Orodha ya walioachwa Ukuu wa Wilaya

Orodha ya walioachwa Ukuu wa Wilaya

Wekeni hakiba ya maneno kwa hao waliochwa kwenye uteuzi, kwa CCM kila kitu kinawezekana. Jerry Muro anaweza kuwa Mkuu wa Mkoa muda wowote, kama kina Bashite waliweza kuwa hivyo chini ya CCM tena kwa aliyekuwa akisifiwa kuwa Mkombozi wa Africa, Sasa msije mkashangaa baadhi yao wakawa Wakuu wa Mikoa. CCM haijawahi kuwa serious kwenye uteuzi, yoyote wanayemuona ana kichwa, sio akili timamu anaweza kuwa kiongozi wenu maadamu anaweza kujikomba tu basi hiyo ni sifa kubwa ya kuteuliwa, kuhusu akili pelekeni vyuoni ila sio CCM.
 
Ila hii nchi bana utaratibu wa kupata viongozi ni wa hovyo sana, kipindi flani nikiwa Mzumbe University- Morogoro tukaletewa mgeni rasmi mmoja hivi mdada ilikua ni siku ya 'ujasiriamali' pale chuoni. Mgeni rasmi alikua ni mkuu wa wilaya ya Mvomero ee bana yule mkuu wa wilaya sijui aliokotwa wapi akapachikwa kwenye hicho cheo. Uchangiaji wa kale kadem ilikua ni aibu kumsikiliza yani tangu siku hiyo sina imani na mwana ccm yeyote hata huyo mnamuita mama.
Utaula wa chuya... msemo umenikumbusha mbali sana miaka ya utoto huko, hahaha
 
Back
Top Bottom