evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Aliyekuwa DC Shinyanga mjini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio atawala vizuriJerry nae alizidi umalaya sana
Yani paja halimpiti. Haya sasa njoo tuzurure wote mtaani
Akiwa na lile vieite alikuwa anaongeza cv kwa wapenda kitongaNdio atawala vizuri
Halima okash huyoIla hii nchi bana utaratibu wa kupata viongozi ni wa hovyo sana, kipindi flani nikiwa Mzumbe University- Morogoro tukaletewa mgeni rasmi mmoja hivi mdada ilikua ni siku ya 'ujasiriamali' pale chuoni. Mgeni rasmi alikua ni mkuu wa wilaya ya Mvomero ee bana yule mkuu wa wilaya sijui aliokotwa wapi akapachikwa kwenye hicho cheo. Uchangiaji wa kale kadem ilikua ni aibu kumsikiliza yani tangu siku hiyo sina imani na mwana ccm yeyote hata huyo mnamuita mama.
Atatumia za kawaida anavuta tu uzi kwa makoloni yakeAkiwa na lile vieite alikuwa anaongeza cv kwa wapenda kitonga
mtu alimuacha mumewe akajiambatanisha na jerryAtatumia za kawaida anavuta tu uzi kwa makoloni yake
Miss Tanzana 1989kwanza mimi wala simjui ni nani.
Vyeo vimekuwa kama zawadi. Hatuna chujio la viongozi makini. Kuteua na kutengua kila wakati ni dalili ya wazi. Nimewahi kuwa kwenye vikao vya ndani na wakuu wa wilaya na wakurugenzi tofauti katika nyakati tofauti yaani mnatoka kikaoni hadi mnaulizana hivi ni mteuliwa wa rais au mwananchi wa kawaida.Ila hii nchi bana utaratibu wa kupata viongozi ni wa hovyo sana, kipindi flani nikiwa Mzumbe University- Morogoro tukaletewa mgeni rasmi mmoja hivi mdada ilikua ni siku ya 'ujasiriamali' pale chuoni. Mgeni rasmi alikua ni mkuu wa wilaya ya Mvomero ee bana yule mkuu wa wilaya sijui aliokotwa wapi akapachikwa kwenye hicho cheo. Uchangiaji wa kale kadem ilikua ni aibu kumsikiliza yani tangu siku hiyo sina imani na mwana ccm yeyote hata huyo mnamuita mama.
Nduruma ipi Mkuu? Gomba/Mlangarini/Kwa Redding/Kwa Mtei/Luis Estate.....Jerry aniuzie tu shamba lake la Nduruma😅
Bado ana salio sio mbayamtu alimuacha mumewe akajiambatanisha na jerry
Wale waliounga juhudi kutoka Chadema wote mliowaombea kutoswa wamepeta bila kupingwa!Tumewahi kutumia muda wetu mwingi sana kumkanya huyu jamaa , kwamba Cheo ni dhamana tu , Asikitumie kukomoa wengine , lakini akaweka pamba masikioni
Sasa matokeo yake ndio kama mlivyosikia , Karma haiachi mtu .
Kila Ubaya Utalipwa .
Kwa hiyo Basila amepigwa chini halafu wale Wakurugenzi wake wa Halmashauri aliokuwa anazozana nao kila siku wamebaki. Pole yake, Viongozi wakachape kazi waache mizozo!!1) Basila Mwanukuzi
2) Jerry Muro
3)Siriel Mchembe.
Labda atakuwemo kwenye PDF la ma RC? Mnajuaje?Kwa Jerry Muro Kutoswa ilikuwa ni Suala la muda tu.
Mmh nafikiri 1997 up 1999 mkuu, mbona wampa ubibi wakati huko alikuwa std 4 au 5.Miss Tanzana 1989
42. Peter Ambrose Lijualikali – Anaendelea kuwa Mkuu wa Wilaya ya NkasiNaomba kujua kuhusu Peter Lijua Likali
😆😆😆Aligusa paja lako?
Abdallah Mwaipay yupo. Kabadilishwa kituo cha kazi tu
Zamani alikuaga mlokole enzi zake ITVHizo ni ishu zao za kimpira
Ila nachojua Jerry hapitwi na paja
Kumbeee?Zamani alikuaga mlokole enzi zake ITV