Pasi na ushaidi unapiga keleleNchi zilizoendelea ndio Kuna Kodi kubwa kuliko kawaida na tena ndio nguvu unatumika Sana. Unakumbuka kilichomkuta Messi na Ronaldo mahakamani?
Huku Africa kwenye Kodi bado Sana, watu wanaonewa huruma sana
Na for your information alichoongea Prof Assad kuhusu weledi wa rasilimaliwatu serikalini ni ukweli mtupu, na ndio maana wastaafu wengi wa Serikali hawana maisha marefu baada ya kustaafu kulinganisha na private sectorNchi zilizoendelea ndio Kuna Kodi kubwa kuliko kawaida na tena ndio nguvu unatumika Sana. Unakumbuka kilichomkuta Messi na Ronaldo mahakamani?
Huku Africa kwenye Kodi bado Sana, watu wanaonewa huruma sana
Watumie weledi sio nguvuRais hajawazuia TRA kukusanya Kodi.Alichosisitiza mh.Rais ni weledi katika kutekeleza zoezi hilo.
Kusimamisha miradi ambayo haikupangiliwa vizuri hakuepukiki. Kwenye project management kuna kitu kinaitwa critical path analysis. Ambapo kila activity ina muda wake wa kutekelezwa huku ikizingatia mtegemeano na raslimali fedha.Akili za watanzania waachie wenyewe ipe wakati miezi michache mbele utaona mada humu za watu kulalamika mishahara imechelewa na hiyo miradi kama inategemea mikopo kuna phase zitasimama kwa sababu soon tutakuwa atuaminiki tena na wakopeshaji.
Wala sio uganga hilo jambo linakuja soon, mama anadhani maswala ya kodi ni mzaha mzaha, wa kusikiliza story za kwenye social media.
Mara ya kwanza nilipotoka Tanzania kwenda Switzerland na baadaye Australia, nilijiuliza sana kama na sisi huku Tanzania ni wanadamu kamili.Mimi nimeishi Netherlands 5 years na nimekua nikilipa PAYE Kule TRA inaitwa Belasting Dienst, na nimetembelea 9 countries across Europe, hata police customer care ni kama upo 5 Star Hotel, tatizo la waajiriwa wengi wa Idara za Serikali ni lack of exposure na kukazania GPA
Sasa kutana na wabongo, impression ya kwanza nitapataje rushwa kwa huyu bwana, mm hata traffic police akinikamata kwa overspeed unamwona mostly anafocus compromise na ukimwambia timiza wajibu wako kitaaluma kwa Maana ya fine hata facial expression unaona hakuipendaMara ya kwanza nilipotoka Tanzania kwenda Switzerland na baadaye Australia, nilijiuliza sana kama na sisi huku Tanzania ni wanadamu kamili.
Nchi za wenzetu, wanaheshimu sana utu na ubinadamu wa watu wote. Hiyo haijalishi mwanadamu huyo ni kiongozi, raia wa kawaida au mtuhumiwa.
Kuna wakati nilikuwa Switzerland, ikaja kujulikana kuwa kuna Wasudan waliingia kwa kupitia mataifa mengine bila kufuata taratibu. Kwa vile Wasudan ni weusi, hivyo kila mweusi alitiliwa mashaka.
Nakumbuka wakati huo nikiwa kijana kabisa, polisi waliponijia, waliniambia:
English, French, Germany? Nikawaambia, English. Kisha wakaendelea:
"Excuse me Sir, my name is ---------, accompanied by ------ and ------. Our main duty is to enforce the law. We want to clear ourselves. We would like to confirm - you are in a country after having met all the immigration requirements. If you don't mind, can we see your passport?
Baada ya kuwaonesha passport yangu, wakatizama sehemu ilipogongwa visa yangu, wakanirudishia. Kisha wakaniambia. We are done. Thank you for your cooperation.
Kisha wakaniuliza, is Tanzania a nice country? Nikawaambia Yes. Mmoja akauliza, do you know Zanzibar, nikawajibu. Wakaniuliza, it is in which part of Africa, nikawajibu. Hapo niling'amua kuwa ingawa tulikuwa tunaendelea na mazungumzo ya kawaida, hawa bwana walikuwa bado kazini. Walikuwa wanataka kujua kama kweli mimi ni Mtanzania, na hiyo passport ni halali, na wala sijapata, pengine kwa njia za panya.
