Ongea ya Rais Samia imebadilika tangu sakata la bandari lianze

Ongea ya Rais Samia imebadilika tangu sakata la bandari lianze

Screenshot_20230626-100531_(1).png
 
Kwa anayefuatilia hotuba za Rais Samia atagundua kuwa namna yake ya kuzungumza na hulka yake vimebadilika kwa kiasi flani tangu sakata la bandari lianze. Ile sauti yake ya kurelax na kujiamini imetetereka kidogo. Sina uhakika kama ni hali ya hewa na kibaridi hiki.

Hii yaweza kumaanisha nini?

1. Kwamba ameguswa na yanayoendelea kuhusu bandari

2. Hakutegemea yanayoendelea kufika mbali hivyo

3. Ni dadili ya kusutwa dhamiri

4. Anahisi kupoteza uungwaji mkono na heshima aliyojijengea (loss of trust).

5. Amekuwa kwenye shinikizo (stress) kubwa kipindi hiki

6. Amegundua kuwa kumbe watanzania wanaweza kuamua kufuatilia mambo yao na hata kuyaelewa vizuri na hata kuyakomalia kwa hoja.

7. Amekuwa defensive na mwenye mipasho kinyume na tunavyomjua.

Ama kwa hakika hiki ni kipindi kigumu kwa rais wetu.

Anapaswa kuwa mkweli kwa nafsi yake na kwa nchi yake.

Anapaswa kuruhusu mchakato wa wazi na wa kizalendo juu ya bandari zetu.

Anapaswa kuepuka wasaidizi wake wanaomsifia kupita kiasi na kumshauri kinafiki.

Tunamwomba rais wetu asibweteke na kuanza siasa za kibabe kama anavyoshauriwa na wanafiki wengi waliomzunguka kwani mkakati huu utakuwa na madhara makubwa kwake na kwa wananchi.
Ni kweli Kabisa juzi nilimuona pale Meru ...ana msongo mawazo!
Sidhani kama aliJua anachofqnya!
Kiashiria kibaya Kabisa Kwa CCM ni Kauli ya Jaji Warioba!
Huyu Mzee huwa yupo making sana kuikosoa CCM .Ukiona Warioba anapinga kitu Cha CCM hapo ogopa!
Inawezekana hata Kauli ya Malechela juzi ilikuwa ni kupooza hali ya hewa!.Bahati mbaya sana Malechela siku hizi haeleweki ,nafikiri uzee umemuathiri ..sidhani hata kamam alisoma Yale makubalino!
 
Kwa anayefuatilia hotuba za Rais Samia atagundua kuwa namna yake ya kuzungumza na hulka yake vimebadilika kwa kiasi flani tangu sakata la bandari lianze. Ile sauti yake ya kurelax na kujiamini imetetereka kidogo. Sina uhakika kama ni hali ya hewa na kibaridi hiki.

Hii yaweza kumaanisha nini?

1. Kwamba ameguswa na yanayoendelea kuhusu bandari

2. Hakutegemea yanayoendelea kufika mbali hivyo

3. Ni dadili ya kusutwa dhamiri

4. Anahisi kupoteza uungwaji mkono na heshima aliyojijengea (loss of trust).

5. Amekuwa kwenye shinikizo (stress) kubwa kipindi hiki

6. Amegundua kuwa kumbe watanzania wanaweza kuamua kufuatilia mambo yao na hata kuyaelewa vizuri na hata kuyakomalia kwa hoja.

7. Amekuwa defensive na mwenye mipasho kinyume na tunavyomjua.

Ama kwa hakika hiki ni kipindi kigumu kwa rais wetu.

Anapaswa kuwa mkweli kwa nafsi yake na kwa nchi yake.

Anapaswa kuruhusu mchakato wa wazi na wa kizalendo juu ya bandari zetu.

Anapaswa kuepuka wasaidizi wake wanaomsifia kupita kiasi na kumshauri kinafiki.

Tunamwomba rais wetu asibweteke na kuanza siasa za kibabe kama anavyoshauriwa na wanafiki wengi waliomzunguka kwani mkakati huu utakuwa na madhara makubwa kwake na kwa wananchi.
sure, body language, facial expressions and her tone tells everything. Vimechange mno.
Ipo kitu nafasini mwake inafukuta huenda ikawa sio issue ya Bandari but iko kitu ndani yake inamfikirisha na kumfarakanisha ndani kwa ndani nafasini.
 
