima kupata being nzuri (mfano korosho Mtwara), kuhamia Dodoma (jambo lililoshindikana tangu za Mwl. Nyerere) na kadhalika na kadhalika akina Tundu Lissu wataongea nini? Hatuwezi kumdhalilisha Mgombea Wetu wa CCM kuingia kwenye mdahalo wa watu WADOGO!!!
 
Kuna watu wanafikiri mdahalo ni sawa na kuifokea ccm/serikali.
 
Midahalo ya wagombea Urais katika nchi yoyote ile yenye mawazo chanya ni muhimu sana , na baadhi ya wadau nikiwemo mimi tuliomba tangu awali ili yale mazuri ya 1995 yajirudie , tukumbuke kwamba 1995 wagombea wa urais wa Tanzania akiwemo Lyatonga Mrema na Benjamini Mkapa walikaa kwenye mdahalo huku kila mmoja akinadi mipango yake .

Asante sana  prof Kitila Mkumbo... mgombea wetu yuko tayari. ( 493 X 640 ).jpg
 
Naungania na Kitila Mkumbo kwamba Midahalo kwa wagombea Urais ianzishwe ili wagombea tuwapime kwa Hoja zao.
117232303_625682928375797_5652533722726523439_n.jpg
 
Ni ya mwaka 2015..

Leo hii ataikataa..

Marehemu Ruge Mutahaba alisema hapa duniani anaogopa MUNGU na TEKNOLOJIA tu...
 
Magufuli akimkimbia Lisu kwenye mdahalo huu atazidi kujichimbia kaburi la kukataliwa na wapiga kura.

Kwa makusudi kabisa Lisu ametegeshea Magufuli hili zigo la kushiriki mdahalo wa wazi ama kukataa.

Naliita zigo kwasabb Magufuli akikubali kushiriki ni MSALA kwake maana yuko poor Sana ktk kujenga hoja. Hivyo ataabika vibaya mno kwenye mdahalo huo.

Na akikataa pia ni MSALA. Maana itaonekana anamuogopa mtu mdogo kama Lisu. Mbali na umri hata kwenda shule Magufuli ana madarasa mengi kuliko Lisu (ana PhD) na ni rais.

Sasa watu watajiuliza iweje unamkimbia na kumuogopa mtu kama Lisu? Itampunguzia na kumshushia personality kwa wapiga kura.

My take:
Mwaka huu ccm mmelokoroga na mtalinywa. Hali yenu tete Sana.
 
Sina hakika kama anamuogopa ila nachojua hatokuwa na mda wa ziada wa kushiriki kitu ambacho hakiko kwenye ratiba yake
 
Tume haijawahi kulazimisha uwepo wa mdaharo huru. Siasa za bongo zina ujinga mtupu ndani yake. 2015 ni Chadema waliokimbia mdaharo coz walijua mgombea wao hawezi kujieleza hata kwa dakika 10 tu, this time ndio mnajifanya mko moto na midaharo.
Kila chama kifanye kampeni kwa style yake

Sidhani kama kuna mwanasiasa wa Tanzania aliwahi kwenda kwenye kipindi cha Hardtalk zaidi ya Lissu. Kama ameweza kujibu maswali kwenye Hardtalk mdahalo wa Tanzania ni kazi rahisi sana kwake.
 
Magufuli akimkimbia Lisu kwenye mdahalo huu atazidi kujichimbia kaburi la kukataliwa na wapiga kura.

Kwa makusudi kabisa Lisu ametegeshea Magufuli hili zigo la kushiriki mdahalo wa wazi ama kukataa.

Naliita zigo kwasabb Magufuli akikubali kushiriki ni MSALA kwake maana yuko poor Sana ktk kujenga hoja. Hivyo ataabika vibaya mno kwenye mdahalo huo.

Na akikataa pia ni MSALA. Maana itaonekana anamuogopa mtu mdogo kama Lisu. Mbali na umri hata kwenda shule Magufuli ana madarasa mengi kuliko Lisu (ana PhD) na ni rais.

Sasa watu watajiuliza iweje unamkimbia na kumuogopa mtu kama Lisu? Itampunguzia na kumshushia personality kwa wapiga kura.

My take:
Mwaka huu ccm mmelokoroga na mtalinywa. Hali yenu tete Sana.
Magu Hana muda na midahalo anawaonyesha kwa vitendo tu
Hao wagombea wengine ndio waende kwenye midahalo wakabembelez kura
Mtasema amemkimbia mpaka mtachoka mwisho was siku mtanyamaza mwenzenu anaendelea kuchapa kazi
 
Hehehe hi debate asije mtu akarusha ngumi bureee...

lakini TL aiitishe tu kwa kweli
Kila mtu awekwe kikaangoni...kutesa kwa zamu
A Sanity-Train has left these thugs a long time ago.
So it's okay to expect any decadence from them.
 
Back
Top Bottom