secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Alifanya mabalaa kule Denmark.Sasa kumbe kapata mafanikio simba,kijitimu kidogo!!!
Angeenda Ulaya uko!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alifanya mabalaa kule Denmark.Sasa kumbe kapata mafanikio simba,kijitimu kidogo!!!
Angeenda Ulaya uko!
Hahahaha 🤣 hapana, hapana.Muweke Khalid Aucho
Basi mtoe OkwiHahahaha 🤣 hapana, hapana.
YapiAlifanya mabalaa kule Denmark.
Kijografia Somalia unaiweka wapi?kuna afrika mashariki kijiografia na afrika mashariki kijumuiya. jiografia ya afrika mashariki inaundwa na nchi 5 nazo ni TANZANIA,KENYA,UGANDA,RWANDA na BURUNDI. Lakini jumuiya ya afrika masharki inaundwa na nchi 7 nazo ni tanzania,kenya,uganda,rwanda,burundi,south sudan na congo DR. Note. katika jumuiya ya afrika masharki nchi yeyote inaweza kujiunga na jumuiya hata kama kijiografia si sehemu ya afrika mashariki,ili mradi ikidhi vigezo na masharti ya kujiunga na jumuiya hiyo The Legacy
Mimi nimemweka Okwi we mweke Aucho naona usimba na uyanga umeshaanza😆Basi mtoe Okwi
Naona wakina manara, njohole nk hamtaki kuwasikia kabisaJimmy Gatete (APR), Peter Senyonjo (Police Uganda), Edibily Lunyamila (Yanga), Athuman Machupa (Simba), Mrisho Ngasa (Yanga). huyo samata ni bahati tu imembeba lakini si mchezaji
Kwenye pembe ya AfrikaKijografia Somalia unaiweka wapi?
SawaMimi nimemweka Okwi we mweke Aucho naona usimba na uyanga umeshaanza😆
Alifunga na Ku assistYapi
HeheheAlifunga na Ku assist
Na somaliland?Kwenye pembe ya Afrika
How many goals did he.....Alifunga na Ku assist
FundiView attachment 3245093
Victor Wanyama , kaka mdogo wa MacDonald Mariga
Kama unawaweka kina Berahino basi Tanzania nayo pia inayo wengi.Kiuhalisia Congo, Rwanda, Burundi, Uganda na Kenya wamekuwa na wachezaji waliuvuma kuliko wachezaji wa Tanzania sijui kwa nini.
Sasa ndo washakuwa sio watanzania na huwezi kuwahesabiaSababu hatuna Uraia pacha wengi Wanashindwa kuja kuchezea Tanzania.
Kuna ambao juu wametajwa na Uraia Pacha, mfano Berahino alikua ni Muingereza na Alicheza Kidogo Timu ya taifa ya Uingereza kuanzia U16 hadi U21, sheria mpya za Fifa zinaruhusu kubadili timu za taifa kama una Uraia Pacha, ndio maana alirudi Burundi.Sasa ndo washakuwa sio watanzania na huwezi kuwahesabia
OkKuna ambao juu wametajwa na Uraia Pacha, mfano Berahino alikua ni Muingereza na Alicheza Kidogo Timu ya taifa ya Uingereza kuanzia U16 hadi U21, sheria mpya za Fifa zinaruhusu kubadili timu za taifa kama una Uraia Pacha, ndio maana alirudi Burundi.
Sisi hatuna hilo, unachagua moja.
Alifeli majaribio bhaba acha ulongo..Trezou ni zaidi ya Bakambu, kuna kipindi arsenal chini ya Wenger walimhitaji lakini aligoma baada kuongezewa kitita na Katumbi.