Baadaye, wakaniomba msamaha kwa kunipotezea muda. Mmoja akanipa business card yake, na kusema, feel free to contact me in case you have uncomfortablly been treated by any one while in the country.
Watu wengi mnashindwa kuelewa kuwa mosi uwekaji wa vitabu tanzania ni kizungumkuti, ambayo ndio chanzo cha kupata taarifa, na hizo taarifa wanaotakiwa kuwa nazo ni wafanya biashara, pili ni utoaji wa receipt, mkiambiwa tumechelewa sana muelewe hivyo. Hiyo mifumo ipo siku nyingi lakini ukija Tz watu hawataki iwepo na wanayofanya hivyo ni wafanya biashara , kuwekwa wizara ya technology n.k ya Faustine, inatakiwa kujulikana imewekewa kwa sababu gani, ni kuimarisha mifumo ua taarifa ambayo tumechelewa sana kuiweka. Rejea issue za flow meter na issues za in transit, na issue za wenye ma basi, halafu uje kwenye maduka yetu, na pia mfumo yetu ya malipo ndio utajua kiasi cha ukwepaji wa kodi Tanzania.Na Jambo la kujifunza nchi ziliizoendelea kodi zinakusanywa in a very professional way na hakuna intimidation zinazodiscourage investment, mama yupo 100% perfect kwenye hili kurestore investors confidence, business community ni partners katika development sio maadui, ukiwaua mayai endelevu utapata wapi?, kuna fursa kibao za kodi wajaexplore wanakamua waliopo mpaka damu, unaenda kumdai mtu ana lodge 1.2 bn means ameingiza gross profit 12 bn annually, logically is it possible? Mimi ningetamani wafanyabiashara waliofanikiwa wangekua kwenye TRA BOARD of Directors
Wewe hao watu ni wezi balaa!Wakenya wana piga kazi sana ukweli ndio huo sisi tumezoea dhuluma hatujui kufuata sheria Kenya wana jua haki ya kisheria kuliko sisi!
TRA ipewe wakenya tu watafuata sheria bila kudhulumiwa serikali wala wafanya biashara!
Tatizo wanaoajiriwa kuweka mifumo wanaweka mifumo ya matumbo yao, just imagine maafisa biashara wa halmashauri zote wanalipwa mishahara ya mwaka huku wakitekeleza jukumu la kurenew leseni tu kipindi cha mwaka mpya wa fedha wa Serikali tu, hawahangaiki hata kuwa train wafanyabiashara wadogo wakue na wajifunze kuweka kumbukumbu zao kiusahihi, ili baadae wakue na wawe walipa kodi wakubwaWatu wengi mnashindwa kuelewa kuwa mosi uwekaji wa vitabu tanzania ni kizungumkuti, ambayo ndio chanzo cha kupata taarifa, na hizo taarifa wanaotakiwa kuwa nazo ni wafanya biashara, pili ni utoaji wa receipt, mkiambiwa tumechelewa sana muelewe hivyo. Hiyo mifumo ipo siku nyingi lakini ukija Tz watu hawataki iwepo na wanayofanya hivyo ni wafanya biashara , kuwekwa wizara ya technology n.k ya Faustine, inatakiwa kujulikana imewekewa kwa sababu gani, ni kuimarisha mifumo ua taarifa ambayo tumechelewa sana kuiweka. Rejea issue za flow meter na issues za in transit, na issue za wenye ma basi, halafu uje kwenye maduka yetu, na pia mfumo yetu ya malipo ndio utajua kiasi cha ukwepaji wa kodi Tanzania.
Na Mimi nina muheshimu sana Nyerere, alijaribu kuweka hiyo mifumo, lakini watu hawakumuelewa, sijui elimu au makusudi, na income tax ya wakati ule elimu ilikuwa ndogo, na vyeti fake.
Mkuu watu wanapotaka kukukopa awaangalii sana unadaiwa kiasi, wanachochali wao ni ratios zako mfano; debt interest to income ratio, interest cover and so forth.Kusimamisha miradi ambayo haikupangiliwa vizuri hakuepukiki. Kwenye project management kuna kitu kinaitwa critical path analysis. Ambapo kila activity ina muda wake wa kutekelezwa huku ikizingatia mtegemeano na raslimali fedha.
