Pamoja na muonekano mzuri, Waziri Mkuu ana tabia ya kudanganya wananchi

Pamoja na muonekano mzuri, Waziri Mkuu ana tabia ya kudanganya wananchi

Waziri Mkuu akiwa ziarani mkoani Njombe alidanganya na kusema uongo kupitia microphone na speakers za msikitini kwamba Magufuli haumwi na anaendelea na shughuli zake za kulijenga Taifa...! Waziri Mkuu Muongo Hadi Msikitini waislamu tuwe macho
Hatupaswi kuwa na imani na mtu wa namna hii, na sijui kama alirudi kuungama hiyo dhambi
 
Kazi ya uwaziri mkuu ni kazi ya heshima sana na kuna wakati anakuwa muongeaji mkuu wa serikali. Kuna matukio makubwa matatu ambayo yameonyesha wazi kwamba waziri mkuu huyu ni mwongo na mnafiki

1. Wakati wa Raisi Magufuli alipozidiwa mpaka kupoteza maisha alikuwa wakwanza kusema ni uzushi kumbe ilikuwa kweli

2. Juzi kasema bungeni hakuna Polisi Ngorongoro lakini Mkuu wa mkoa wa Arusha anasema Polisi kafariki kwa kupigwa mishale

3. Alisema baada ya uchaguzi wa 2020 kwamba walimweka Sabaya ili wamkabili Mbowe lakini akajifanya kama hajui chochote wakati wa kesi ya Sabaya

4. Anajifanya anapenda demokrasia leo hii wakati alifanya juu chini na kuweka mizigwe ili apite bila mpinzani yeyote kugombea

Kwa mawazo yangu huu ni wakati mzuri wa kubadilisha waziri mkuu na IGP Sirro.

Pamoja na muonekano wa kisomi na upole huyu waziri ni tatizo. Nashauri Mama mweke katibu mkuu kiongozi kwenye mafasi hii baada ya kumpa ubunge halafu mkuu wa mkoa wa Dodoma mpe ukatibu mkuu.
Namba moja umekosea kidogo,jamaa alikuwa kwenye jokofu tayari
 
Wewe ni punguwani kama walivyo mapunguwani wengine tu, ulihusika katika kumuuguza JPM? hivi Mungu akikuchukua hapo ulipo saizi kunajustify kusema jana hukuwepo? vipi kama JPM huenda aliingizwa theatre kufanyiwa surgery kurekebisha tatizo lake la moyo akiwa mzima na anafanya kazi zake na bahati mbaya akafia theatre? au yeye ndo atakuwa wa kwanza? mke wa Rais wa Ukraine wala hajui mmewe alipo wanazungumza tu kwa simu na kumuona kwenye TV.

Kauli ya PM ilihusu clip ilokuwa ikisambaa mitandaoni siku tatu nyuma kabla hajazungumza, matukio yametokea mchana baada ya yeye kuwa amezungumza, hapo uongo wake ni upi? Nyumbu bhana...
We ndio mjinga,jiwe alikuwa kwenye friji tayari wakati PM anatudanganya kuwa yupo ofisini anachapa kazi,
 
Waziri mkuu huwa hatoi taarifa toka kichwani kwake. Huwa anapewa taarifa na wasaidizi wake, vyombo vya dola n.k.

Mok taarifa inatolewa na pm unakuwa umepita kwenye ngazi tofauti nyingi Sana. Wakulaumiwa hapa iww ni katiba inayotoa mwanya wa kiongozi kudanganya
 
Naogopa sana kuwa mwanasiasa hasa wa nchi za kiafrika bila uongo nahisi kama hakuna siasa
 
Kazi ya uwaziri mkuu ni kazi ya heshima sana na kuna wakati anakuwa muongeaji mkuu wa serikali. Kuna matukio makubwa matatu ambayo yameonyesha wazi kwamba waziri mkuu huyu ni mwongo na mnafiki

1. Wakati wa Raisi Magufuli alipozidiwa mpaka kupoteza maisha alikuwa wakwanza kusema ni uzushi kumbe ilikuwa kweli

2. Juzi kasema bungeni hakuna Polisi Ngorongoro lakini Mkuu wa mkoa wa Arusha anasema Polisi kafariki kwa kupigwa mishale

3. Alisema baada ya uchaguzi wa 2020 kwamba walimweka Sabaya ili wamkabili Mbowe lakini akajifanya kama hajui chochote wakati wa kesi ya Sabaya

4. Anajifanya anapenda demokrasia leo hii wakati alifanya juu chini na kuweka mizigwe ili apite bila mpinzani yeyote kugombea

Kwa mawazo yangu huu ni wakati mzuri wa kubadilisha waziri mkuu na IGP Sirro.

