Hatupaswi kuwa na imani na mtu wa namna hii, na sijui kama alirudi kuungama hiyo dhambiWaziri Mkuu akiwa ziarani mkoani Njombe alidanganya na kusema uongo kupitia microphone na speakers za msikitini kwamba Magufuli haumwi na anaendelea na shughuli zake za kulijenga Taifa...! Waziri Mkuu Muongo Hadi Msikitini waislamu tuwe macho
Namba moja umekosea kidogo,jamaa alikuwa kwenye jokofu tayariKazi ya uwaziri mkuu ni kazi ya heshima sana na kuna wakati anakuwa muongeaji mkuu wa serikali. Kuna matukio makubwa matatu ambayo yameonyesha wazi kwamba waziri mkuu huyu ni mwongo na mnafiki
1. Wakati wa Raisi Magufuli alipozidiwa mpaka kupoteza maisha alikuwa wakwanza kusema ni uzushi kumbe ilikuwa kweli
2. Juzi kasema bungeni hakuna Polisi Ngorongoro lakini Mkuu wa mkoa wa Arusha anasema Polisi kafariki kwa kupigwa mishale
3. Alisema baada ya uchaguzi wa 2020 kwamba walimweka Sabaya ili wamkabili Mbowe lakini akajifanya kama hajui chochote wakati wa kesi ya Sabaya
4. Anajifanya anapenda demokrasia leo hii wakati alifanya juu chini na kuweka mizigwe ili apite bila mpinzani yeyote kugombea
Kwa mawazo yangu huu ni wakati mzuri wa kubadilisha waziri mkuu na IGP Sirro.
Pamoja na muonekano wa kisomi na upole huyu waziri ni tatizo. Nashauri Mama mweke katibu mkuu kiongozi kwenye mafasi hii baada ya kumpa ubunge halafu mkuu wa mkoa wa Dodoma mpe ukatibu mkuu.
We ndio mjinga,jiwe alikuwa kwenye friji tayari wakati PM anatudanganya kuwa yupo ofisini anachapa kazi,Wewe ni punguwani kama walivyo mapunguwani wengine tu, ulihusika katika kumuuguza JPM? hivi Mungu akikuchukua hapo ulipo saizi kunajustify kusema jana hukuwepo? vipi kama JPM huenda aliingizwa theatre kufanyiwa surgery kurekebisha tatizo lake la moyo akiwa mzima na anafanya kazi zake na bahati mbaya akafia theatre? au yeye ndo atakuwa wa kwanza? mke wa Rais wa Ukraine wala hajui mmewe alipo wanazungumza tu kwa simu na kumuona kwenye TV.
Kauli ya PM ilihusu clip ilokuwa ikisambaa mitandaoni siku tatu nyuma kabla hajazungumza, matukio yametokea mchana baada ya yeye kuwa amezungumza, hapo uongo wake ni upi? Nyumbu bhana...
Mhhhhhh huyu ni janga la kitaifa.halafu mkuu wa mkoa wa Dodoma mpe ukatibu mkuu.
Mkuu umelenga nini haswa maana umetufumba mno, fumbua kidogo... siku hizi vijana wadogo mashuleni huko wana mvi ila boss wetu zake nyeusi tii!
Kazi ya uwaziri mkuu ni kazi ya heshima sana na kuna wakati anakuwa muongeaji mkuu wa serikali. Kuna matukio makubwa matatu ambayo yameonyesha wazi kwamba waziri mkuu huyu ni mwongo na mnafiki
1. Wakati wa Raisi Magufuli alipozidiwa mpaka kupoteza maisha alikuwa wakwanza kusema ni uzushi kumbe ilikuwa kweli
2. Juzi kasema bungeni hakuna Polisi Ngorongoro lakini Mkuu wa mkoa wa Arusha anasema Polisi kafariki kwa kupigwa mishale
3. Alisema baada ya uchaguzi wa 2020 kwamba walimweka Sabaya ili wamkabili Mbowe lakini akajifanya kama hajui chochote wakati wa kesi ya Sabaya
4. Anajifanya anapenda demokrasia leo hii wakati alifanya juu chini na kuweka mizigwe ili apite bila mpinzani yeyote kugombea
Kwa mawazo yangu huu ni wakati mzuri wa kubadilisha waziri mkuu na IGP Sirro.
Pamoja na muonekano wa kisomi na upole huyu waziri ni tatizo. Nashauri Mama mweke katibu mkuu kiongozi kwenye mafasi hii baada ya kumpa ubunge halafu mkuu wa mkoa wa Dodoma mpe ukatibu mkuu.