Kwa anayefuatilia hotuba za Rais Samia atagundua kuwa namna yake ya kuzungumza na hulka yake vimebadilika kwa kiasi flani tangu sakata la bandari lianze. Ile sauti yake ya kurelax na kujiamini imetetereka kidogo. Sina uhakika kama ni hali ya hewa na kibaridi hiki.

Hii yaweza kumaanisha nini?

1. Kwamba ameguswa na yanayoendelea kuhusu bandari

2. Hakutegemea yanayoendelea kufika mbali hivyo

3. Ni dadili ya kusutwa dhamiri

4. Anahisi kupoteza uungwaji mkono na heshima aliyojijengea (loss of trust).

5. Amekuwa kwenye shinikizo (stress) kubwa kipindi hiki

6. Amegundua kuwa kumbe watanzania wanaweza kuamua kufuatilia mambo yao na hata kuyaelewa vizuri na hata kuyakomalia kwa hoja.

7. Amekuwa defensive na mwenye mipasho kinyume na tunavyomjua.

Ama kwa hakika hiki ni kipindi kigumu kwa rais wetu.

Anapaswa kuwa mkweli kwa nafsi yake na kwa nchi yake.

Anapaswa kuruhusu mchakato wa wazi na wa kizalendo juu ya bandari zetu.

Anapaswa kuepuka wasaidizi wake wanaomsifia kupita kiasi na kumshauri kinafiki.

Tunamwomba rais wetu asibweteke na kuanza siasa za kibabe kama anavyoshauriwa na wanafiki wengi waliomzunguka kwani mkakati huu utakuwa na madhara makubwa kwake na kwa wananchi.
Amesema ameweka vizibo masikioni .hasikii wala hataki kusikia
 
Ilianza kubadilika taratibu tangu hapo kabla. Japo Alisema yeye hawezi kufoka foka na kwamba atatumia zaidi kalamu; Ila kwa sasa ukweli ni kwamba anatufokea wananchi tena kwa vijembe!
Huwa najiuliza hivi wakati wa kutuomba kura 2025 atakuwa na ujasiri wa kutoka wapi kama sasa hivi hawajali wamama na wananchi wanyonge (wa hali ya chini) ambao ndo maskini ya Mungu huwa wanapiga kura kwa uaminifu kulinganisha na matajiri ambao kwanza ni wachache na pili wengi wao hawanaga muda mchafu wa kwenda kupiga kura!
 
Kwa anayefuatilia hotuba za Rais Samia atagundua kuwa namna yake ya kuzungumza na hulka yake vimebadilika kwa kiasi flani tangu sakata la bandari lianze. Ile sauti yake ya kurelax na kujiamini imetetereka kidogo. Sina uhakika kama ni hali ya hewa na kibaridi hiki.

Hii yaweza kumaanisha nini?

1. Kwamba ameguswa na yanayoendelea kuhusu bandari

2. Hakutegemea yanayoendelea kufika mbali hivyo

3. Ni dadili ya kusutwa dhamiri

4. Anahisi kupoteza uungwaji mkono na heshima aliyojijengea (loss of trust).

5. Amekuwa kwenye shinikizo (stress) kubwa kipindi hiki

6. Amegundua kuwa kumbe watanzania wanaweza kuamua kufuatilia mambo yao na hata kuyaelewa vizuri na hata kuyakomalia kwa hoja.

7. Amekuwa defensive na mwenye mipasho kinyume na tunavyomjua.

Ama kwa hakika hiki ni kipindi kigumu kwa rais wetu.

Anapaswa kuwa mkweli kwa nafsi yake na kwa nchi yake.

Anapaswa kuruhusu mchakato wa wazi na wa kizalendo juu ya bandari zetu.

Anapaswa kuepuka wasaidizi wake wanaomsifia kupita kiasi na kumshauri kinafiki.