Kodi hakuanza kukusanya Magufuli, bali zimmmekuwa zikikusanywa toka wakati wa Mkoloni, Awamu ya 1 - 4. Magufuli alikosa mpangilio wa miradi mikubwa hususan (SGR na STIGLERs) ndiyo maana kila wakati aliona fedha anazokusanya hazitoshi.
Pili Magufuli ni mtu wa propaganda. Siyo kweli kwamba alikusanya Sana kumzidi JK. Yawezekana walikuwa sawa. Nasema hivi kwa kuwa wakati wa JK Halmashauri zilikuwa zinakusanya na kutekelezwa mipango yao ya maenseleo. Ila wakati wa Mwendazake alizipokonya Halmashauri na fedha zote zikaingia Hazina.
Tatu Magufuli alikuwa anakopa wastani wa Tsh 5 Trilion kwa mwaka wakati JK alikuwa anakopa wastani wa Tsh 2 Trilion. Deni la Serikali wakati wa BWM likikuwa Tsh 10 Trillion, wakati wa JK 30 Trillion na Mwendazake hadi anakufa liko Tsh 60 Trillion.
Mwacheni Mama Rais SSH atekeleze majukumu yake bila pressure. Amesema hataki Kodi ya dhuluma
Collection sio kuua private sector, madini na utalii sustainable pia lazima ziwe endelevuMkuu watu wanapotaka kukukopa awaangalii sana unadaiwa kiasi, wanachochali wao ni ratios zako kama za debt interest to income ratio, interest cover to income and so forth.
Na ratio zina bench marks zake wewe kama serikali yako gearing ratio zake ni over 70% hakuna mtu atakupa hela yake kirahisi.
Basically kinachofanywa na IMF or any other international lender kwenye risk assessment za national debt management is just basic financial accounting wamebadili tu terminologies to fit economics.
Serikali ni ‘going-concern’ akitoka mmoja akija mwingine alichokuta kiko mezani ni mzigo kama ni miradi ambayo ipo kwenye pipeline aijaanza bado akiona terms sio nzuri, kama ni project ambazo zipo nusu ni jukumu lake kumaliza, kama ni madeni ni yake kuyalipa.
Sasa kama Magufuli ata kama alikopa kaondoka anauwezo wa kulipa na wewe ukafika ukashindwa kulipa madeni ina maana viatu vya kazi havikutoshi. Na kama kuna miradi ambayo ipo tayari ya kimkakati ukashindwa kuimaliza kisa kukosa mapato kazi imekushindwa.
Usione hao maraisi wengine wanashangaa hayati kawezaje kutimiza mengi kwa muda mfupi, kukopesheka sio kazi raisi kama unavyodhani; you need to improve your collection. Vinginevyo tusahau maendeleo watanzania, turudi kwenye vicious povert cycle tuliyoizoea tangia dunia iumbwe.
Yetu macho ila inaogopesha sanaMhe Rais, naomba utumie dakika chache kusoma barua hii wewe mwenyewe, na kama hautapata muda naomba wasaidizi wako wakusaidie kuusoma na kukufikikishia.
Naandika haya kama Raia aliye na wasiwasi baada ya kutafakari kwa kina juu ya "TONE" yako uliyokwishaitoa hadharani kuhusu taasisi hii nyeti inayokusanya mapato ya nchi.
Pia ni baada ya kukaa na baadhi ya maafisa kodi ambao wanakiri kwamba toka kauli yako kazi yao imekuwa ngumu kupindukia ni kama wamewekwa benchi!
Mhe. Rais, kwa sasa kuna mambo makuu mawili yanayotokea ambayo sidhani kama umeshayajua.
i) Wafanyabiashara wameacha kutoa risiti za EFD na ukiwadai wanasema kabisa WASISUMBULIWE maana Rais wao ameshatoa maelekezo hayo. Wapo HOLIDAY!
Hata TRA wenyewe wamecancel mazoezi ya ku-enforce utoaji risiti. Maana wanajua wakienda watabagazwa!