Hata mimi nashangaa huyu waziri mkuu wetu hasa ni wa aina gani, ni waziri mkuu asiyeweza kuunda na kuongoza serikali, maana kila kitu anafanya rais kuanzia kuteua mawaziri, wakuu wa taasisi na idara mbalimbali, wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi etc etc......Tangu TAMISEMI iliporudishwa ofisi ya Rais ,majaliwa alitakiwa ajua keshanyang'anywa cheo chake. Hii inamaanisha hata kusingekua na waziri mkuu kusingekua n tatizo.
Sasa majaliwa alitakiwa akaekimya tu.hakutakiwa kuongeaonge bila ya kua na uhakika .sijui.anawasiwasi.gani wakati.mshahala analipya...anatafuta nini kuongea bila ya kua na uhakika na anachoongea.
KWA UFUPI WAZIRI MKUU KWA TANZANIA YA LEO YUPO KWA KUKAMILISHA KATIBA TU.LAKINI HANA KAZI YA KUFANYA.KWAHIYO ANAONGEA KWA KUTAKA AONEKANE YUPO LAKINI KUMBE NDIO ANAHALIBU.
... siku hizi vijana wadogo mashuleni huko wana mvi ila boss wetu zake nyeusi tii!
Tangu TAMISEMI iliporudishwa ofisi ya Rais ,majaliwa alitakiwa ajua keshanyang'anywa cheo chake. Hii inamaanisha hata kusingekua na waziri mkuu kusingekua n tatizo.
Sasa majaliwa alitakiwa akaekimya tu.hakutakiwa kuongeaonge bila ya kua na uhakika .sijui.anawasiwasi.gani wakati.mshahala analipya...anatafuta nini kuongea bila ya kua na uhakika na anachoongea.
KWA UFUPI WAZIRI MKUU KWA TANZANIA YA LEO YUPO KWA KUKAMILISHA KATIBA TU.LAKINI HANA KAZI YA KUFANYA.KWAHIYO ANAONGEA KWA KUTAKA AONEKANE YUPO LAKINI KUMBE NDIO ANAHALIBU.
We unawatafutia watu Kaz huyo katibu kiongozi yey anajuwa nn mtu anayesema serekali Hakuna coordination na bado hajafanya lolote kuleta hyo coordinate ya serekali imefika mahali kila mmoja anapayuka payuka tu na kutoa matamko yenye utataKazi ya uwaziri mkuu ni kazi ya heshima sana na kuna wakati anakuwa muongeaji mkuu wa serikali. Kuna matukio makubwa matatu ambayo yameonyesha wazi kwamba waziri mkuu huyu ni mwongo na mnafiki
1. Wakati wa Raisi Magufuli alipozidiwa mpaka kupoteza maisha alikuwa wakwanza kusema ni uzushi kumbe ilikuwa kweli
2. Juzi kasema bungeni hakuna Polisi Ngorongoro lakini Mkuu wa mkoa wa Arusha anasema Polisi kafariki kwa kupigwa mishale
3. Alisema baada ya uchaguzi wa 2020 kwamba walimweka Sabaya ili wamkabili Mbowe lakini akajifanya kama hajui chochote wakati wa kesi ya Sabaya
4. Anajifanya anapenda demokrasia leo hii wakati alifanya juu chini na kuweka mizigwe ili apite bila mpinzani yeyote kugombea
Kwa mawazo yangu huu ni wakati mzuri wa kubadilisha waziri mkuu na IGP Sirro.
Pamoja na muonekano wa kisomi na upole huyu waziri ni tatizo. Nashauri Mama mweke katibu mkuu kiongozi kwenye mafasi hii baada ya kumpa ubunge halafu mkuu wa mkoa wa Dodoma mpe ukatibu mkuu.
Uko sahhi mkuuBila uongo dunia haikaliki mkuu. Usitoke sana povu jitahidi unywe kahawa na kale kakashata
Ni viazi wa kisiasa huyuUmekuaje Platinum Member wakati hujui hata kwamba Waziri Mkuu lazima atokane na ubunge wa kuchaguliwa jimboni ??
Ahahahahhahh biliin kadhaa wameangalia msibaaa jmn kunbe likngo hv5. Alisema watu bilioni kadhaa waliangalia msiba wa JPM.
Nilijuwa tu Ni lzm uje umkandie pm kutka na uzi wako wa janWaziri mkuu tulienae hafai hata kuwa monitor wa darasa