Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,824
- 2,445
Wengi wape naona King majuto na Joti hawana mpinzani nina imani hata tukipiga kura tanzania nzima hao wawili wanakuchukua tuzo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie ndo mashabiki wa Mkarewenu[emoji23]Kumbe joti anachekesha? Mi nilijua anaigiza kuchesha
Bongo sijaona mchekeshaji. Mchekeshaji anacheka ndio ujue amefikia kwenye kicheksho ili ucheke. Siwezi cheka upuuzi. Bongo wako wa kuhesabu lakini sio ze komedi shooNyie ndo mashabiki wa Mkarewenu[emoji23]
Ndio uwataje hao wachache, acha ujuaji wa kitanzaniaBongo sijaona mchekeshaji. Mchekeshaji anacheka ndio ujue amefikia kwenye kicheksho ili ucheke. Siwezi cheka upuuzi. Bongo wako wa kuhesabu lakini sio ze komedi shoo
MhhhMkuu, uliwahi kumuona na kumfuatilia marehemu Max? Huyo hajawahi kupata mpinzani wala mbadala hadi leo
🤣 wivuKumbe joti anachekesha? Mi nilijua anaigiza kuchesha