Ongea ya Rais Samia imebadilika tangu sakata la bandari lianze

Ongea ya Rais Samia imebadilika tangu sakata la bandari lianze

Huo ni umbea wako
Wa kutaka uungwe mkono na wengi

Unajaribu kubadilisha usiku uwe mchana na ss tuamini hivyo!

Hayo uliyoongea ni fikira zako zimekutuma huko lkn sio In general!
Toa hoja mzee.
 
Shughulikieni kwanza umoja kwenye mavyama yenu pumbavu wewe!!
Hasira ya nini dunduka? Nimesoma comment hadi nimecheka..unajipa pressure bure kisa kada hapa kinachojadiliwa maslahi mapana ya mama Tanzania.
 
Sauti imekata ndio maana kamtuma ROSTAM aongee kwa niaba yake
 
Back
Top Bottom