F fazili JF-Expert Member Joined Jun 10, 2011 Posts 16,427 Reaction score 22,418 Jun 28, 2023 Thread starter #141 LUZGER said: Huo ni umbea wako Wa kutaka uungwe mkono na wengi Unajaribu kubadilisha usiku uwe mchana na ss tuamini hivyo! Hayo uliyoongea ni fikira zako zimekutuma huko lkn sio In general! Click to expand... Toa hoja mzee.
LUZGER said: Huo ni umbea wako Wa kutaka uungwe mkono na wengi Unajaribu kubadilisha usiku uwe mchana na ss tuamini hivyo! Hayo uliyoongea ni fikira zako zimekutuma huko lkn sio In general! Click to expand... Toa hoja mzee.
Manjagata JF-Expert Member Joined Mar 7, 2012 Posts 13,942 Reaction score 15,371 Jun 29, 2023 #142 fazili said: Mtu yeyote asiyeona kwamba katiba yetu ni mbovu mno na ndio inayoruhusu mikataba mibovu huyo mtu ni punguani. Click to expand... Shughulikieni kwanza umoja kwenye mavyama yenu pumbavu wewe!!
fazili said: Mtu yeyote asiyeona kwamba katiba yetu ni mbovu mno na ndio inayoruhusu mikataba mibovu huyo mtu ni punguani. Click to expand... Shughulikieni kwanza umoja kwenye mavyama yenu pumbavu wewe!!
kaburungu JF-Expert Member Joined Mar 9, 2011 Posts 3,706 Reaction score 6,901 Jun 29, 2023 #143 Manjagata said: Shughulikieni kwanza umoja kwenye mavyama yenu pumbavu wewe!! Click to expand... Hasira ya nini dunduka? Nimesoma comment hadi nimecheka..unajipa pressure bure kisa kada hapa kinachojadiliwa maslahi mapana ya mama Tanzania.
Manjagata said: Shughulikieni kwanza umoja kwenye mavyama yenu pumbavu wewe!! Click to expand... Hasira ya nini dunduka? Nimesoma comment hadi nimecheka..unajipa pressure bure kisa kada hapa kinachojadiliwa maslahi mapana ya mama Tanzania.
misasa JF-Expert Member Joined Feb 5, 2014 Posts 14,244 Reaction score 10,073 Jun 29, 2023 #144 Sauti imekata ndio maana kamtuma ROSTAM aongee kwa niaba yake
H HOPEfull JF-Expert Member Joined Apr 8, 2021 Posts 1,882 Reaction score 2,313 Jun 29, 2023 #145 Huko kwenye ziara anagusia gusia kidogo au??