Ongea ya Rais Samia imebadilika tangu sakata la bandari lianze

Ongea ya Rais Samia imebadilika tangu sakata la bandari lianze

Kwa anayefuatilia hotuba za Rais Samia atagundua kuwa namna yake ya kuzungumza na hulka yake vimebadilika kwa kiasi flani tangu sakata la bandari lianze. Ile sauti yake ya kurelax na kujiamini imetetereka kidogo. Sina uhakika kama ni hali ya hewa na kibaridi hiki.

Lakini hii yaweza kumaanisha nini?

1. Kwamba ameguswa na yanayoendelea kuhusu bandari

2. Hakutegemea yanayoendelea kufika mbali hivyo

3. Ni dadili ya kusutwa dhamiri

4. Anahisi kupoteza uungwaji mkono na heshima aliyojijengea (loss of trust).

5. Amekuwa kwenye shinikizo (stress) kubwa kipindi hiki

6. Amegundua kuwa kumbe watanzania wanaweza kuamua kufuatilia mambo yao, kuyaelewa vizuri na hata kuyakomalia kwa hoja.

7. Amekuwa defensive na mwenye mipasho kinyume na tunavyomjua.

Ama kwa hakika hiki ni kipindi kigumu kwa rais wetu.

Sasa;

Anapaswa kuwa mkweli kwa nafsi yake na kwa nchi yake.

Anapaswa kuruhusu mchakato wa wazi na wa kizalendo juu ya bandari zetu.

Anapaswa kuepuka wasaidizi wake wanaomsifia kupita kiasi na kumshauri kinafiki.

Tunamwomba rais wetu asibweteke na kuanza siasa za kibabe kama anavyoshauriwa na wanafiki wengi waliomzunguka kwani mkakati huu utakuwa na madhara makubwa kwake na kwa wananchi.

NB: Suala la kupuuzia marekebisho ya katiba litamletea fedheha kubwa zaidi siku zijazo.
Rais Samia ni mrithi wa hayati JPM, asingefariki dunia leo hii angeendelea kuwa makamu.

Hana kipya alichokileta hata hili suala la DPW ni la mtangulizi wake JPM. Na leo angekuwa hai angesaini mkataba pale ikulu Dodoma na hakuna mtu hata mmoja ambaye angekuja kuhoji wala kufungua mdomo wake wote tungepiga makofi na kuimba mapambio mengi tu.

Hii ni biashara waliyoianzisha waarabu waliponunua mali za huko DRC, yeye na Kagame wakaushtukia mchezo na kuungana kama timu moja. Akaenda Kigali na kuongea kirefu juu ya hii deal, Kagame akajenga dry port na JPM akajenga SGR.

Hivyo Samia ni muendelezaji tu wa biashara pana iliyoanza kuandaliwa mazingira ya kufanyika tangu 2015. Ndio maana ya kauli mbiu ya KAZI IENDELEE.
 
No. 3
Huyu mama anacheza ngoma za mafisadi, mbona atakoma?
 
Rais Samia ni mrithi wa hayati JPM, asingefariki dunia leo hii angeendelea kuwa makamu.

Hana kipya alichokileta hata hili suala la DPW ni la mtangulizi wake JPM. Na leo angekuwa hai angesaini mkataba pale ikulu Dodoma na hakuna mtu hata mmoja ambaye angekuja kuhoji wala kufungua mdomo wake wote tungepiga makofi na kuimba mapambio mengi tu.

Hii ni biashara waliyoianzisha waarabu waliponunua mali za huko DRC, yeye na Kagame wakaushtukia mchezo na kuungana kama timu moja. Akaenda Kigali na kuongea kirefu juu ya hii deal, Kagame akajenga dry port na JPM akajenga SGR.

Hivyo Samia ni muendelezaji tu wa biashara pana iliyoanza kuandaliwa mazingira ya kufanyika tangu 2015. Ndio maana ya kauli mbiu ya KAZI IENDELEE.
Kwa hiyo?
 
Huu umoja ulioonekana kwenye hii issue ndio huu huu umoja unahitajika kuondoa CCM madarakani na kupata katiba mpya.

Umoja uhahitajika bila kujali dini, kabila, chama, ukanda, historia.

