Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Katika orodha hii tunatarajia kuorodhesha wachezaji nguli katika ukanda huu wa CECAFA. [Kenya , Uganda , Tanzania, Rwanda na Burundi] Orodha hii itazingatia mafanikio ya mchezaji katika soka, ukubwa wa ligI. Alizocheza, Timu ya taifa , miongoni mwa maswala mengine ya soka
1. MacDonald Mariga Wanyama -Kenya
2. Victor Mugubi Wanyama -kenya
3. Mbwana samatta -Tanzania
4. Denice Oliechi -Kenya
Orodha hii itaendelea