Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
navyojua mimi Congo haipo africa mashariki.Hivi africa mashariki Congo DRC haipo eeh.
Kiazi kweli wewe.
Safi Tundu Antipacy Lisu ,Asanteee .navyojua mimi Congo haipo africa mashariki.
Africa mashariki ina nchi 5 tu.
HahaSafi Tundu Antipacy Lisu ,Asanteee .
Emanuel Okwi nyota haikuwaka tu angetakiwa awe alicheza ulayaRobert Sentongo, Emanuel Okwi, Ibrahim Shikanda, George Odhiambo.
Hapo nao tusiche nyuma japokuwa walifanikiwa zaida wakiwa ndani ya East Africa.
Kuna kipindi fulani alienda Denmark.Emanuel Okwi nyota haikuwaka tu angetakiwa awe alicheza ulaya
Noma mkuu huyu jamaa alikipiga sana kule uturukiKidagaa kimemwozea tafuta wasifu wa Majidi Musisi
Trezou Mputu Mabi, Cedric Bakambu.Yoane wissa
Congo ni uwanja mwingine wasoka πππTrezou Mputu Mabi, Cedric Bakambu.
Kiuhalisia Congo, Rwanda, Burundi, Uganda na Kenya wamekuwa na wachezaji waliuvuma kuliko wachezaji wa Tanzania sijui kwa nini.Congo ni uwanja mwingine wasoka πππ
Robert Sentongo, Emanuel Okwi, Ibrahim Shikanda, George Odhiambo.
Hapo nao tusiche nyuma japokuwa walifanikiwa zaida wakiwa ndani ya East Africa.