Orodha yangu binafsi ya wachekeshaji bora wa muda wote Tanzania

Orodha yangu binafsi ya wachekeshaji bora wa muda wote Tanzania

Kama unaona majuto ovee rated jua una matatizo au umezaliwa juzi kijana
Majuto alikuwa overrated sana, hata kwa mimi mhenga ambaye nimesikiliza kuanzia comedies za kwenye redio za akina Pwagu na Pwaguzi na kuwasikia akina Mzee Jongo, Saidi Panda, Hamisi Tajiri and the likes hivyo si kila anayeamini Majuto ni overrated ameanza kufuatilia comedies miaka hii ya karibuni.
 
Teacher mpamire[emoji3]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Wanaoitwa wachekeshaji bongo, huwa naona kama wanafanya vituko...labda tuwaite wafanya vituko!

Labda kidogo, jamaa wanaofanya stand-up comedy, maana wale hawatumii nguvu kubwa kumfanya mtu acheke...

Wafanya maigizo wengi kwenye TV wamekuwa wakipiga tu makelele, kuvaa nguo za ajabu ajabu, kubadili sauti, kukimbizana kama wendawazimu na marungu n.k
 
Majuto alikuwa overrated sana, hata kwa mimi mhenga ambaye nimesikiliza kuanzia comedies za kwenye redio za akina Pwagu na Pwaguzi na kuwasikia akina Mzee Jongo, Saidi Panda, Hamisi Tajiri and the likes hivyo si kila anayeamini Majuto ni overrated ameanza kufuatilia comedies miaka hii ya karibuni.
Binafsi Majuto hajawahi kushindwa kunichekesha kila nikiangalia movie zake
 
Wanaoitwa wachekeshaji bongo, huwa naona kama wanafanya vituko...labda tuwaite wafanya vituko!

Labda kidogo, jamaa wanaofanya stand-up comedy, maana wale hawatumii nguvu kubwa kumfanya mtu acheke...

Wafanya maigizo wengi kwenye TV wamekuwa wakipiga tu makelele, kuvaa nguo za ajabu ajabu, kubadili sauti, kukimbizana kama wendawazimu na marungu n.k
Kwako wachekeshaji ni wepi? Unatenganishaje vituko na uchekeshaji?
 
Kwako wachekeshaji ni wepi? Unatenganishaje vituko na uchekeshaji?

Wachekeshaji bora nimetaja hapo, wale wanaofanya stand up comedy...

Kwa mujibu wa kamusi ya kiswahili, kituko ni jambo la kustaajabisha na kichekesho ni jambo lenye kuleta kicheko...
 
Wachekeshaji bora nimetaja hapo, wale wanaofanya stand up comedy...

Kwa mujibu wa kamusi ya kiswahili, kituko ni jambo la kustaajabisha na kichekesho ni jambo lenye kuleta kicheko...
Kwahiyo tafsiri ya uchekeshaji kwako ni Stand-up comedy sio? UNACHEKESHA[emoji1][emoji1]
 
Kwahiyo tafsiri ya uchekeshaji kwako ni Stand-up comedy sio? UNACHEKESHA[emoji1][emoji1]

Naona hujaelewa...

Characters wa sanaa za maigizo kwenye TV kama hao waliotajwa na mleta uzi binafsi huwa naona wanafanya vituko na si kuchekesha...

Ninaoona wanachekesha ni wale wanaofanya stand up comedies...

Sijui kama unaelewa...
 
1.Jaymond
2.dulavan
3.Mkaliwenu
4. Ebitoke
5.mc mboneke
 
Back
Top Bottom