Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Vp Kuhusu Masanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamkubali?Vp Kuhusu Masanja
1 ✅Hii ni orodha yangu....Tafadhali iheshimiwe
Ubora umepangwa kwa mfuatano wa namba:-
1. King Majuto (Pumzika Kwa Amani)
2. Mpoki
3. Joti.
Nimemaliza.....prove my list wrong...
Orodha tayar
Uzi tayar
Over&out
Bye....
Old is good1. Senga
Inahitajika nguvu ya ziada 🤣🤣Kuwachekesha Wabongo sio kazi ndogo, yaani watu wanapigwa na maisha mpaka akili zinawakaa sawa unafiri wanacheka kifalafala tu?
Mpoki anatumia nguvu sana kuchekesha.....anyway its your list, ni haki yako ya kikatiba kumchagua umtakaye.
Heko kwa king majuto the legend.
KunaHii ni orodha yangu....Tafadhali iheshimiwe
Ubora umepangwa kwa mfuatano wa namba:-
1. King Majuto (Pumzika Kwa Amani)
2. Mpoki
3. Joti.
Nimemaliza.....prove my list wrong...
Orodha tayar
Uzi tayar
Over&out
Bye....
Hawa hawakuwa na management nzuri ya kupiga pesa ndefu, kama wanayopiga wahuni tu kuchekesha wanalazimisha, hawa malegent nawakubali kuna wale wa Mizengwe wakiongozwa na Mkwere ni hatari.1. Senga
2. Mtanga
3. Bambo
4. King Majuto
5. Kingwendu
Hawa walikuwa na uwezo mkubwa ila tu hawakuwa kwenye era ya social media. Tafuta movies zao kama Inye Gwedegwede, Siku wa Wajinga, Mizengwe (movie), Umelipiwa, Zogo la Uswazi, na.k.
Hawakuwa na teknolojia nzuri wala team nzuri za directors, waongozaji wala vifaa ila walifanya vema.
Yani namkubali sana huyo mchekeshajiOld is good
Hivi ni mnyakyusa yule au???1. Senga
Sijui ni wawapi mkuu Ila nakumbuka tu tangu nipo mtoto mtoto alikuepo!Hivi ni mnyakyusa yule au???