Pre GE2025 Pale upinzani unapoacha kujadili mambo msingi na kuweka nguvu zao kumjadili Makonda! Tuna wapinzani wa ovyo sana!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ulipendelea watumie sekunde ngapi?
Sekunde? Kwani tumemaliza lini matatizo ya wananchi, Je madai ya katiba tumefanikiwa? Kwa nini kuanza mijadara isiyo na tija na kuacha yenye tija

Nafahamu, wewe ni miongoni mwa waliojuu hapo kwa M/kiti wetu, waambie wapunguze ushamba
 
Kwa nini kashushwa cheo? Au alijiona yeye ni Rais?
 
Wewe umefanya nini cha kuisaidia nchi hii. Unataka uwapangie cha kusema na kutenda? Hopeless.
Ni ushamba kudili na mtu kama Makonda, Makonda atupotezee point zetu kweli?
 
Wapi au lini limetolewa tamko rasmi la upinzani la kumjadili Makaonda? Makonda anajadiliwa zaidi na wanaccm wenzake ambao anazinguana nao kila siku. Na hata waliofanya mipango hadi akamwagwa ni wanaccm wenzake.
Asante
 
Kuna clip hiyo inatembea mitandaoni. Anayeweza kuiweka hapa aiweke.

Alionyesha dharau ya hali ya juu sana kwa Waziri Mkuu na Baraza la Mawaziri, anakerwa sana pale Baraza hilo linapomsifia na kumpa moyo Rais Samia. Hakumuita hata "mh waziri mkuu".
 
Makonda ni sehemu ya tatizo. Maana hajui mipaka yake ya kazi.
Mnge endelea kumuacha kwenye uenezi aipasue Ccm vipande vipande.
Mbona katolewa?
Hii nchi uteuzi hufanyika kwa urafiki na sio utendaji.
Kunge kuwa na vetting, Makonda hafai kuwa hata mwenye kiti wa kijiji
 
Wanajuana hao.Sisi tutafute hela kwa ajili ya familia zetu.
 
M
Makonda yupo yupo sana tu, hao wapinzani wanadhani ni kazi yao kumchagulia rais majina ya anayowateua.

Makonda ameenda Atusha ambako Sabaya senior ni m/ti wa CCM mkoa.
 
Uchawa ndiyo mdudu Gani mkuu!

Utanitafuta mno na hutonipata kwenye uchawa wa mtu yeyote

Namshukuru Mungu amenipa vingi na sitegemei kulamba miguu ya yeyote! Hata Mbowe akituzingua sisi mashabiki wake, namchana tu
Poa poa
 
Ahahahah...mkuu ungejua nilipotoka na chadema na jinsi cdm ilivyoniweka misukosukoni halaf leo hii wanakaa kudandia hija za kifalafala!. Huwez elewa kamanda
Ubaya wa wanachadema ndiyo huo Sasa mkuu, ukiponda mienendo Ya chama tu, unaonekana si mwenzao kwa sababu kwao uhuru wa kokosoa haupo, wanaccm wakifanya hivi wanaoitwa machawa
 
Ubaya wa wanachadema ndiyo huo Sasa mkuu, ukiponda mienendo Ya chama tu, unaonekana si mwenzao kwa sababu kwao uhuru wa kokosoa haupo, wanaccm wakifanya hivi wanaoitwa machawa
Umemaliza chief. Hii ndio shida kubwa. Mija ya sifa kubwa inayoijengea heahima ccm afrika, ninuwezo wa ku come together licha ya kutofautiana mitazamo, yan mnapingana lakin kwenye jambo la kuwaleta pamoja mnaweka tofauti zenu pamoja mnapambania maslahinya chama kwanza mengine yanakuja baadae. Hii ndio demokrasia ya kweli. Sio kuhubiri demokrasia ambayo kiuhalisia haipo. Chadema ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…