Ongea ya Rais Samia imebadilika tangu sakata la bandari lianze

Ongea ya Rais Samia imebadilika tangu sakata la bandari lianze

Kwa anayefuatilia hotuba za Rais Samia atagundua kuwa namna yake ya kuzungumza na hulka yake vimebadilika kwa kiasi flani tangu sakata la bandari lianze. Ile sauti yake ya kurelax na kujiamini imetetereka kidogo. Sina uhakika kama ni hali ya hewa na kibaridi hiki.

Lakini hii yaweza kumaanisha nini?

1. Kwamba ameguswa na yanayoendelea kuhusu bandari

2. Hakutegemea yanayoendelea kufika mbali hivyo

3. Ni dadili ya kusutwa dhamiri

4. Anahisi kupoteza uungwaji mkono na heshima aliyojijengea (loss of trust).

5. Amekuwa kwenye shinikizo (stress) kubwa kipindi hiki

6. Amegundua kuwa kumbe watanzania wanaweza kuamua kufuatilia mambo yao, kuyaelewa vizuri na hata kuyakomalia kwa hoja.

7. Amekuwa defensive na mwenye mipasho kinyume na tunavyomjua.

Ama kwa hakika hiki ni kipindi kigumu kwa rais wetu.

Sasa;

Anapaswa kuwa mkweli kwa nafsi yake na kwa nchi yake.

Anapaswa kuruhusu mchakato wa wazi na wa kizalendo juu ya bandari zetu.

Anapaswa kuepuka wasaidizi wake wanaomsifia kupita kiasi na kumshauri kinafiki.

Tunamwomba rais wetu asibweteke na kuanza siasa za kibabe kama anavyoshauriwa na wanafiki wengi waliomzunguka kwani mkakati huu utakuwa na madhara makubwa kwake na kwa wananchi.

NB: Suala la kupuuzia marekebisho ya katiba litamletea fedheha kubwa siku zijazo.
Sawa, so what!
Kama bandari yao tayari washaiuza na hamna la kuwafanya zaidi ya kutungatunga tu humu vithread vya kupotezea muda.
 
Huwa najiuliza hivi wakati wa kutuomba kura 2025 atakuwa na ujasiri wa kutoka wapi kama sasa hivi hawajali wamama na wananchi wanyonge (wa hali ya chini) ambao ndo maskini ya Mungu huwa wanapiga kura kwa uaminifu kulinganisha na matajiri ambao kwanza ni wachache na pili wengi wao hawanaga muda mchafu wa kwenda kupiga kura!
Chawa wake watamuombea.
Na ndio maana pengine vimeanzishwa vyama vya kumsifia na kumpamba!
 
Sawa, so what!
Kama bandari yao tayari washaiuza na hamna la kuwafanya zaidi ya kutungatunga tu humu vithread vya kupotezea muda.
Hivyo “vithread” ndio vinawafanya wajitathmini vizuri. Kwani kuna watu wamefanya maandamano ya maana isipokuwa hivi “vithread” tu.
 
Na huu ni mmoja katika ile mikataba 37 iliyosainiwa kwenye maonesho ya Dubai,hatujui hiyo 36 iliyobakia inasomekaje, ukisikia kuuzwa sasa ndiyo huku. Maza anaupiga mwingi hadi unamwagika.
 
Kwa anayefuatilia hotuba za Rais Samia atagundua kuwa namna yake ya kuzungumza na hulka yake vimebadilika kwa kiasi flani tangu sakata la bandari lianze. Ile sauti yake ya kurelax na kujiamini imetetereka kidogo. Sina uhakika kama ni hali ya hewa na kibaridi hiki.

Lakini hii yaweza kumaanisha nini?

1. Kwamba ameguswa na yanayoendelea kuhusu bandari

2. Hakutegemea yanayoendelea kufika mbali hivyo

3. Ni dadili ya kusutwa dhamiri

4. Anahisi kupoteza uungwaji mkono na heshima aliyojijengea (loss of trust).

5. Amekuwa kwenye shinikizo (stress) kubwa kipindi hiki

6. Amegundua kuwa kumbe watanzania wanaweza kuamua kufuatilia mambo yao, kuyaelewa vizuri na hata kuyakomalia kwa hoja.

7. Amekuwa defensive na mwenye mipasho kinyume na tunavyomjua.

Ama kwa hakika hiki ni kipindi kigumu kwa rais wetu.

Sasa;

Anapaswa kuwa mkweli kwa nafsi yake na kwa nchi yake.

Anapaswa kuruhusu mchakato wa wazi na wa kizalendo juu ya bandari zetu.

Anapaswa kuepuka wasaidizi wake wanaomsifia kupita kiasi na kumshauri kinafiki.

Tunamwomba rais wetu asibweteke na kuanza siasa za kibabe kama anavyoshauriwa na wanafiki wengi waliomzunguka kwani mkakati huu utakuwa na madhara makubwa kwake na kwa wananchi.

NB: Suala la kupuuzia marekebisho ya katiba litamletea fedheha kubwa siku zijazo.
Anasoma jf!

