Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

7. McGarab (yupo hai)
8. Semaji la Klabu (yupo hai)
9. McPilipili (yupo hai)
10. Stiv Ake
 
Nakumbuka alikuwa na ndinga kama tatu hivi moja mark ii grabde nyeupe ,prado na kihiace cha kampuni yake ya The Great Movie.....Hivi aliacha mashamba kweli huyu?
Ila tusimtusi Kanumba ndo alikuwa anaibukia... maana hata miaka 35 alikuwa hajafika kwahiyo inawezekana pesa yake nyingi aliamua kuiwekeza kama working capital ili mambo yake yaende
 
Duuuhhh huu uzi naona kamati ya roho mbaya wapo online usiku wa manane wameuvalia njuga...

Yaani hapa tukiamka asubuhi mzee Mushi atakuwa ameshachafuliwa kwamba hana hata kibanda...

Jamani kamati ya roho mbaya ikiongozwa na (Sharamdala , King Kong III ,Juma1967 ,Pastor P , mdukuzi punguzeni makali mwaka wenyewe mchanga huu tutapeana stress bure.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…