DIRIMULAINA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 921
- 1,720
Huo upeo wa kusoma na kujiridhisha anao?Apunguze tu uvivu, baasi. Mambo ya kutegemea sana wasaidizi na kusaini bila kujiridhisha ndio yanayomuharibia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo upeo wa kusoma na kujiridhisha anao?Apunguze tu uvivu, baasi. Mambo ya kutegemea sana wasaidizi na kusaini bila kujiridhisha ndio yanayomuharibia.
Ni kweli Kabisa juzi nilimuona pale Meru ...ana msongo mawazo!Kwa anayefuatilia hotuba za Rais Samia atagundua kuwa namna yake ya kuzungumza na hulka yake vimebadilika kwa kiasi flani tangu sakata la bandari lianze. Ile sauti yake ya kurelax na kujiamini imetetereka kidogo. Sina uhakika kama ni hali ya hewa na kibaridi hiki.
Hii yaweza kumaanisha nini?
1. Kwamba ameguswa na yanayoendelea kuhusu bandari
2. Hakutegemea yanayoendelea kufika mbali hivyo
3. Ni dadili ya kusutwa dhamiri
4. Anahisi kupoteza uungwaji mkono na heshima aliyojijengea (loss of trust).
5. Amekuwa kwenye shinikizo (stress) kubwa kipindi hiki
6. Amegundua kuwa kumbe watanzania wanaweza kuamua kufuatilia mambo yao na hata kuyaelewa vizuri na hata kuyakomalia kwa hoja.
7. Amekuwa defensive na mwenye mipasho kinyume na tunavyomjua.
Ama kwa hakika hiki ni kipindi kigumu kwa rais wetu.
Anapaswa kuwa mkweli kwa nafsi yake na kwa nchi yake.
Anapaswa kuruhusu mchakato wa wazi na wa kizalendo juu ya bandari zetu.
Anapaswa kuepuka wasaidizi wake wanaomsifia kupita kiasi na kumshauri kinafiki.
Tunamwomba rais wetu asibweteke na kuanza siasa za kibabe kama anavyoshauriwa na wanafiki wengi waliomzunguka kwani mkakati huu utakuwa na madhara makubwa kwake na kwa wananchi.
sure, body language, facial expressions and her tone tells everything. Vimechange mno.Kwa anayefuatilia hotuba za Rais Samia atagundua kuwa namna yake ya kuzungumza na hulka yake vimebadilika kwa kiasi flani tangu sakata la bandari lianze. Ile sauti yake ya kurelax na kujiamini imetetereka kidogo. Sina uhakika kama ni hali ya hewa na kibaridi hiki.
Hii yaweza kumaanisha nini?
1. Kwamba ameguswa na yanayoendelea kuhusu bandari
2. Hakutegemea yanayoendelea kufika mbali hivyo
3. Ni dadili ya kusutwa dhamiri
4. Anahisi kupoteza uungwaji mkono na heshima aliyojijengea (loss of trust).
5. Amekuwa kwenye shinikizo (stress) kubwa kipindi hiki
6. Amegundua kuwa kumbe watanzania wanaweza kuamua kufuatilia mambo yao na hata kuyaelewa vizuri na hata kuyakomalia kwa hoja.
7. Amekuwa defensive na mwenye mipasho kinyume na tunavyomjua.
Ama kwa hakika hiki ni kipindi kigumu kwa rais wetu.
Anapaswa kuwa mkweli kwa nafsi yake na kwa nchi yake.
Anapaswa kuruhusu mchakato wa wazi na wa kizalendo juu ya bandari zetu.
Anapaswa kuepuka wasaidizi wake wanaomsifia kupita kiasi na kumshauri kinafiki.
Tunamwomba rais wetu asibweteke na kuanza siasa za kibabe kama anavyoshauriwa na wanafiki wengi waliomzunguka kwani mkakati huu utakuwa na madhara makubwa kwake na kwa wananchi.
Amesema ameweka vizibo masikioni .hasikii wala hataki kusikiaKwa anayefuatilia hotuba za Rais Samia atagundua kuwa namna yake ya kuzungumza na hulka yake vimebadilika kwa kiasi flani tangu sakata la bandari lianze. Ile sauti yake ya kurelax na kujiamini imetetereka kidogo. Sina uhakika kama ni hali ya hewa na kibaridi hiki.