Tunamwomba rais wetu asibweteke na kuanza siasa za kibabe kama anavyoshauriwa na wanafiki wengi waliomzunguka kwani mkakati huu utakuwa na madhara makubwa kwake na kwa wananchi.
Niliwahi comment huko nyuma, mama Samia takes everything for granted.
Anawaamini sana wasaidizi wake.
Hakai ofisini kuhoji kama wako makini.
Kila siku yuko huku yuko kule, anafungua sherehe hii na ile.

Niliwahi kujiuliza, NANI ANAFANYA KAZI ZAKE OFISINI?

Suala la bandari is a failure of checks katika the presidential office.
Ingawaje hawezi kulaumiwa kwa asilimia 100 Rais, kwa vile Katibu Mkuu ofisi ya Rais na watendaji wengine, wapo.
Lakini uwajibikaji katika hili linamponza Rais moja kwa moja.

Rais aitupie jicho ofisi yake na kuhoji kwa nini limetokea.
 
Kwanza jiulize rostam aziz ametoka wapi saa hizi majukwaani. Nani kamtuma. Na wale kina kingwendu wale wachekeshaji nani kawashonea suti waje kupingana na wananchi wakiongozwa na maprofesa wazalendo na mawakili wasomi dhidi ya kuwapa wageni kuendesha bandari zetu kwa masharti ya kibeberu na kikoloni.
Yote hayo yanatokea kipindi hiki cha uongozi mbovu wa kihuni. Lazima mama awe na tafakari kali maana hakutegemea kama watanzania wanajua wanataka nchi yao iongozwe vipi.
Nao pia ni raia wa nchi hii wanayo haki sawa ya kuukubali na kuusifia mkataba Kama ilivyohaki uliyonayo ya kuukataa,

Mwenye nguvu ndiye mshindi.
 
Kwanza jiulize rostam aziz ametoka wapi saa hizi majukwaani. Nani kamtuma. Na wale kina kingwendu wale wachekeshaji nani kawashonea suti waje kupingana na wananchi wakiongozwa na maprofesa wazalendo na mawakili wasomi dhidi ya kuwapa wageni kuendesha bandari zetu kwa masharti ya kibeberu na kikoloni.
Yote hayo yanatokea kipindi hiki cha uongozi mbovu wa kihuni. Lazima mama awe na tafakari kali maana hakutegemea kama watanzania wanajua wanataka nchi yao iongozwe vipi.
Rostam ana kashfa nzito ya RADAR toka 2011, na anatafutwa Uingereza.
 
Kwa anayefuatilia hotuba za Rais Samia atagundua kuwa namna yake ya kuzungumza na hulka yake vimebadilika kwa kiasi flani tangu sakata la bandari lianze. Ile sauti yake ya kurelax na kujiamini imetetereka kidogo. Sina uhakika kama ni hali ya hewa na kibaridi hiki.

Lakini hii yaweza kumaanisha nini?

1. Kwamba ameguswa na yanayoendelea kuhusu bandari

2. Hakutegemea yanayoendelea kufika mbali hivyo

3. Ni dadili ya kusutwa dhamiri

4. Anahisi kupoteza uungwaji mkono na heshima aliyojijengea (loss of trust).

5. Amekuwa kwenye shinikizo (stress) kubwa kipindi hiki

6. Amegundua kuwa kumbe watanzania wanaweza kuamua kufuatilia mambo yao, kuyaelewa vizuri na hata kuyakomalia kwa hoja.

7. Amekuwa defensive na mwenye mipasho kinyume na tunavyomjua.

Ama kwa hakika hiki ni kipindi kigumu kwa rais wetu.

Sasa;

Anapaswa kuwa mkweli kwa nafsi yake na kwa nchi yake.

Anapaswa kuruhusu mchakato wa wazi na wa kizalendo juu ya bandari zetu.

Anapaswa kuepuka wasaidizi wake wanaomsifia kupita kiasi na kumshauri kinafiki.

Tunamwomba rais wetu asibweteke na kuanza siasa za kibabe kama anavyoshauriwa na wanafiki wengi waliomzunguka kwani mkakati huu utakuwa na madhara makubwa kwake na kwa wananchi.

NB: Suala la kupuuzia marekebisho ya katiba litamletea fedheha kubwa siku zijazo.
The guilty are afraid.
 
Back
Top Bottom