Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Ile ya Gas na mafuta alaumiwe JkBado ule wa gesi ya mtwara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile ya Gas na mafuta alaumiwe JkBado ule wa gesi ya mtwara
Hapa waondoe wale Nyumbu wa kijani. Wanakubaligi Kila kitu, waondoe pia wabunge (ambao pia wamekua wajinga).Amegundua kuwa kumbe watanzania wanaweza kuamua kufuatilia mambo yao, kuyaelewa vizuri na hata kuyakomalia kwa hoja.
Bila shaka Mzee wa Kigogo aliletewa tende na halua!
Jinga wewe, 2025 anarudi Kisiwa ndui hatumtakiMna bandari nyie?
Pwani yote ni ya waZanzibari
Na je kama alisaini bila kuwaonyesha huo mkatabaNiliwahi comment huko nyuma, mama Samia takes everything for granted.
Anawaamini sana wasaidizi wake.
Hakai ofisini kuhoji kama wako makini.
Kila siku yuko huku yuko kule, anafungua sherehe hii na ile.
Niliwahi kujiuliza, NANI ANAFANYA KAZI ZAKE OFISINI?
Suala la bandari is a failure of checks katika the presidential office.
Ingawaje hawezi kulaumiwa kwa asilimia 100 Rais, kwa vile Katibu Mkuu ofisi ya Rais na watendaji wengine, wapo.
Lakini uwajibikaji katika hili linamponza Rais moja kwa moja.
Rais aitupie jicho ofisi yake na kuhoji kwa nini limetokea.
Hivi Kila siku najiuliza sipati jibu...hili jicho la tatu ni lipi?Naagiza mheshimiwa nenda kakae na timu yako hili nalo mkalitizame kwa jicho la tatu
Mtu yeyote asiyeona kwamba katiba yetu ni mbovu mno na ndio inayoruhusu mikataba mibovu huyo mtu ni punguani.Wewe utakuwa li CHADEMA au Sukuma gang! Ulikuwa umeanza vizuri lakini ulivyohitimisha na shinikizo kwa Rais kuhusu Katiba mpya nimekupuuza!
Kila mtu anawajibika kwa kadri ya matendo yake.Na je kama alisaini bila kuwaonyesha huo mkataba
Watanzania ni wasahaulifu na wengi ni mbumbumbu...ukipita upepo wa simba na yanga msimu mpya watakuwa wameshasahau madhaifu yake yote na kumshangilia mikutanoni kama mkombozi waoHuwa najiuliza hivi wakati wa kutuomba kura 2025 atakuwa na ujasiri wa kutoka wapi kama sasa hivi hawajali wamama na wananchi wanyonge (wa hali ya chini) ambao ndo maskini ya Mungu huwa wanapiga kura kwa uaminifu kulinganisha na matajiri ambao kwanza ni wachache na pili wengi wao hawanaga muda mchafu wa kwenda kupiga kura!
Anayehesabu kura ndio anaamua mshindi.Huwa najiuliza hivi wakati wa kutuomba kura 2025 atakuwa na ujasiri wa kutoka wapi kama sasa hivi hawajali wamama na wananchi wanyonge (wa hali ya chini) ambao ndo maskini ya Mungu huwa wanapiga kura kwa uaminifu kulinganisha na matajiri ambao kwanza ni wachache na pili wengi wao hawanaga muda mchafu wa kwenda kupiga kura!
ccm hvyo sana juzi yule mbeba mikoba ya uwizi pale bungeni kabla hajaanza kusoma matrilioni yake yapitishwe akaanza kwakusema mama tumpe maua yake yaani nilimwona kama kanjibai tuEti "mama anaupiga mwingi..!!" You can imagine nchi ilivyo na viumbe wa ajabu hii..
trusted everShe's no longer....
chief hangaya`s voice; itakuwa la upigaji hilo jichoHivi Kila siku najiuliza sipati jibu...hili jicho la tatu ni lipi?
Kwa kweli ameisaliti Tanganyika .....Pengine alishavuta, anawaza atazirudishaje hela za wajomba.
Hakuna lolote Dr Samiah yupo cool, na amesha vaa ngozi ngumu, with no stress!Kwa anayefuatilia hotuba za Rais Samia atagundua kuwa namna yake ya kuzungumza na hulka yake vimebadilika kwa kiasi flani tangu sakata la bandari lianze. Ile sauti yake ya kurelax na kujiamini imetetereka kidogo. Sina uhakika kama ni hali ya hewa na kibaridi hiki.
Lakini hii yaweza kumaanisha nini?
1. Kwamba ameguswa na yanayoendelea kuhusu bandari
2. Hakutegemea yanayoendelea kufika mbali hivyo
3. Ni dadili ya kusutwa dhamiri
4. Anahisi kupoteza uungwaji mkono na heshima aliyojijengea (loss of trust).
5. Amekuwa kwenye shinikizo (stress) kubwa kipindi hiki
6. Amegundua kuwa kumbe watanzania wanaweza kuamua kufuatilia mambo yao, kuyaelewa vizuri na hata kuyakomalia kwa hoja.
7. Amekuwa defensive na mwenye mipasho kinyume na tunavyomjua.
Ama kwa hakika hiki ni kipindi kigumu kwa rais wetu.
Sasa;
Anapaswa kuwa mkweli kwa nafsi yake na kwa nchi yake.
Anapaswa kuruhusu mchakato wa wazi na wa kizalendo juu ya bandari zetu.
Anapaswa kuepuka wasaidizi wake wanaomsifia kupita kiasi na kumshauri kinafiki.
Tunamwomba rais wetu asibweteke na kuanza siasa za kibabe kama anavyoshauriwa na wanafiki wengi waliomzunguka kwani mkakati huu utakuwa na madhara makubwa kwake na kwa wananchi.
NB: Suala la kupuuzia marekebisho ya katiba litamletea fedheha kubwa zaidi siku zijazo.