Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maneno kumi unamuweka wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Marehemu majuto alikuwa ndio mwisho, joti.. Halafu kuna braza k na huyu mduwanzi mkojani, mkojani miyayusho saana [emoji23]
Mboyoyo ni mwisho wamatatizoMambo Na vijambo vile vichekesho serious
Nampenda
1.Mboyoyo
2.Chauroho
Commedy script ya chauroho.
●Hawa kuku ukiona wakitembea wala huwajuhi kama ndiyo hawa wakipikwa
Mboyoyo
Kuweka unga ndani kuoga njaa tu teja abebeki
Nawapenda sana hawa jamaa
Kwenye list yako namkubali Mpoki tu, Joti kujifanya jike huwa inanichefua ni kama ushoga flani. Late Majuto alikuwa overrated.Hii ni orodha yangu....Tafadhali iheshimiwe
Ubora umepangwa kwa mfuatano wa namba:-
1. King Majuto (Pumzika Kwa Amani)
2. Mpoki
3. Joti.
Nimemaliza.....prove my list wrong...
Orodha tayar
Uzi tayar
Over&out
Bye....
Hivi ni mnyakyusa yule au???
Kama unaona majuto ovee rated jua una matatizo au umezaliwa juzi kijana
Huyu bado sijammanya chief.Maneno kumi unamuweka wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
PilipilHii ni orodha yangu....Tafadhali iheshimiwe
Ubora umepangwa kwa mfuatano wa namba:-
1. King Majuto (Pumzika Kwa Amani)
2. Mpoki
3. Joti.
Nimemaliza.....prove my list wrong...
Orodha tayar
Uzi tayar
Over&out
Bye....
Hapana heshimu maoni yake. Binafsi mzee majuto ni miongoni mwa wachekeshaji wangu boraDaaah[emoji848][emoji848]....kweli nimeamini uchawi upo!
Mpoki...
Tuwe fair tu...jamaa anajua hata kam sio sana