Maslahi ya Taifa na uzalendo kwanza. Sababu nchi hii wakimaliza kuiuza wote tutapata tabu sana bila kujali uchama, dini, kanda.

Umoja mpya unahitajika kupigania maslahi hasa ya Tanganyika.
 
Wewe utakuwa li CHADEMA au Sukuma gang! Ulikuwa umeanza vizuri lakini ulivyohitimisha na shinikizo kwa Rais kuhusu Katiba mpya nimekupuuza!
Kwa anayefuatilia hotuba za Rais Samia atagundua kuwa namna yake ya kuzungumza na hulka yake vimebadilika kwa kiasi flani tangu sakata la bandari lianze. Ile sauti yake ya kurelax na kujiamini imetetereka kidogo. Sina uhakika kama ni hali ya hewa na kibaridi hiki.

Lakini hii yaweza kumaanisha nini?

1. Kwamba ameguswa na yanayoendelea kuhusu bandari

2. Hakutegemea yanayoendelea kufika mbali hivyo

3. Ni dadili ya kusutwa dhamiri

4. Anahisi kupoteza uungwaji mkono na heshima aliyojijengea (loss of trust).

5. Amekuwa kwenye shinikizo (stress) kubwa kipindi hiki

6. Amegundua kuwa kumbe watanzania wanaweza kuamua kufuatilia mambo yao, kuyaelewa vizuri na hata kuyakomalia kwa hoja.

7. Amekuwa defensive na mwenye mipasho kinyume na tunavyomjua.

Ama kwa hakika hiki ni kipindi kigumu kwa rais wetu.

Sasa;

Anapaswa kuwa mkweli kwa nafsi yake na kwa nchi yake.

Anapaswa kuruhusu mchakato wa wazi na wa kizalendo juu ya bandari zetu.

Anapaswa kuepuka wasaidizi wake wanaomsifia kupita kiasi na kumshauri kinafiki.

Tunamwomba rais wetu asibweteke na kuanza siasa za kibabe kama anavyoshauriwa na wanafiki wengi waliomzunguka kwani mkakati huu utakuwa na madhara makubwa kwake na kwa wananchi.

NB: Suala la kupuuzia marekebisho ya katiba litamletea fedheha kubwa zaidi siku zijazo.
 
Ufumbuzi atamke kuwa anaboresha tu huo mkataba vipengele tata afute
 
Issue ya Bandari inaweza kuwa sawa ila naona walioko nyuma yake wakipush ajenda inatiamashaja sana, nguvu inayotumika ni kubwa sana, mwenye akili anatefikiria sawasawa lazima atadoubt.
 
1. Kwamba ameguswa na yanayoendelea kuhusu bandari

2. Hakutegemea yanayoendelea kufika mbali hivyo

3. Ni dadili ya kusutwa dhamiri

4. Anahisi kupoteza uungwaji mkono na heshima aliyojijengea (loss of trust).

5. Amekuwa kwenye shinikizo (stress) kubwa kipindi hiki

6. Amegundua kuwa kumbe watanzania wanaweza kuamua kufuatilia mambo yao, kuyaelewa vizuri na hata kuyakomalia kwa hoja.

7. Amekuwa defensive na mwenye mipasho kinyume na tunavyomjua.


Kuwauza wenzako kwa vipande vya dhabu hakukuachi salama
 
Ukweli anapaswa kujua hatukatai wawaekezaje(maana hatuna akili)

Ila huo MKATABA tumeukataa na hauna baraka zetu sisi makajamba nani walalahoi wenye nchi ambao ndio wananchi hasa watanganyika.

Wakiamua kuendelea nao sawa ni wao tu ila muda utasema.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
By far and away Samia Hassan is the worst president in the annals of the country's post independence leadership

Her chief adviser, ex-president Kikwete, is second worst, and there lies the root of her epic failures
 
Malecela mke wake (Anne Kilango Malecela)ni Kati ya wale wabunge 30 walioenda Dubai kulamba asali. Kwahiyo lazima aunge mkono.

Judge Warioba siku zote anasimamia ukweli na haki.
Bila shaka Mzee wa Kigogo aliletewa tende na halua!
 
Back
Top Bottom