Mjane wa Marehemu mpk useme, na bado...Hakuna ubishi kanda ya ziwa bado wana kinyongo.
Uchaguzi wa 2025 kuna kisasi kikubwa watafanya by any means necessary.
Uteuzi wa Dotto Biteko ilikuwa ni mbinu ya kurudisha ushawishi wa mama kwa watu wa kanda ya ziwa ili akubalike. Lakini haukuzaa matunda.
Haya huyu mwenezi wa CCM sasa alipoteuliwa ilidhaniwa kuwa huenda akawavuta watu wa kanda ya ziwa.Lakini imeshindikana.
Kanda ya ziwa wana kinyongo gani?
Ukishapata upinzani kwa kina mama njia yako ya kisiasa inakuwa sawa na kupanda mlima Everest! Twende tukacheze singeli ningoma nzuri na pendwa maeneo ya pwani!Hakuna ubishi kanda ya ziwa bado wana kinyongo.
Uchaguzi wa 2025 kuna kisasi kikubwa watafanya by any means necessary.
Uteuzi wa Dotto Biteko ilikuwa ni mbinu ya kurudisha ushawishi wa mama kwa watu wa kanda ya ziwa ili akubalike. Lakini haukuzaa matunda.
Haya huyu mwenezi wa CCM sasa alipoteuliwa ilidhaniwa kuwa huenda akawavuta watu wa kanda ya ziwa.Lakini imeshindikana.
Kanda ya ziwa wana kinyongo gani?
Suala la umeme CCM wanalichukulia poa sana.
Sio kanda ya ziwa, nafikiri ni nchi nzima, wananchi wanajiona kama wametengwa. Hasa wale wanaitwa wanyonge!
Hakuna ubishi kanda ya ziwa bado wana kinyongo.
Uchaguzi wa 2025 kuna kisasi kikubwa watafanya by any means necessary.
Uteuzi wa Dotto Biteko ilikuwa ni mbinu ya kurudisha ushawishi wa mama kwa watu wa kanda ya ziwa ili akubalike. Lakini haukuzaa matunda.
Haya huyu mwenezi wa CCM sasa alipoteuliwa ilidhaniwa kuwa huenda akawavuta watu wa kanda ya ziwa.Lakini imeshindikana.
Kanda ya ziwa wana kinyongo gani?
Labda unaongelea stori za vijiweni njoo kanda ya ziwa ujionee sis ndio waamuz tunamsubir mama yenu tumnyooshe come 2024 and 2025.Kanda ya ziwa ipi hiyo,ziwa Tanganyika au ziwa Rukwa,eleweka usaidiwe?,kama unaongelea mikoa ya Mwanza,Kagera,Shinyanga,Geita na simiyu,rudia kufanya utafiti wako,umekosea mkuu.
Kanda ya ziwa huwambii kitu kuhusu mama
Ccm nzima haikubalikiHakuna ubishi kanda ya ziwa bado wana kinyongo.
Uchaguzi wa 2025 kuna kisasi kikubwa watafanya by any means necessary.
Uteuzi wa Dotto Biteko ilikuwa ni mbinu ya kurudisha ushawishi wa mama kwa watu wa kanda ya ziwa ili akubalike. Lakini haukuzaa matunda.
Haya huyu mwenezi wa CCM sasa alipoteuliwa ilidhaniwa kuwa huenda akawavuta watu wa kanda ya ziwa.Lakini imeshindikana.
Kanda ya ziwa wana kinyongo gani?
HahaaaKanda ya ziwa ni jadi, kukubali kutawaliwa na mwanamke ni kipengele kikubwa - CCM bila kutumia mbinu za kigaidi kumnadi mama - wasahau.
Kanda ya Ziwa Victoria siyo wasukuma wote.Wasukuma hawana mbambamba.
Ni waamini wakubwa wa
mfumo dume
Bhabheja sana
Lakini mfumo dumeKanda ya Ziwa Victoria siyo wasukuma wote.
Ni bora isiwasaidie chochote lakini watajivunia kutokumchagua😁Hangaya ni nani wao? Pili watamvhagua nani mbadala?
Mwisho hata wakimcjagua hawezi kushika Dola Sasa itawasaidia nini?
Kanda ya ziwa ipi hiyo,ziwa Tanganyika au ziwa Rukwa,eleweka usaidiwe?,kama unaongelea mikoa ya Mwanza,Kagera,Shinyanga,Geita na simiyu,rudia kufanya utafiti wako,umekosea mkuu.
Kanda ya ziwa huwambii kitu kuhusu mama
Basi endeleeni kujivunia kutomchagua tuone kama mtakuwa mumemkomoa au mumejikomoa cc Felix TshisekediNi bora isiwasaidie chochote lakini watajivunia kutokumchagua😁
Kanda ya ziwa siyo wajinga kama watu wa pwani na kati, Ziwa na kaskazini hatumtaki mazaHakuna ubishi kanda ya ziwa bado wana kinyongo.
Uchaguzi wa 2025 kuna kisasi kikubwa watafanya by any means necessary.
Uteuzi wa Dotto Biteko ilikuwa ni mbinu ya kurudisha ushawishi wa mama kwa watu wa kanda ya ziwa ili akubalike. Lakini haukuzaa matunda.
Haya huyu mwenezi wa CCM sasa alipoteuliwa ilidhaniwa kuwa huenda akawavuta watu wa kanda ya ziwa.Lakini imeshindikana.
Kanda ya ziwa wana kinyongo gani?
TutawanyooshaWatu wa bara zama zenu zimepita atii, sahivi ni sie wa kizimkazii bwasheee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata kaskazini hatumtaki + Mbeya na IringaKwani Kanda ya ziwa ndiyo pekee wanaoamua hatima ya uchaguz? Nchi hii kubwa sana
Kwa sababu ina viongozi wajingaBlinken: Dunia ya Watu weupe imeshabadilishwa na huu mgogoro wa Israel na Hamas, Dunia ya Weusi itazidi kurudi Nyuma