Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #41
Unatia aibu kwa gharama ya Chini sana ! nadhani unatafuta umaarufu kupitia mgongo wangu , basi endelea tuone mwisho wakoKujiunga mwaka jana sio tatizo. Huyu jamaa kaanza kumuiga Lucas Mwashambwa kwenye uandishi. Inakera sana
Siweki tuone.😎Uongo hupingwa na ukweli , kama unabisha weka ukweli wako
Sasa aliyekuwa anaandika hivyo miaka yote ndio awe amemuiga aliyejiunga mwaka Jana! Huenda hukujua tarehe zao za kujiunga ndio maana ukajichanganya.Kujiunga mwaka jana sio tatizo. Huyu jamaa kaanza kumuiga Lucas Mwashambwa kwenye uandishi. Inakera sana
Manyumbu buana!Tulishasema mara kadhaa humu JF na Kwingineko, kwamba kwenye Dunia hii hakuna mahali kokote ambako Shetani aliwahi kumshinda Mungu .
Pomoja na utitiri wa hujuma, ambazo ni hujuma za kijinga zilizojaa wivu wa kipumbavu , Chadema imefanikiwa kuingia kwenye Hospitali ya Mkoa wa Manyara kuwaona Majeruhi na kutoa msaada wa mamilioni ya shilingi zikiwemo pesa taslimu
Taarifa zinaeleza kwamba baadhi ya Majeruhi baada ya kuwaona viongozi wa Chadema wamefurahi sana kiasi cha kupata nafuu ghafla , na wengine kuanza kutembea wenyewe pamoja na kwamba hapo awali walikuwa wanabebwa! kilichotokea ni kama vile ndani ya Hospitali hiyo umeingia ujumbe kutoka kwa Mungu kwa ajili ya Uponyaji .
Hali ndio kama mnavyoona
View attachment 2835884View attachment 2835885View attachment 2835886View attachment 2835888View attachment 2835889View attachment 2835890View attachment 2835891
Kwahiyo kuna watu hapo wanahamishiwa Hydom na wengine Lake TanganyikaTulishasema mara kadhaa humu JF na Kwingineko, kwamba kwenye Dunia hii hakuna mahali kokote ambako Shetani aliwahi kumshinda Mungu .
Pomoja na utitiri wa hujuma, ambazo ni hujuma za kijinga zilizojaa wivu wa kipumbavu , Chadema imefanikiwa kuingia kwenye Hospitali ya Mkoa wa Manyara kuwaona Majeruhi na kutoa msaada wa mamilioni ya shilingi zikiwemo pesa taslimu
Taarifa zinaeleza kwamba baadhi ya Majeruhi baada ya kuwaona viongozi wa Chadema wamefurahi sana kiasi cha kupata nafuu ghafla , na wengine kuanza kutembea wenyewe pamoja na kwamba hapo awali walikuwa wanabebwa! kilichotokea ni kama vile ndani ya Hospitali hiyo umeingia ujumbe kutoka kwa Mungu kwa ajili ya Uponyaji .
Hali ndio kama mnavyoona
View attachment 2835884View attachment 2835885View attachment 2835886View attachment 2835888View attachment 2835889View attachment 2835890View attachment 2835891
Taja kiasi cha pesa zilizotolewa na chademaUongo hupingwa na ukweli , kama unabisha weka ukweli wako
Vipi yale magauni yenu na mishati yenu ya rangi za nyasi🤔Sasa Mbowe hayo magwanda na hako kakofia ka m4c vya nini?😎😁
Hata sijui🙂Vipi yale magauni yenu na mishati yenu ya rangi za nyasi🤔
Unahangaikaje na nguo za kazi,unaache kusemea viguo vya kuchezea,vigodoro,mchiriku na mdumange🤣Hata sijui🙂
Mbona maneno mengi?Unahangaikaje na nguo za kazi,unaache kusemea viguo vya kuchezea,vigodoro,mchiriku na mdumange🤣
Maneno mengi ni mangapiMbona maneno mengi?
Hata mawili tu😎Maneno mengi ni mangapi
Wanaleta sihasa kwenye mambo ya kitaifaaaaa........kushikamanaaa
Wewe ni nani wa kutupangia cha kufanya? Kapangianeni zamu na mke mwenzako huko. Unawashwa sana na mambo ya Chadema unafikiri ndiyo utapata uteuzi.Sawa, haya tajeni kiasi cha pesa kilichotolewa na chadema
Chezea kubwa la matapeli bwana Mbowe 😂 wanachadema wanaumia mno ila n bc tuu hawana jinsi mana tayari wameamua kuwa vipofu kwa mume zao viongozi wa Chadema.Wewe ni nani wa kutupangia cha kufanya? Kapangianeni zamu na mke mwenzako huko. Unawashwa sana na mambo ya Chadema unafikiri ndiyo utapata uteuzi.
Alivyokutoa usichana wako kisha akakupiga kibuti ndiyo hasira zote hizi,kila ukilala unamuota yeye tu. Tulia kwa mumeo mzae dada yanguChezea kubwa la matapeli bwana Mbowe [emoji23] wanachadema wanaumia mno ila n bc tuu hawana jinsi mana tayari wameamua kuwa vipofu kwa mume zao viongozi wa Chadema.
Sisi wananchi wa kawaida ambao hatufungamani na chama chcht tunayajua hayo maumivu mnayopitia ila mnajikaza kikomando [emoji23]