Pamoja na muonekano mzuri, Waziri Mkuu ana tabia ya kudanganya wananchi

Pamoja na muonekano mzuri, Waziri Mkuu ana tabia ya kudanganya wananchi

Umekuaje Platinum Member wakati hujui hata kwamba Waziri Mkuu lazima atokane na ubunge wa kuchaguliwa jimboni ??

Hoja kubwa ni waziri mkuu mwongo na abadilishwe sasa unakubaliana na hilo au ?

Nani atakuwa waziri mkuu mpya ni mawazo yangu . Wabunge wote wa 2020 ni fake! Sijali utaratibu wowote ukizingatia uchaguzi fake kama ule
 
We unawatafutia watu Kaz huyo katibu kiongozi yey anajuwa nn mtu anayesema serekali Hakuna coordination na bado hajafanya lolote kuleta hyo coordinate ya serekali imefika mahali kila mmoja anapayuka payuka tu na kutoa matamko yenye utata

Mfano mzuri swla la kibali ya kusafirisha wanyama yey mwenye analijuwa swal hili lkn anakuja wazir wa maliasili anakuja kuongelea katazo la serkali yenyewe

Kwa kifupi San Hakuna mtu pale siyo wa ddoma Wala huyo km


Katiba ya nchi ni mbaya sana. Raisi anatakiwa kuwa na uwezo wa kumchagua mtu yeyote kuwa waziri mkuu ili mradi awe raia na apitishwe na bunge. Hii kwamba ni lazima awe mbunge ni sera ya kikoloni. Angalieni sasa uchaguzi wenyewe fake!
 
Wewe nikiazi kweli hata katiba hujaisoma hujui sifa yamtu kuwa waziri mkuu hadi awe mbunge wakuchaguliwa nawananch kwenye jimbo
Ila huyu hakuchaguliwa na wananchi huko jimboni kwake, japo ni mbunge wa jimbo.
 
Kazi ya Uwaziri Mkuu ni kazi ya heshima sana na kuna wakati anakuwa Muongeaji Mkuu wa Serikali. Kuna matukio makubwa matatu ambayo yameonyesha wazi kwamba Waziri Mkuu huyu ni mwongo na mnafiki

1. Wakati wa Rais Magufuli alipozidiwa mpaka kupoteza maisha alikuwa wa kwanza kusema ni uzushi kumbe ilikuwa kweli

2. Juzi kasema Bungeni hakuna Polisi Ngorongoro lakini Mkuu wa Mkoa wa Arusha anasema Polisi kafariki kwa kupigwa mishale

3. Alisema baada ya uchaguzi wa 2020 kwamba walimweka Sabaya ili wamkabili Mbowe lakini akajifanya kama hajui chochote wakati wa kesi ya Sabaya

4. Anajifanya anapenda demokrasia leo hii wakati alifanya juu chini na kuweka mizegwe ili apite bila mpinzani yeyote kugombea

Kwa mawazo yangu huu ni wakati mzuri wa kubadilisha Waziri Mkuu na IGP.

Pamoja na muonekano wa kisomi na upole huyu Waziri ni tatizo. Nashauri Mama mweke Katibu Mkuu Kiongozi kwenye nafasi hii baada ya kumpa ubunge halafu mkuu wa mkoa wa Dodoma mpe Ukatibu Mkuu.
KAMA UNAMPENDA MTU KUTOKANA NA SURA YAKE BASI NENDA KANYWE NAYE CHAI - JK NYERERE .

Hili ni jambo lililozungumzwa miaka mingi iliyopita
 
Kuliko na demokrasia ya kweli ni wapi?
Usiniambie USA na wakati tunajua yote yanayoendelea Ukraine alafu ww unaaminishwa Urusi anapigwa vibaya
Ni lini US ilitoa taarifa ya mapigano Ukraine?
 
Akasema kuwa mazishi ya Magufuli yaliangaliwa na watu Billion 4 wakati dunia nzima inao watu Bilioni 8, wakati hata nje ya nchi hakuna anayetaka kumjua Magufuli wala kumsikia sembuse waangalie mazishi yake? Kwanza yanasaidia nini. Akasema pia kesho yake tunategemea watakuwa wengi zaidi, yaani kama Billioni 5, kumbe online waliangalia watu 46,000 tu.
Uwongo ni tabia, na tabia hujengeka tangu utotoni. Bila shaka tabia hii ya uwongo amekua nayo, siyo rahisi kuja kuiacha uzeeni.
 
Wewe ni punguwani kama walivyo mapunguwani wengine tu, ulihusika katika kumuuguza JPM? hivi Mungu akikuchukua hapo ulipo saizi kunajustify kusema jana hukuwepo? vipi kama JPM huenda aliingizwa theatre kufanyiwa surgery kurekebisha tatizo lake la moyo akiwa mzima na anafanya kazi zake na bahati mbaya akafia theatre? au yeye ndo atakuwa wa kwanza? mke wa Rais wa Ukraine wala hajui mmewe alipo wanazungumza tu kwa simu na kumuona kwenye TV.

Kauli ya PM ilihusu clip ilokuwa ikisambaa mitandaoni siku tatu nyuma kabla hajazungumza, matukio yametokea mchana baada ya yeye kuwa amezungumza, hapo uongo wake ni upi? Nyumbu bhana...
Acha kitetea uwongo.

JPM wiki 3 kabla ya kifo chake, hakuwa katika hali ya kuweza kufanya kazi yoyote. Halafu huyo mwongo anasema, yupo ikulu anachapa kazi!!!
 
Wewe nikiazi kweli hata katiba hujaisoma hujui sifa yamtu kuwa waziri mkuu hadi awe mbunge wakuchaguliwa nawananch kwenye jimbo
Kwahiyo bunge zima kachaguliwa yeye tu? Waliobaki wote viti maalum
 
.

Pamoja na muonekano wa kisomi na upole huyu Waziri ni tatizo. Nashauri Mama mweke Katibu Mkuu Kiongozi kwenye nafasi hii baada ya kumpa ubunge halafu mkuu wa mkoa wa Dodoma mpe Ukatibu Mkuu.
Huku chini umepuyanga
 
Kuna uongo moja 'siukumbuki' alisemea mbele ya waumini akiwa kavaa kanzu na kofia, ndani ya msikiti! Licha ya kuwa ni kiongozi wa serekali lakini anapokuwa msikitini outomatic vile yeye ni muislam ni kiongozi wa dini pia.

Amewafedhehesha waumini na dini yao pia' na wa tz wote!
Ilikuwa njombe hiyo
 
Ndiyo maana mwenyezi Mungu anaangalia moyo, haangalii sura. Huyu mkuu Sasa hivi akisema neno lolote inatubidi kuchanganua na zetu.
 
Back
Top Bottom