Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
- Thread starter
- #41
Kaka yake ana Kombe la UEFA ujueVictor must be the number one
Halafu Berahino yuko juu ya Samatta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka yake ana Kombe la UEFA ujueVictor must be the number one
Halafu Berahino yuko juu ya Samatta
Hamna kitu hapo!!!Kwa nini
Wakiwa na consistence tutawaweka.Basi wawepo na Kevin John na Novatus Dismas
Huyo kaka yake mbona sijawahi kumsikia alicheza miaka ganiKaka yake ana Kombe la UEFA ujue
Trezou ni zaidi ya Bakambu, kuna kipindi arsenal chini ya Wenger walimhitaji lakini aligoma baada kuongezewa kitita na Katumbi.Maybe Cedric Bakambu but.....
Sasa wewe unamtaka Okwi ana consistency ganiWakiwa na consistence tutawaweka.
Kweli kabisa.Kaka yake ana Kombe la UEFA ujue
NaaamBerahino ametengenezea jina wetsbromwich albion.
Alicheza timu ganiTrezou ni zaidi ya Bakambu, kuna kipindi arsenal chini ya Wenger walimhitaji lakini aligoma baada kuongezewa kitita na Katumbi.
Wanasakata kabumbu Sana ujue.Hamna kitu hapo!!!
Kuwa mchezaji bora wa Africa kwa wachezaji wa ndani haiwezi kuwa bahati, aliyoyafanya kwa muendelezo haiwezi kuwa bahati pekee. Bahati hupambaniwa.Jimmy Gatete (APR), Peter Senyonjo (Police Uganda), Edibily Lunyamila (Yanga), Athuman Machupa (Simba), Mrisho Ngasa (Yanga). huyo samata ni bahati tu imembeba lakini si mchezaji
Okwi alinifanya vyema Sana akiwa Simba hadiSasa wewe unamtaka Okwi ana consistency gani
EAC ina nchi wanachama 8, umeisahauu Somalia.kuna afrika mashariki kijiografia na afrika mashariki kijumuiya. jiografia ya afrika mashariki inaundwa na nchi 5 nazo ni TANZANIA,KENYA,UGANDA,RWANDA na BURUNDI. Lakini jumuiya ya afrika masharki inaundwa na nchi 7 nazo ni tanzania,kenya,uganda,rwanda,burundi,south sudan na congo DR. Note. katika jumuiya ya afrika masharki nchi yeyote inaweza kujiunga na jumuiya hata kama kijiografia si sehemu ya afrika mashariki,ili mradi ikidhi vigezo na masharti ya kujiunga na jumuiya hiyo The Legacy
Issue ni kujua au mafanikio?Wanasakata kabumbu Sana ujue.
Kujua pamoja mafanikioIssue ni kujua au mafanikio?
Sasa kumbe kapata mafanikio simba,kijitimu kidogo!!!Okwi alinifanya vyema Sana akiwa Simba hadi
Étoile Sportive du Sahel akarudi tena Simba kwa Moto ule ule kiasi cha mimi kumwita mchezaji Bora wa Simba wa muda wote.
ahsante kwa marekebisho.EAC ina nchi wanachama 8, umeisahauu Somalia.
Muweke Khalid AuchoKujua pamoja mafanikio
5. Joe KadengeView attachment 3245086
Katika orodha hii tunatarajia kuorodhesha wachezaji nguli katika ukanda huu wa CECAFA. [Kenya , Uganda , Tanzania, Rwanda na Burundi] Orodha hii itazingatia mafanikio ya mchezaji katika soka, ukubwa wa ligI. Alizocheza, Timu ya taifa , miongoni mwa maswala mengine ya soka
1. MacDonald Mariga Wanyama -Kenya
2. Victor Mugubi Wanyama -kenya
3. Mbwana samatta -Tanzania
4. Denice Oliechi -Kenya
Orodha hii itaendelea
Lakini yeye ndiye mafanikio na ndiye GOAT wa soka la BongoJimmy Gatete (APR), Peter Senyonjo (Police Uganda), Edibily Lunyamila (Yanga), Athuman Machupa (Simba), Mrisho Ngasa (Yanga). huyo samata ni bahati tu imembeba lakini si mchezaji