Swali kubwa hapa, Je, Kodi gani itakusanywa na nchi bila watu kutoa risiti? Unawezaje kutrack mauzo ya mlipa kodi bila kutoa risiti ya EFD?
ii) Wafanyabiashara hawapeleki tena malipo ya kodi kwa kama kasi ya awali, kila mmoja ameset mind ya kupinga kodi maana anaona kama kile alichokadiriwa si sahihi baada ya kauli ya Rais.
Wataalam wenyewe wanasema impact yake itaonekana katika taarifa za mapato mwezi huu na ijayo!
Mhe Rais, katika taasisi zote chini yako zinazohitaji Top Level Presidential Support ya moja kwa moja ni Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Bila TRA yenye support ya Rais, Taifa linakufa, na hakika litashindwa kufikia malengo yake.
Ni sawa na katika taasisi za kawaida, kitengo ambacho kinaleta mapato kwa taasisi, ndicho Mkurugenzi Mkuu hukitolea macho na kukipa support yote inayohitajika ili aweze kufikia malengo yake kibiashara.
Mhe Rais, sitaki kurejea katika maagizo yako ya nyuma kuhusu namna TRA wanavyofanya kazi ambayo uliyatoa hadharani, ila ningekuwa mmoja wa washauri wako ningeshauri usiongee sentensi zile hadharani bali uongee moja kwa moja na Viongozi na Wafanyakazi wa TRA indoors.
Kwa nini??. Kwa sababu nature ya mfanyabiashara ni kulalamika na kuficha mapato yake halisi. Hakuna mfanyabiashara hata mmoja aliye genuine ya kipato chake, Popote duniani. Hakuna!
Mhe. Rais, unaweza kukuta mfanyabiashara anafanya biashara yenye mauzo ya Billioni 2 anadeclare faida ya milioni 4, Seriously?
Katika mazingira hayo unahitaji Taasisi yenye nguvu na mamlaka ili iweze kutafuta wapi mtu huyu alipodanganya ili Serikali iweze kukusanya kodi yake. Otherwise, utachukua hio hio Milioni 4 alafu maisha yanaendelea wakati kwa hakika labda mtu huyo alipaswa kulipa milioni 50.
Mwisho:
Natambua kupitia maneno ya Makamu wako, Mhe. Mpango, umeweka malengo ya Trillion 2 kwa Mwezi, lakini ukweli ni kwamba hata kama sheria zitabadilika na baadhi ya kodi kupungua lazima kuna nyingine zitapanda ili kufikia lengo la Trillion 2. Sasa nani atatumika kuenforce ukusanyaji huo? Je ni hao hao TRA? Je wataweza ku-enforce huo ukusanyaji bila support yako? Au kuna watu wanaku-sabotage ili ushindwe kufikia malengo hayo?
Naomba kuhitimisha kwa kukushukuru kwa muda wako.
Wako,
Raia aliye na wasiwasi.
15 April, 2021
Nyongeza muhimu kutoka kwa baadhi ya wadau [emoji116]
Sio wezi kama sisi mkuuWewe hao watu ni wezi balaa!
Unataka watuibie sio!?
Sasa private sector imekufa vipi wewe unanunua chakula supermarket ya serikali, una kwenda kwenye starehe ya ukumbi wa serikali, unaweka mafuta ya gari kituo cha serikali, unanunua simu yako kwenye duka la serikali, umejenga nyumba yako na mafundi wa serikali.Collection sio kuua private sector, madini na utalii sustainable pia lazima ziwe endelevu
Kwa kweli unastahili kupewa nishani ya Mzalendo mkereketwa! Mungu akubariki sana! Wafanyabiashara ni watu muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa. Tatizo ni kwamba watanzania hatuna elimu ya kodi kama sehemu ya uzalendo. Tangu chekechea mpaka chuo kikuu hakuna mahali elimu ya kodi na umuhimu wake inafundishwa!Mhe Rais, naomba utumie dakika chache kusoma barua hii wewe mwenyewe, na kama hautapata muda naomba wasaidizi wako wakusaidie kuusoma na kukufikikishia.
Naandika haya kama Raia aliye na wasiwasi baada ya kutafakari kwa kina juu ya "TONE" yako uliyokwishaitoa hadharani kuhusu taasisi hii nyeti inayokusanya mapato ya nchi.
