Orodha ya viongozi walioteuliwa na Rais Samia na kuonyesha uwezo mdogo kiutendaji na kiuongozi ni hawa hapa

Orodha ya viongozi walioteuliwa na Rais Samia na kuonyesha uwezo mdogo kiutendaji na kiuongozi ni hawa hapa

Yawezekana wengi wetu tumekulia mfumo dume lakini nadhani si sasa kusema wanawake hawafai kuwa viongozi.
Kuna wanawake wengi tu kwenye makampuni wanafanya vema.
Changamoto walionazo uliokutana nao na wanaume pia tuna zetu kwa wanawake waliokutana na sisi.
Tusitoe majumuisho yanayotawaliwa na tamaduni zetu au historia zetu, hii si sawa.
Hivi ikitokea mwanao wa kike amekua mbunge, waziri au Raisi hutakua unatusumbua mtaani na kutuambia mtoto wangu yule.
Kuanzia leo nakuomba uthamini mtoto wa kike akiwa na mapungufu ni yeye binafsi na iwe heri mwanao na mwanangu wote wa kike wakutane bungeni 2050.
Kwenye makampuni wapo wazuri kwa sababu wanachujwa sana.

Huko kwenye siasa usiseme mkuu, Mfano DC wa Nzega aligawa sketi sasa anaendeshwa na gari lenye bendera.
 
Karibuni mjifunze kitu kwa kaliba ya wanaoteuliwa kupewa vyeo bure na kushindwa kutumika na umma.

1. Halima Dendego Mkuu wa Mkoa wa Iringa
2. RPC songwe-ACP Theopista Mallya, kwenda kuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe
3. RPC Geita
4. Waziri wa Tamisemi na Naibu wake
4. Waziri wa Afya-Chanjo ya Ukimwi baina ya wizara ya Afya Tanzania na Marekani yaonesha mafanikio
5. Waziri wa fedha namipango
6. Waziri wa Nishati
7. Gavana wa Bank Kuu.
8. Waziri wa ujenzi na uchukuzi
9. Dc Nzega
10. Dc Ilala
11. RC dodoma
12. Katibu mwenezi wa ccm Taifa
13. Mkuu wa mkoa wa Morogoro
14. Waziri wa kilimo
15. RC Dar -Mkuu wa Mkoa Chalamila: Bia bila kelele ni sawa na juice
16. Balozi wa Tanzania- Zimbabwe, Siro, mabalozi wa Tanzania, Kuwait, Uingireza,FALME Za kiarabu, Germany, Japan
17. RC arusha
18. RC Tabora
19. RC Rukwa _ Makongoro Nyerere 20. Naibu Waziri wa mambo ya ndani
21. Naibu Waziri wa afya- Dr Mollel
22. Waziri wa katiba na Sheria
23. Waziri wa biashara na uwekezaji
24.RC Singida
25. Dc korogwe
26. Mkurugenzi mkuu wa Tanesco
28. Mkurugenzi wa TPA- bandari
29. Waziri wa ardhi : Angelina mabula eti PhD 😂
30. Waziri wa maliasili na utalii ( mkwe wa Maza).
31.Ongezea hapo na Wewe ——-
Wewe ni kiboko, umeweza kufuatilia mmoja mmoja
 
Karibuni mjifunze kitu kwa kaliba ya wanaoteuliwa kupewa vyeo bure na kushindwa kutumika na umma.

1. Halima Dendego Mkuu wa Mkoa wa Iringa
2. RPC songwe-ACP Theopista Mallya, kwenda kuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe
3. RPC Geita
4. Waziri wa Tamisemi na Naibu wake
4. Waziri wa Afya-Chanjo ya Ukimwi baina ya wizara ya Afya Tanzania na Marekani yaonesha mafanikio
5. Waziri wa fedha namipango
6. Waziri wa Nishati
7. Gavana wa Bank Kuu.
8. Waziri wa ujenzi na uchukuzi
9. Dc Nzega
10. Dc Ilala
11. RC dodoma
12. Katibu mwenezi wa ccm Taifa
13. Mkuu wa mkoa wa Morogoro
14. Waziri wa kilimo
15. RC Dar -Mkuu wa Mkoa Chalamila: Bia bila kelele ni sawa na juice
16. Balozi wa Tanzania- Zimbabwe, Siro, mabalozi wa Tanzania, Kuwait, Uingireza,FALME Za kiarabu, Germany, Japan
17. RC arusha
18. RC Tabora
19. RC Rukwa _ Makongoro Nyerere 20. Naibu Waziri wa mambo ya ndani
21. Naibu Waziri wa afya- Dr Mollel
22. Waziri wa katiba na Sheria
23. Waziri wa biashara na uwekezaji
24.RC Singida
25. Dc korogwe
26. Mkurugenzi mkuu wa Tanesco
28. Mkurugenzi wa TPA- bandari
29. Waziri wa ardhi : Angelina mabula eti PhD 😂
30. Waziri wa maliasili na utalii ( mkwe wa Maza).
31.Ongezea hapo na Wewe ——-
1) namba 4 mbona zipo mbili?

