Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Mmhh!Mpoki anatumia nguvu sana kuchekesha.....anyway its your list, ni haki yako ya kikatiba kumchagua umtakaye.
Heko kwa king majuto the legend.
Daaah[emoji848][emoji848]....kweli nimeamini uchawi upo!Mzee Majuto hata sikuona uchekeshaji wake
Kiukwel hata mm naboreka kidume kikianza hizo pigoBlaza K ajawai kiniangusha.
Joti namkubali,shida yake kwangu ni kuigiza kama mwanamke kwa kuvaa matiti,miwigi n.k
Wenzako tumeonaMzee Majuto hata sikuona uchekeshaji wake
Mpoki...Mpoki anatumia nguvu sana kuchekesha.....anyway its your list, ni haki yako ya kikatiba kumchagua umtakaye.
Heko kwa king majuto the legend.
Will be missed Al watan king majutoMajuto was the best to me, hasa alivyokua anaweka mdomo wake pia kicheko chake.
R.I.P KING
Mkojani mara ya kwanza kumuona ni kwenye basi za mkoani.....Marehemu majuto alikuwa ndio mwisho, joti.. Halafu kuna braza k na huyu mduwanzi mkojani, mkojani miyayusho saana ๐
Kiukweli jamaa yuko vizuri, halafu naamini yale mazungumzo anayoongea sio script huwa anashusha tu freestyle, ukifatilia mazungumzo yake ana kauJINIAZI fulani hivi kwenye kuchekesha๐Mkojani mara ya kwanza kumuona ni kwenye basi za mkoani.....
At the first time nilimkubali ๐
Hapanaaaa!Marehemu majuto alikuwa ndio mwisho, joti.. Halafu kuna braza k na huyu mduwanzi mkojani, mkojani miyayusho saana ๐
๐๐ผ๐๐ผTIN WHITE