Pamoja na muonekano wa kisomi na upole huyu waziri ni tatizo. Nashauri Mama mweke katibu mkuu kiongozi kwenye mafasi hii baada ya kumpa ubunge halafu mkuu wa mkoa wa Dodoma mpe ukatibu mkuu.

Hata ndoa ya Waziri Mkuu ina udanganyifu, yeye muislam mke mkristo.​

 
Tangu TAMISEMI iliporudishwa ofisi ya Rais ,majaliwa alitakiwa ajua keshanyang'anywa cheo chake. Hii inamaanisha hata kusingekua na waziri mkuu kusingekua n tatizo.
Sasa majaliwa alitakiwa akaekimya tu.hakutakiwa kuongeaonge bila ya kua na uhakika .sijui.anawasiwasi.gani wakati.mshahala analipya...anatafuta nini kuongea bila ya kua na uhakika na anachoongea.
KWA UFUPI WAZIRI MKUU KWA TANZANIA YA LEO YUPO KWA KUKAMILISHA KATIBA TU.LAKINI HANA KAZI YA KUFANYA.KWAHIYO ANAONGEA KWA KUTAKA AONEKANE YUPO LAKINI KUMBE NDIO ANAHALIBU.
Hata mimi nashangaa huyu waziri mkuu wetu hasa ni wa aina gani, ni waziri mkuu asiyeweza kuunda na kuongoza serikali, maana kila kitu anafanya rais kuanzia kuteua mawaziri, wakuu wa taasisi na idara mbalimbali, wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi etc etc......
 
Tangu TAMISEMI iliporudishwa ofisi ya Rais ,majaliwa alitakiwa ajua keshanyang'anywa cheo chake. Hii inamaanisha hata kusingekua na waziri mkuu kusingekua n tatizo.
Sasa majaliwa alitakiwa akaekimya tu.hakutakiwa kuongeaonge bila ya kua na uhakika .sijui.anawasiwasi.gani wakati.mshahala analipya...anatafuta nini kuongea bila ya kua na uhakika na anachoongea.
KWA UFUPI WAZIRI MKUU KWA TANZANIA YA LEO YUPO KWA KUKAMILISHA KATIBA TU.LAKINI HANA KAZI YA KUFANYA.KWAHIYO ANAONGEA KWA KUTAKA AONEKANE YUPO LAKINI KUMBE NDIO ANAHALIBU.
 
Kazi ya uwaziri mkuu ni kazi ya heshima sana na kuna wakati anakuwa muongeaji mkuu wa serikali. Kuna matukio makubwa matatu ambayo yameonyesha wazi kwamba waziri mkuu huyu ni mwongo na mnafiki

1. Wakati wa Raisi Magufuli alipozidiwa mpaka kupoteza maisha alikuwa wakwanza kusema ni uzushi kumbe ilikuwa kweli

2. Juzi kasema bungeni hakuna Polisi Ngorongoro lakini Mkuu wa mkoa wa Arusha anasema Polisi kafariki kwa kupigwa mishale

3. Alisema baada ya uchaguzi wa 2020 kwamba walimweka Sabaya ili wamkabili Mbowe lakini akajifanya kama hajui chochote wakati wa kesi ya Sabaya

4. Anajifanya anapenda demokrasia leo hii wakati alifanya juu chini na kuweka mizigwe ili apite bila mpinzani yeyote kugombea

Kwa mawazo yangu huu ni wakati mzuri wa kubadilisha waziri mkuu na IGP Sirro.

Pamoja na muonekano wa kisomi na upole huyu waziri ni tatizo. Nashauri Mama mweke katibu mkuu kiongozi kwenye mafasi hii baada ya kumpa ubunge halafu mkuu wa mkoa wa Dodoma mpe ukatibu mkuu.
We unawatafutia watu Kaz huyo katibu kiongozi yey anajuwa nn mtu anayesema serekali Hakuna coordination na bado hajafanya lolote kuleta hyo coordinate ya serekali imefika mahali kila mmoja anapayuka payuka tu na kutoa matamko yenye utata

Mfano mzuri swla la kibali ya kusafirisha wanyama yey mwenye analijuwa swal hili lkn anakuja wazir wa maliasili anakuja kuongelea katazo la serkali yenyewe

Kwa kifupi San Hakuna mtu pale siyo wa ddoma Wala huyo km
 
Ila huyu kasimu ajirekehishe aise na aachane na mamb ya uongo aseme ukweli hata Kam itamgarimu mnk naona kbsa mma hamtaki ktk serekali ndio maan anachonganishwa na wananchi

Soon anaweza kulazimishwa kujiuzulu
 
Huyu jamaa Kwa uongo hivi mpaka Leo hajawahi kukanusha kuwa yeye ni KATELEFONI,anatutesa Sana maana tukitaka kusema KATELEFONI hoyee tunatishiwa kukamatwakamatwa
 
Back
Top Bottom