Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

Sasa huyo shaba na ray wamekufa kwani
 
alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea[emoji3064][emoji848]
 
Wahindi mbona hawana nyumba ?

Unabidi kuishi Maisha mazuri Kama wahindi unakaa Apartment huku bank ukiwa na Pesa zako za kutosha na Biashara zilizosimama , so Mimi nampongeza Kanumba kwa kuishi Maisha standard ambayo ndo ndoto za kila Kijana mwenye akili.


Kama unajenga Jenga nyumba Kuanzia mil 500+ na sio huu uchafu mnaojenga watz wa vyumba vitatu au vinne kama sio viwili huku mna watoto kumi
 
alipostaafu aliigomea serikali kuachia nyumba iliyokuwa mitaa ya Shaaban Robert karibu na Gymkhkana DSM
akiwatisha kuwa ataanika kilichomuua sokoine if at all they try to vacate him,wakampotezea[emoji3064][emoji848]
Ujinga TU unapewa pensheni ya 200m na bado unashinwa kujengea wanao nyumba ya 50m ...Duniani ulikuja kufanya nn
 
Huyu hana akili, hakuna kitu kilikuwa kinanikera wasichana wazi wakitamka huyu ni Role model wao.. haiigii akilini asee, afadhari now wamepunguza kama sio kuacha kabisa.
Nakumbuka kuna kasichana kaliitwa Zinduna kalitoroka kutoka kwao na kuja Dar kumtafuta Sepenga ili aishi Maisha Kama ya spenga,na kalikataa shule,sema mwisho nazani Wazazi wake walikuja kukachukua kwa msaada wa police na kukarudisha kwao!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…