secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Kumbe hudanganyiki, wewe mtoto wa kike wewe! Wenzako wa kiume walishakubali kitambo sana.Alifeli majaribio bhaba acha ulongo..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hudanganyiki, wewe mtoto wa kike wewe! Wenzako wa kiume walishakubali kitambo sana.Alifeli majaribio bhaba acha ulongo..
Umetoka kupiga nyeto unakuja andika vitu huvijui,umeiweka cecafa humo,una uhakika congo haipo/haikuwepo cecafa!?.. ethiopia, Somalia, djibouti, eritrea,sudan hazipo cecafa?navyojua mimi Congo haipo africa mashariki.
Africa mashariki ina nchi 5 tu.
Ujamaa wa nyerere ulichelewesha mambo,kuna kipa alitakiwa ufaransa 1980s,kocha bendera akaweka kauzibeKiuhalisia Congo, Rwanda, Burundi, Uganda na Kenya wamekuwa na wachezaji waliuvuma kuliko wachezaji wa Tanzania sijui kwa nini.
Umetoka kupiga nyeto unakuja andika vitu huvijui,umeiweka cecafa humo,una uhakika congo haipo/haikuwepo cecafa!?.. ethiopia, Somalia, djibouti, eritrea,sudan hazipo cecafa?
Mnasahau hata mlichoandika punde tuMatusi mengii huku unaongea kitu ambacho sio jibu.
Jifunze maana ya Cecafa kwanza unayoisemea..
Kuwa cecafa haimaanishi kama upo africa ya mashariki..
Cecafa inahusisha africa ya kati pia
Mnasahau hata mlichoandika punde tu
Hii ni screen shot ya huo uzi ambao umeamua kuficha palipotajwa cecafaUmeshaenda kujifunza maana ya Cecafa ?
Ukimaliza nenda kasome kichwa cha habari cha huu uzi kujua umeuliza nini ?
View attachment 3245821
Hii ni screen shot ya huo uzi ambao umeamua kuficha palipotajwa cecafa
Politically DRC ni Africa Mashariki lakini Geographically Congo DRC ni Central Africa.nchi nyingine za Africa Mashariki ambazo Politically hazibase na East African Community japokuwa kijiographia zipo Africa Mashariki ni Eritrea,Ethiopia,Djibout,Shelisheli,Commoro,Mauritius na MadagascarHivi africa mashariki Congo DRC haipo eeh.
Kiazi kweli wewe.
Zaidi ya tano lakini uitoe Burundi na Rwandanavyojua mimi Congo haipo africa mashariki.
Africa mashariki ina nchi 5 tu.
...rere alizingua kwenye baadhi ya vitu lakini watanzania hatumsemi kwa sababu ni Baba.Ujamaa wa nyerere ulichelewesha mambo,kuna kipa alitakiwa ufaransa 1980s,kocha bendera akaweka kauzibe
Atasemwa tu...rere alizingua kwenye baadhi ya vitu lakini watanzania hatumsemi kwa sababu ni Baba.
Maelezo chini ya kichwa cha habari hayana maana siyo!?Kitu Unachoniwekea sio discussion topic. Kichwa cha habari kimenyoosha maelezo vizuri