Hii yaweza kumaanisha nini?
1. Kwamba ameguswa na yanayoendelea kuhusu bandari
2. Hakutegemea yanayoendelea kufika mbali hivyo
3. Ni dadili ya kusutwa dhamiri
4. Anahisi kupoteza uungwaji mkono na heshima aliyojijengea (loss of trust).
5. Amekuwa kwenye shinikizo (stress) kubwa kipindi hiki
6. Amegundua kuwa kumbe watanzania wanaweza kuamua kufuatilia mambo yao na hata kuyaelewa vizuri na hata kuyakomalia kwa hoja.
7. Amekuwa defensive na mwenye mipasho kinyume na tunavyomjua.
Ama kwa hakika hiki ni kipindi kigumu kwa rais wetu.
Anapaswa kuwa mkweli kwa nafsi yake na kwa nchi yake.
Anapaswa kuruhusu mchakato wa wazi na wa kizalendo juu ya bandari zetu.
Anapaswa kuepuka wasaidizi wake wanaomsifia kupita kiasi na kumshauri kinafiki.
Tunamwomba rais wetu asibweteke na kuanza siasa za kibabe kama anavyoshauriwa na wanafiki wengi waliomzunguka kwani mkakati huu utakuwa na madhara makubwa kwake na kwa wananchi.
Anatuchamba na kalamu naona wino umegandaIlianza kubadilika taratibu tangu hapo kabla. Japo Alisema yeye hawezi kufoka foka na kwamba atatumia zaidi kalamu; Ila kwa sasa ukweli ni kwamba anatufokea wananchi tena kwa vijembe!
Bado ule wa gesi ya mtwaraAnaona mkataba huu umebuma, vipi mingine itakapobumbulika?
Amesaini mikataba mingi ya Kimangungo wa Msovero
Huwa najiuliza hivi wakati wa kutuomba kura 2025 atakuwa na ujasiri wa kutoka wapi kama sasa hivi hawajali wamama na wananchi wanyonge (wa hali ya chini) ambao ndo maskini ya Mungu huwa wanapiga kura kwa uaminifu kulinganisha na matajiri ambao kwanza ni wachache na pili wengi wao hawanaga muda mchafu wa kwenda kupiga kura!Ilianza kubadilika taratibu tangu hapo kabla. Japo Alisema yeye hawezi kufoka foka na kwamba atatumia zaidi kalamu; Ila kwa sasa ukweli ni kwamba anatufokea wananchi tena kwa vijembe!
Hili litamgharimu sana 2025 wakati wa kuomba kuraAnatuchamba na kalamu naona wino umeganda
🤣🤣Hawezi,huwezi mfundisha mbwa mzee mbinu mpya 🤔 jahazi lishazama ukizingatia na asili ya atokako,ndo ntolee hiyo🙏Apunguze tu uvivu, baasi. Mambo ya kutegemea sana wasaidizi na kusaini bila kujiridhisha ndio yanayomuharibia.
Niliwahi comment huko nyuma, mama Samia takes everything for granted.Kwa anayefuatilia hotuba za Rais Samia atagundua kuwa namna yake ya kuzungumza na hulka yake vimebadilika kwa kiasi flani tangu sakata la bandari lianze. Ile sauti yake ya kurelax na kujiamini imetetereka kidogo. Sina uhakika kama ni hali ya hewa na kibaridi hiki.
Hii yaweza kumaanisha nini?
1. Kwamba ameguswa na yanayoendelea kuhusu bandari
2. Hakutegemea yanayoendelea kufika mbali hivyo
3. Ni dadili ya kusutwa dhamiri
4. Anahisi kupoteza uungwaji mkono na heshima aliyojijengea (loss of trust).
5. Amekuwa kwenye shinikizo (stress) kubwa kipindi hiki
6. Amegundua kuwa kumbe watanzania wanaweza kuamua kufuatilia mambo yao na hata kuyaelewa vizuri na hata kuyakomalia kwa hoja.
7. Amekuwa defensive na mwenye mipasho kinyume na tunavyomjua.
Ama kwa hakika hiki ni kipindi kigumu kwa rais wetu.
Anapaswa kuwa mkweli kwa nafsi yake na kwa nchi yake.
Anapaswa kuruhusu mchakato wa wazi na wa kizalendo juu ya bandari zetu.
