Pamoja na kuhujumiwa CHADEMA yafika Hospitali ya Mkoa na kusalimia Majeruhi. Yachangia pesa

Kujiunga mwaka jana sio tatizo. Huyu jamaa kaanza kumuiga Lucas Mwashambwa kwenye uandishi. Inakera sana
Unatia aibu kwa gharama ya Chini sana ! nadhani unatafuta umaarufu kupitia mgongo wangu , basi endelea tuone mwisho wako
 
Kujiunga mwaka jana sio tatizo. Huyu jamaa kaanza kumuiga Lucas Mwashambwa kwenye uandishi. Inakera sana
Sasa aliyekuwa anaandika hivyo miaka yote ndio awe amemuiga aliyejiunga mwaka Jana! Huenda hukujua tarehe zao za kujiunga ndio maana ukajichanganya.
 
Manyumbu buana!
 
Kwahiyo kuna watu hapo wanahamishiwa Hydom na wengine Lake Tanganyika
 
lengo sio msaada, lengo ni marketing.

Ndio maana unaona magwanda na kofia kama kawaida.

lakink dr morel akivaa zake za kijani anasimangwa kwamba hajui tofauti ya sehemu yenye msiba na ya kampeni.

Tofauti ya chadema na CCM kwenye aina yao ya mienendo,ndiyo inaninyima imani kwamba kunawezakuwa na tofauti iwapo watashika wao madaraka.

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
Eneo lililopata madhara ni eneo kubwa na sio kusema labda ni kachumba kamoja,hivyo kama Rais yupo Kinondoni anatoa misaada,na hawa kina Mbowe wakiwa Sinza wanatoa misaada shida ni nini??mbona vitu vidogo havihitaji hata Elimu ya darasa la Saba kufikiri?

Haya wameenda Hospital kuwaona majeruhi,ni Heshima gani waliyomvunjia Rais? Akili nyingine shida sana,kwamba unataka kusema Rais akiwa anahutubia Taifa basi Keko nzima huwa inajaa Taifa na shughuli zote huwa zinasimama?

Tumia akili ya kichwani na sio nyuma huko
 
Eti wagonjwa wamepata nafuu bado kidogo tu uandike vilema wametembea na vipofu wameona
Hacheni makiki na Makeke kwani ukiandika majeruhi wamefarijika baada kupewa pole na viongozi wa cdm
Unapungukiwa nini
Nyie na wale ccm wanao piga selfie kwenye eneo la tukio mna tofauti gani.
 
Wanaleta sihasa kwenye mambo ya kitaifaaaaa........kushikamanaaa

..wasingetembelea waliopatwa na maafa mngewalaumu.

..chadema wameonyesha kuwajali wananchi kwa kuwatembelea wahanga wa maafa ya maporomoko ya udongo.
 
Wewe ni nani wa kutupangia cha kufanya? Kapangianeni zamu na mke mwenzako huko. Unawashwa sana na mambo ya Chadema unafikiri ndiyo utapata uteuzi.
Chezea kubwa la matapeli bwana Mbowe 😂 wanachadema wanaumia mno ila n bc tuu hawana jinsi mana tayari wameamua kuwa vipofu kwa mume zao viongozi wa Chadema.
Sisi wananchi wa kawaida ambao hatufungamani na chama chcht tunayajua hayo maumivu mnayopitia ila mnajikaza kikomando 😂
 
Alivyokutoa usichana wako kisha akakupiga kibuti ndiyo hasira zote hizi,kila ukilala unamuota yeye tu. Tulia kwa mumeo mzae dada yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…