Mbabani
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,676
- 4,693
Mwamba kabisa, kakiwasha pale Stoke citySaido Berahino.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamba kabisa, kakiwasha pale Stoke citySaido Berahino.
Basi Uzi ufungwe kwa maana hakuna wachezaji wangeni ukiachana na hao walioshiriki mashindano ya ulaya.Watu wamecheza uefa champions league na kubeba kombe halafu unawachanganya na watu ambao hata kombe la shirikisho la africa hawajawai kubeba
Sana.Mwamba kabisa, kakiwasha pale Stoke city
kuna afrika mashariki kijiografia na afrika mashariki kijumuiya. jiografia ya afrika mashariki inaundwa na nchi 5 nazo ni TANZANIA,KENYA,UGANDA,RWANDA na BURUNDI. Lakini jumuiya ya afrika masharki inaundwa na nchi 7 nazo ni tanzania,kenya,uganda,rwanda,burundi,south sudan na congo DR. Note. katika jumuiya ya afrika masharki nchi yeyote inaweza kujiunga na jumuiya hata kama kijiografia si sehemu ya afrika mashariki,ili mradi ikidhi vigezo na masharti ya kujiunga na jumuiya hiyo The LegacyHivi africa mashariki Congo DRC haipo eeh.
Kiazi kweli wewe.
Fact 💯kuna afrika mashariki kijiografia na afrika mashariki kijumuiya. jiografia ya afrika mashariki inaundwa na nchi 5 nazo ni TANZANIA,KENYA,UGANDA,RWANDA na BURUNDI. Lakini jumuiya ya afrika masharki inaundwa na nchi 7 nazo ni tanzania,kenya,uganda,rwanda,burundi,south sudan na congo DR. Note. katika jumuiya ya afrika masharki nchi yeyote inaweza kujiunga na jumuiya hata kama kijiografia si sehemu ya afrika mashariki,ili mradi ikidhi vigezo na masharti ya kujiunga na jumuiya hiyo The Legacy
pamojaFact
Macdonald Mariga ndio mchezaji wa EA niliemuona anacheza standad ya uhakika huko majuu.
HahaSteven Desse MUKWALA mwamba kabisa huyu,anakipiga klabu namba 6 afrika na anashiriki MOJA ya mashindano makubwa barani afrika hatua ya robo fainal.
Victor must be the number oneView attachment 3245086
Katika orodha hii tunatarajia kuorodhesha wachezaji nguli katika ukanda huu wa CECAFA. [Kenya , Uganda , Tanzania, Rwanda na Burundi] Orodha hii itazingatia mafanikio ya mchezaji katika soka, ukubwa wa ligI. Alizocheza, Timu ya taifa , miongoni mwa maswala mengine ya soka
1. MacDonald Mariga Wanyama -Kenya
2. Victor Mugubi Wanyama -kenya
3. Mbwana samatta -Tanzania
4. Denice Oliechi -Kenya
Orodha hii itaendelea
Hao wote mitumba tu!!!Robert Sentongo, Emanuel Okwi, Ibrahim Shikanda, George Odhiambo.
Hapo nao tusiche nyuma japokuwa walifanikiwa zaida wakiwa ndani ya East Africa.
Basi wawepo na Kevin John na Novatus DismasKuna kipindi fulani alienda Denmark.
Maybe Cedric Bakambu but.....Trezou Mputu Mabi, Cedric Bakambu.
Uzembe wa kina KabangeKiuhalisia Congo, Rwanda, Burundi, Uganda na Kenya wamekuwa na wachezaji waliuvuma kuliko wachezaji wa Tanzania sijui kwa nini.
Hawa bado. mkuuBasi wawepo na Kevin John na Novatus Dismas
Berahino ametengenezea jina wetsbromwich albion.Mwamba kabisa, kakiwasha pale Stoke city
Labda kwao hukohuko KenyaWilberforce Mulamba, AFC Leopards
Kwa niniHao wote mitumba tu!!!
SawaHawa bado. mkuu