Na juzi amegundua ile operation ambayo ilisitishwa alipopewa maagizo nini afanye awamu Hii,imehuishwa tena SASA hajui hatma yake ni ipi coz kitabu /katiba kavuruga hakuna chochote hadi sasa kinyume na makubaliano kwamba UCHAGUZI wa serikali za mitaa usubiri hadi katiba mpya!hadi SASA hakuna katiba wala nini zaidi ya sakata la Bandari na kufukuzwa KWA masai ngorongoro!!

anajua MAANA yake nini kina Dr slaa wanapoanza press!!

tuendelee kusubiri!!
 
Toka awali wenye ufahamu tulijua kiti hakina mtu...
Kabisa, kuna ombwe la Uongozi wa juu katika nchi yetu.
Nadhani katiba mpya inatakiwa iwe kwamba akifariki au kujiuzuru kiongozi aliyechaguliwa na wananchi basi makamu wake ashikilie tu kwa siku 90, halafu uitishwe tena uchaguzi Mkuu kwa ajili ya kumpata kiongozi aliyechaguliwa na watu..
Kuongozwa na mtu ambaye hajachaguliwa kushikilia nafasi ya juu kama hiyo, matokeo yake ndo haya. Hakuna kujali nchi, wananchi pamoja na rasilimali zao.
I have never ever seen such a leadership since I was born!
 
Eti "mama anaupiga mwingi..!!" You can imagine nchi ilivyo na viumbe wa ajabu hii..
 
Kabisa, kuna ombwe la Uongozi wa juu katika nchi yetu.
Nadhani katiba mpya inatakiwa iwe kwamba akifariki au kujiuzuru kiongozi aliyechaguliwa na wananchi basi makamu wake ashikilie tu kwa siku 90, halafu uitishwe tena uchaguzi Mkuu kwa ajili ya kumpata kiongozi aliyechaguliwa na watu..
Kuongozwa na mtu ambaye hajachaguliwa kushikilia nafasi ya juu kama hiyo, matokeo yake ndo haya. Hakuna kujali nchi, wananchi pamoja na rasilimali zao.
I have never ever seen such a leadership since I was born!

Uko sahihi inatakiwa kuwa hivyo, wakati wa hicho kipindi cha mpito Huyo Rais anayekaimu hatakiwi kusaini mikataba yoyote mikubwa mikubwa hadi serikali yenye ridhaa ya wananchi itakapochaguliwa.
 
Ni kweli Kabisa juzi nilimuona pale Meru ...ana msongo mawazo!
Sidhani kama aliJua anachofqnya!
Kiashiria kibaya Kabisa Kwa CCM ni Kauli ya Jaji Warioba!
Huyu Mzee huwa yupo making sana kuikosoa CCM .Ukiona Warioba anapinga kitu Cha CCM hapo ogopa!
Inawezekana hata Kauli ya Malechela juzi ilikuwa ni kupooza hali ya hewa!.Bahati mbaya sana Malechela siku hizi haeleweki ,nafikiri uzee umemuathiri ..sidhani hata kamam alisoma Yale makubalino!

Malecela mke wake (Anne Kilango Malecela)ni Kati ya wale wabunge 30 walioenda Dubai kutalii, shopping na kulamba asali. Kwahiyo lazima aunge mkono.

Judge Warioba siku zote anasimamia ukweli na haki.
 
Kwa anayefuatilia hotuba za Rais Samia atagundua kuwa namna yake ya kuzungumza na hulka yake vimebadilika kwa kiasi flani tangu sakata la bandari lianze. Ile sauti yake ya kurelax na kujiamini imetetereka kidogo. Sina uhakika kama ni hali ya hewa na kibaridi hiki.

Lakini hii yaweza kumaanisha nini?

1. Kwamba ameguswa na yanayoendelea kuhusu bandari

2. Hakutegemea yanayoendelea kufika mbali hivyo

3. Ni dadili ya kusutwa dhamiri

4. Anahisi kupoteza uungwaji mkono na heshima aliyojijengea (loss of trust).

5. Amekuwa kwenye shinikizo (stress) kubwa kipindi hiki

6. Amegundua kuwa kumbe watanzania wanaweza kuamua kufuatilia mambo yao, kuyaelewa vizuri na hata kuyakomalia kwa hoja.

7. Amekuwa defensive na mwenye mipasho kinyume na tunavyomjua.

Ama kwa hakika hiki ni kipindi kigumu kwa rais wetu.

Sasa;

Anapaswa kuwa mkweli kwa nafsi yake na kwa nchi yake.

Anapaswa kuruhusu mchakato wa wazi na wa kizalendo juu ya bandari zetu.

Anapaswa kuepuka wasaidizi wake wanaomsifia kupita kiasi na kumshauri kinafiki.

Tunamwomba rais wetu asibweteke na kuanza siasa za kibabe kama anavyoshauriwa na wanafiki wengi waliomzunguka kwani mkakati huu utakuwa na madhara makubwa kwake na kwa wananchi.

NB: Suala la kupuuzia marekebisho ya katiba litamletea fedheha kubwa siku zijazo.
Wakatoliki acheni chuki
 
Back
Top Bottom