Pia ni baada ya kukaa na baadhi ya maafisa kodi ambao wanakiri kwamba toka kauli yako kazi yao imekuwa ngumu kupindukia ni kama wamewekwa benchi!
Mhe. Rais, kwa sasa kuna mambo makuu mawili yanayotokea ambayo sidhani kama umeshayajua.
i) Wafanyabiashara wameacha kutoa risiti za EFD na ukiwadai wanasema kabisa WASISUMBULIWE maana Rais wao ameshatoa maelekezo hayo. Wapo HOLIDAY!
Hata TRA wenyewe wamecancel mazoezi ya ku-enforce utoaji risiti. Maana wanajua wakienda watabagazwa!
Swali kubwa hapa, Je, Kodi gani itakusanywa na nchi bila watu kutoa risiti? Unawezaje kutrack mauzo ya mlipa kodi bila kutoa risiti ya EFD?
ii) Wafanyabiashara hawapeleki tena malipo ya kodi kwa kama kasi ya awali, kila mmoja ameset mind ya kupinga kodi maana anaona kama kile alichokadiriwa si sahihi baada ya kauli ya Rais.
Wataalam wenyewe wanasema impact yake itaonekana katika taarifa za mapato mwezi huu na ijayo!
Mhe Rais, katika taasisi zote chini yako zinazohitaji Top Level Presidential Support ya moja kwa moja ni Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Bila TRA yenye support ya Rais, Taifa linakufa, na hakika litashindwa kufikia malengo yake.
Ni sawa na katika taasisi za kawaida, kitengo ambacho kinaleta mapato kwa taasisi, ndicho Mkurugenzi Mkuu hukitolea macho na kukipa support yote inayohitajika ili aweze kufikia malengo yake kibiashara.
Mhe Rais, sitaki kurejea katika maagizo yako ya nyuma kuhusu namna TRA wanavyofanya kazi ambayo uliyatoa hadharani, ila ningekuwa mmoja wa washauri wako ningeshauri usiongee sentensi zile hadharani bali uongee moja kwa moja na Viongozi na Wafanyakazi wa TRA indoors.
Kwa nini??. Kwa sababu nature ya mfanyabiashara ni kulalamika na kuficha mapato yake halisi. Hakuna mfanyabiashara hata mmoja aliye genuine ya kipato chake, Popote duniani. Hakuna!
Mhe. Rais, unaweza kukuta mfanyabiashara anafanya biashara yenye mauzo ya Billioni 2 anadeclare faida ya milioni 4, Seriously?
Katika mazingira hayo unahitaji Taasisi yenye nguvu na mamlaka ili iweze kutafuta wapi mtu huyu alipodanganya ili Serikali iweze kukusanya kodi yake. Otherwise, utachukua hio hio Milioni 4 alafu maisha yanaendelea wakati kwa hakika labda mtu huyo alipaswa kulipa milioni 50.
Mwisho:
Natambua kupitia maneno ya Makamu wako, Mhe. Mpango, umeweka malengo ya Trillion 2 kwa Mwezi, lakini ukweli ni kwamba hata kama sheria zitabadilika na baadhi ya kodi kupungua lazima kuna nyingine zitapanda ili kufikia lengo la Trillion 2. Sasa nani atatumika kuenforce ukusanyaji huo? Je ni hao hao TRA? Je wataweza ku-enforce huo ukusanyaji bila support yako? Au kuna watu wanaku-sabotage ili ushindwe kufikia malengo hayo?
Naomba kuhitimisha kwa kukushukuru kwa muda wako.
Wako,
Raia aliye na wasiwasi.
15 April, 2021
Nyongeza muhimu kutoka kwa baadhi ya wadau 👇
Weka clip aliposema wabembelezwe msitupotoshe nyie maafisa wa TRA. Hakuna Mhe.Rais aliposema watu wabembelezwe kulipa kodi, alisema tumieni akiri kwa maslahi mapana ya Serikali na mlipa kodi pia.Najua ni mtumishi wa TRA,lakini ni kweli kwamba huwezi kumbembeleza mfanyibiashara asiyetaka kulipa kodi.Uta-coerse to some point,lakini akikataa ni lazima alazimishwe na sheria kufanya hivyo.