Anapaswa kuepuka wasaidizi wake wanaomsifia kupita kiasi na kumshauri kinafiki.
Tunamwomba rais wetu asibweteke na kuanza siasa za kibabe kama anavyoshauriwa na wanafiki wengi waliomzunguka kwani mkakati huu utakuwa na madhara makubwa kwake na kwa wananchi.
Ameyumba hadi watoto wamemwona. Kujiamini kumepotea sana.hayo mawazo yako tu but she us fully determined to follow her path of development,wala hayumbi
Kabudi huyuhuyu aliyemuita jiwe mungu[emoji849]Amwombe Kabudi amsaidie kny mikataba kabla ya kusaini
Nao pia ni raia wa nchi hii wanayo haki sawa ya kuukubali na kuusifia mkataba Kama ilivyohaki uliyonayo ya kuukataa,Kwanza jiulize rostam aziz ametoka wapi saa hizi majukwaani. Nani kamtuma. Na wale kina kingwendu wale wachekeshaji nani kawashonea suti waje kupingana na wananchi wakiongozwa na maprofesa wazalendo na mawakili wasomi dhidi ya kuwapa wageni kuendesha bandari zetu kwa masharti ya kibeberu na kikoloni.
Yote hayo yanatokea kipindi hiki cha uongozi mbovu wa kihuni. Lazima mama awe na tafakari kali maana hakutegemea kama watanzania wanajua wanataka nchi yao iongozwe vipi.
ulimi uliteleza lakini huyu jamaa yuko vzr kitaalumaKabudi huyuhuyu aliyemuita jiwe mungu[emoji849]
Kukosa umakini na kufuatilia kila detail kunamponza Mama.Si uongozi mbovu tu, bali ni uongozi wa kijinga na kipuuzi haijawahi tokea tangu tupate uhuru hadi leo.
Rostam ana kashfa nzito ya RADAR toka 2011, na anatafutwa Uingereza.Kwanza jiulize rostam aziz ametoka wapi saa hizi majukwaani. Nani kamtuma. Na wale kina kingwendu wale wachekeshaji nani kawashonea suti waje kupingana na wananchi wakiongozwa na maprofesa wazalendo na mawakili wasomi dhidi ya kuwapa wageni kuendesha bandari zetu kwa masharti ya kibeberu na kikoloni.
Yote hayo yanatokea kipindi hiki cha uongozi mbovu wa kihuni. Lazima mama awe na tafakari kali maana hakutegemea kama watanzania wanajua wanataka nchi yao iongozwe vipi.
The guilty are afraid.Kwa anayefuatilia hotuba za Rais Samia atagundua kuwa namna yake ya kuzungumza na hulka yake vimebadilika kwa kiasi flani tangu sakata la bandari lianze. Ile sauti yake ya kurelax na kujiamini imetetereka kidogo. Sina uhakika kama ni hali ya hewa na kibaridi hiki.
Lakini hii yaweza kumaanisha nini?
1. Kwamba ameguswa na yanayoendelea kuhusu bandari
2. Hakutegemea yanayoendelea kufika mbali hivyo
3. Ni dadili ya kusutwa dhamiri
4. Anahisi kupoteza uungwaji mkono na heshima aliyojijengea (loss of trust).
5. Amekuwa kwenye shinikizo (stress) kubwa kipindi hiki
6. Amegundua kuwa kumbe watanzania wanaweza kuamua kufuatilia mambo yao, kuyaelewa vizuri na hata kuyakomalia kwa hoja.
7. Amekuwa defensive na mwenye mipasho kinyume na tunavyomjua.
Ama kwa hakika hiki ni kipindi kigumu kwa rais wetu.
Sasa;
Anapaswa kuwa mkweli kwa nafsi yake na kwa nchi yake.
Anapaswa kuruhusu mchakato wa wazi na wa kizalendo juu ya bandari zetu.
Anapaswa kuepuka wasaidizi wake wanaomsifia kupita kiasi na kumshauri kinafiki.
Tunamwomba rais wetu asibweteke na kuanza siasa za kibabe kama anavyoshauriwa na wanafiki wengi waliomzunguka kwani mkakati huu utakuwa na madhara makubwa kwake na kwa wananchi.
NB: Suala la kupuuzia marekebisho ya katiba litamletea fedheha kubwa siku zijazo.