2) Umetumia vigezo vipi?
 
Ila Mabula chenga sana ujue,Jimbo la Ilemela Barabara ni mbovu balaa,Mimi naishi Lumala aisee, Barabara mvua imenyesha kidogo tu ni makaorongo kibao na yeye Wala hafanyi ziara Jimboni na DC na Mkurugenzi ni watu wa ofisini tu,kumtembelea Wananchi hakuna.
Lakini tuwe Wakweli ata Mama mwenyewe kachemka basi tu kakuta nchi yetu ni taifa la Wanafiki.
Mbunge wetu Ilemela ni janga kubwa yupo bussy na uwaziri.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Karibuni mjifunze kitu kwa kaliba ya wanaoteuliwa kupewa vyeo bure na kushindwa kutumika na umma.

1. Halima Dendego Mkuu wa Mkoa wa Iringa
2. RPC songwe-ACP Theopista Mallya, kwenda kuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe
3. RPC Geita
4. Waziri wa Tamisemi na Naibu wake
4. Waziri wa Afya-Chanjo ya Ukimwi baina ya wizara ya Afya Tanzania na Marekani yaonesha mafanikio
5. Waziri wa fedha namipango
6. Waziri wa Nishati
7. Gavana wa Bank Kuu.
8. Waziri wa ujenzi na uchukuzi
9. Dc Nzega
10. Dc Ilala
11. RC dodoma
12. Katibu mwenezi wa ccm Taifa
13. Mkuu wa mkoa wa Morogoro
14. Waziri wa kilimo
15. RC Dar -Mkuu wa Mkoa Chalamila: Bia bila kelele ni sawa na juice
16. Balozi wa Tanzania- Zimbabwe, Siro, mabalozi wa Tanzania, Kuwait, Uingireza,FALME Za kiarabu, Germany, Japan
17. RC arusha
18. RC Tabora
19. RC Rukwa _ Makongoro Nyerere 20. Naibu Waziri wa mambo ya ndani
21. Naibu Waziri wa afya- Dr Mollel
22. Waziri wa katiba na Sheria
23. Waziri wa biashara na uwekezaji
24.RC Singida
25. Dc korogwe
26. Mkurugenzi mkuu wa Tanesco
28. Mkurugenzi wa TPA- bandari
29. Waziri wa ardhi : Angelina mabula eti PhD 😂
30. Waziri wa maliasili na utalii ( mkwe wa Maza).
31.Ongezea hapo na Wewe ——-
Naona umemsahau nape nauye hio thread yako iko biased ifutwe nape ilitakiwa awe wa mwanzo kabisa hapo
 
Garbage in garbage out!

Watu weusi jinsia Ile wakipewa madaraka wanawehuka, wanalewa na kuvimbiwa!

Hata ulete wengine toka mbinguni results itakuwa hiyo hiyo , kazi sahihi kwao from Almighty God ni kujifungua, kukaa home na kulea watoto tu!

Hiyo jinsia ni shida tu mnalazimisha tu mi nawaona ofisini wanaboa kinoma, asilimia 98 kazi yao kujiremba tu muda mwingi! Hawaendi home mpaka wakajirembe wash room 1 hour! Mi nimeona kuna mademu wawili tu wenye akili ofisi nzima na hawajirembi wako natural!
 
Karibuni mjifunze kitu kwa kaliba ya wanaoteuliwa kupewa vyeo bure na kushindwa kutumika na umma.

