Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Licking...Sawa sawa mzee! Asante kwa ufafanuzi Mohamed Said
Mbona watu wa totoz wengi wananyumba nzuri tu tena hata baadhi ya totozi wanazijengea nyumbaMr. Magari (wacha maneno yako weweee) atakuwa na nyumba kweli yule maana nasikia ni mtu wa totoz sana
Wala sikuwa namaanisha kejeli kwasababu mara nyingi huwa nasoma mabandiko yako humu kuhusu historia ya Nyerere na wazee wa kiislam waliomsaidia! Sikuwahi kuwaza kama Nyerere aliweza kujenga nyumba ile kwa miaka ile tena Magomeni!Licking...
''Akija mzee Mohamed Said hapa mtatibuana!! Ile nyumba nadhani ilikuwa ya mzee muislam mmoja hivi.''
Bahati mbaya sana.
Hapakuwa na haja ya kunikejeli mimi na wazee wangu chembelecho, ''Muislam mmoja.''
Wazee wangu waliishi na Nyerere kama ndugu.
Mwalimu Nyerere kadi yake ya TANU ni No. 1.
Kadi ya TANU ya Ally Sykes ni No. 2 na ndiye aliyemwandikia Nyerere kadi yake.
Kadi ya TANU ya Abdul Sykes ni No. 3.
Kadi ya TANU ya John Rupia ni No. 7.
(Ingawa Abbas Sykes anasema kadi No. 7 ni yake).
Mzee chilo ana nyumba yake pale mwananyamala kisiwani muda sana.labda Ruge ndio kafa bila nyumbaMzee Chilo hana nyumba kuna kipindi alikuwa analala sebuleni kwa shemeji yake. JB vipi.
Licking...Wala sikuwa namaanisha kejeli kwasababu mara nyingi huwa nasoma mabandiko yako humu kuhusu historia ya Nyerere na wazee wa kiislam waliomsaidia! Sikuwahi kuwaza kama Nyerere aliweza kujenga nyumba ile kwa miaka ile tena Magomeni!
Tuko pamoja mzee
Mohamed Said
Kazi ya babaako ilikua niniNilimjengea mama yakwangu mwakani
Kwani aliwahi kuwa na uwezo wa kujenga au bado alikua anajitafutaALBERT MANGWEHA..
Ngwair alikufa kidwanzi sana...
Ukifa mkeo anaolewa maana haurudi tenaSiku ukikata moto mkeo atagalagala sana na kuzimia akiwaza kodi
7.....Le Mutuz1. Dkt. Omar Alli Juma
Huyu alikuwa VP kipindi cha BWM, baada ya kufariki akiwa madarakani, familia yake ilitakiwa kupisha nyumba rasmi ya VP iliyopo nyuma ya St Peters Oysterbay ili Dkt. Shein VP mteuliwa aweze kuingia humo, wakawa hawana pa kuweka vyombo, hawana nyumba, ikabidi lori la erikali liwatoe kinguvu na kwenda kusitiriwa kwenye magofu ya Serikali
2. Gilman Rutihinda
Huyu alikuwa gavana wa BoT enzi za Mwinyi, tulimzika Buguruni Malapa maana kwao Ngara hakuwa na nyumba bali kijumba.
3.Brigedia Moses Nnauye
Huyu alikufa mwaka 2000 kama sikosei, ilibidi msiba tuupeleke kwa mzee Makamba maana tulikosa sehemu ya kufunga turubai kwenye zile flats za NHC, utafunga turubai kwenye flats?
Aliwahi kuwa brigedia jeshini,Naibu Waziri ulinzi,Mkuu wa wilaya Bagamoyo,mkuu w mkoa Singida,mhamasishaji wa CCM,Katibu mwenezi CCM,naibu katibu mkuu CCM Nk
4. Profesa Shaba
Huyu sijui yupo hai au, anasifika kuufanyia post mortam mwili wa hayati Sokoine, mpaka anastaafu na kumaliza kiinua mgongo hakuwahi kujenga hata choo. Alipostaafu aliigomea Serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM.
Akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua Sokoine if at all they try to vacate him, wakampotezea.
5. Steven Kanumba
Pamoja na kumiliki gari ya mamilioni kadhaa alikufa hajawahi kujenga hata kiosk
6. Ray Kigosi(yuko hai)
Bado anaishi kwa mama yake Sinza hajui hata mfuko wa cement inatoa tofali ngapi
7.
Itaendelea
Jenga nyumba wewe acha porojo,yaani uwe na miradi yote hiyo alafu ushundwe nyumba ya 30 kijijini kwenu,basi utakuwa hujitambuiWhat if alikuwa na uwezo wa kulipia apartment rent hadi anakufa..na ana businesses zake za kumuingizia kipato bila matatizo. Kuna watu nawafahamu Bongo hii hawana nyumba za kuishi ila wanamiliki hadi Viwanda na kuna wengine wana nyumba ila hawazitumii ni strictly for business. Wengi msichokielewa ni kwamba suala la kujenga na kumiliki nyumba sio lazima sanaa kama mlivyokariri chenye ulazima ni mtu kuwa na kipato wakati wote wa maisha yako. Dunia ya leo mambo yamebadilika mnoo.
Acha unaa,kwani wewe bado unakaa kwenu?Kwani aliwahi kuwa na uwezo wa kujenga au bado alikua anajitafuta
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna dada kanunua kiwanja kaanza ujenzi anasema anataka mama yke akae kwenye hio nyumba.. lakin yeye na mumewe wamepanga nyumba nzima...
pengine mumewe yupo humu anaandika dunian tunapita
NaamHalina ubishi hilo,usiwasahau na wahaya,wamejenga migombani mjini kumepaukaa
[emoji2][emoji2][emoji2]Akija mzee Mohamed Said hapa mtatibuana!! Ile nyumba nadhani ilikuwa ya mzee muislam mmoja hivi
Toto la mama RayRay yumo humu anakuzoom tu