mlimilwa
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,268
- 3,439
Tangu TAMISEMI iliporudishwa ofisi ya Rais ,majaliwa alitakiwa ajua keshanyang'anywa cheo chake. Hii inamaanisha hata kusingekua na waziri mkuu kusingekua n tatizo.
Sasa majaliwa alitakiwa akaekimya tu.hakutakiwa kuongeaonge bila ya kua na uhakika .sijui.anawasiwasi.gani wakati.mshahala analipya...anatafuta nini kuongea bila ya kua na uhakika na anachoongea.
KWA UFUPI WAZIRI MKUU KWA TANZANIA YA LEO YUPO KWA KUKAMILISHA KATIBA TU.LAKINI HANA KAZI YA KUFANYA.KWAHIYO ANAONGEA KWA KUTAKA AONEKANE YUPO LAKINI KUMBE NDIO ANAHALIBU.
Sasa majaliwa alitakiwa akaekimya tu.hakutakiwa kuongeaonge bila ya kua na uhakika .sijui.anawasiwasi.gani wakati.mshahala analipya...anatafuta nini kuongea bila ya kua na uhakika na anachoongea.
KWA UFUPI WAZIRI MKUU KWA TANZANIA YA LEO YUPO KWA KUKAMILISHA KATIBA TU.LAKINI HANA KAZI YA KUFANYA.KWAHIYO ANAONGEA KWA KUTAKA AONEKANE YUPO LAKINI KUMBE NDIO ANAHALIBU.