1. Halima Dendego Mkuu wa Mkoa wa Iringa
2. RPC songwe-ACP Theopista Mallya, kwenda kuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe
3. RPC Geita
4. Waziri wa Tamisemi na Naibu wake
4. Waziri wa Afya-Chanjo ya Ukimwi baina ya wizara ya Afya Tanzania na Marekani yaonesha mafanikio
5. Waziri wa fedha namipango
6. Waziri wa Nishati
7. Gavana wa Bank Kuu.
8. Waziri wa ujenzi na uchukuzi
9. Dc Nzega
10. Dc Ilala
11. RC dodoma
12. Katibu mwenezi wa ccm Taifa
13. Mkuu wa mkoa wa Morogoro
14. Waziri wa kilimo
15. RC Dar -Mkuu wa Mkoa Chalamila: Bia bila kelele ni sawa na juice
16. Balozi wa Tanzania- Zimbabwe, Siro, mabalozi wa Tanzania, Kuwait, Uingireza,FALME Za kiarabu, Germany, Japan
17. RC arusha
18. RC Tabora
19. RC Rukwa _ Makongoro Nyerere 20. Naibu Waziri wa mambo ya ndani
21. Naibu Waziri wa afya- Dr Mollel
22. Waziri wa katiba na Sheria
23. Waziri wa biashara na uwekezaji
24.RC Singida
25. Dc korogwe
26. Mkurugenzi mkuu wa Tanesco
28. Mkurugenzi wa TPA- bandari
29. Waziri wa ardhi : Angelina mabula eti PhD [emoji23]
30. Waziri wa maliasili na utalii ( mkwe wa Maza).
31. Nape Moses Mnauye
32.Ongezea hapo na Wewe ——-
Namba 5&6 Kwa kweli mpaka hua naomba waamke tu hawapo ikibidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karibuni mjifunze kitu kwa kaliba ya wanaoteuliwa kupewa vyeo bure na kushindwa kutumika na umma.

1. Halima Dendego Mkuu wa Mkoa wa Iringa
2. RPC songwe-ACP Theopista Mallya, kwenda kuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe
3. RPC Geita
4. Waziri wa Tamisemi na Naibu wake
4. Waziri wa Afya-Chanjo ya Ukimwi baina ya wizara ya Afya Tanzania na Marekani yaonesha mafanikio
5. Waziri wa fedha namipango
6. Waziri wa Nishati
7. Gavana wa Bank Kuu.
8. Waziri wa ujenzi na uchukuzi
9. Dc Nzega
10. Dc Ilala
11. RC dodoma
12. Katibu mwenezi wa ccm Taifa
13. Mkuu wa mkoa wa Morogoro
14. Waziri wa kilimo
15. RC Dar -Mkuu wa Mkoa Chalamila: Bia bila kelele ni sawa na juice
16. Balozi wa Tanzania- Zimbabwe, Siro, mabalozi wa Tanzania, Kuwait, Uingireza,FALME Za kiarabu, Germany, Japan
17. RC arusha
18. RC Tabora
19. RC Rukwa _ Makongoro Nyerere 20. Naibu Waziri wa mambo ya ndani
21. Naibu Waziri wa afya- Dr Mollel
22. Waziri wa katiba na Sheria
23. Waziri wa biashara na uwekezaji
24.RC Singida
25. Dc korogwe
26. Mkurugenzi mkuu wa Tanesco
28. Mkurugenzi wa TPA- bandari
29. Waziri wa ardhi : Angelina mabula eti PhD 😂
30. Waziri wa maliasili na utalii ( mkwe wa Maza).
31. Nape Moses Mnauye
32.Ongezea hapo na Wewe ——-
Yote kwa yote Madelu lazma awe namba moja
 
Namba Tano na namba SITA wanaangushiwa tu jumba bovu. Walikuwa hali ni taabani kwenye hizo sekta. Ukweli ndo huo
 
incompetency ni pamoja na kufanya kazi na watu incompetent, competence inapimwa na mafanikio, sasa mafanikio utayapataje wakati wanaokuzunguka wengi ni vilaza.

Njia pekee ya wale woote wanaojiona ni competent na wako serikali au mashirika ya umma kujinasua na wao kuonekana vilaza ni kukaa nje ya mfumo au kupambana na kuuondoa mfumo uliooza na kuujenga mfumo imara kwa haraka.
 
Hao wengine mbona unaweka vyeo badala ya majina, unazani wote tunawafahamu basi!!!!!
 
Back
Top Bottom