Pamoja na uteuzi wa Dotto Biteko na Paul Makonda. Rais Samia bado hakubaliki kanda ya ziwa

Pamoja na uteuzi wa Dotto Biteko na Paul Makonda. Rais Samia bado hakubaliki kanda ya ziwa

Hakuna ubishi kanda ya ziwa bado wana kinyongo.

Uchaguzi wa 2025 kuna kisasi kikubwa watafanya by any means necessary.

Uteuzi wa Dotto Biteko ilikuwa ni mbinu ya kurudisha ushawishi wa mama kwa watu wa kanda ya ziwa ili akubalike. Lakini haukuzaa matunda.

Haya huyu mwenezi wa CCM sasa alipoteuliwa ilidhaniwa kuwa huenda akawavuta watu wa kanda ya ziwa.Lakini imeshindikana.

Kanda ya ziwa wana kinyongo gani?
Mjane wa Marehemu mpk useme, na bado...
Bado hujasema
 
Hakuna ubishi kanda ya ziwa bado wana kinyongo.

Uchaguzi wa 2025 kuna kisasi kikubwa watafanya by any means necessary.

Uteuzi wa Dotto Biteko ilikuwa ni mbinu ya kurudisha ushawishi wa mama kwa watu wa kanda ya ziwa ili akubalike. Lakini haukuzaa matunda.

Haya huyu mwenezi wa CCM sasa alipoteuliwa ilidhaniwa kuwa huenda akawavuta watu wa kanda ya ziwa.Lakini imeshindikana.

Kanda ya ziwa wana kinyongo gani?
Ukishapata upinzani kwa kina mama njia yako ya kisiasa inakuwa sawa na kupanda mlima Everest! Twende tukacheze singeli ningoma nzuri na pendwa maeneo ya pwani!
 
Hakuna ubishi kanda ya ziwa bado wana kinyongo.

Uchaguzi wa 2025 kuna kisasi kikubwa watafanya by any means necessary.

Uteuzi wa Dotto Biteko ilikuwa ni mbinu ya kurudisha ushawishi wa mama kwa watu wa kanda ya ziwa ili akubalike. Lakini haukuzaa matunda.

Haya huyu mwenezi wa CCM sasa alipoteuliwa ilidhaniwa kuwa huenda akawavuta watu wa kanda ya ziwa.Lakini imeshindikana.

Kanda ya ziwa wana kinyongo gani?

Kanda ya Ziwa tunamuunga mkono Rais Samia kwasababu Hakuna Maradi ambao amausitisha baada ya Mpendwa wetu kuondoka.
 
Kanda ya ziwa ipi hiyo,ziwa Tanganyika au ziwa Rukwa,eleweka usaidiwe?,kama unaongelea mikoa ya Mwanza,Kagera,Shinyanga,Geita na simiyu,rudia kufanya utafiti wako,umekosea mkuu.

Kanda ya ziwa huwambii kitu kuhusu mama
Labda unaongelea stori za vijiweni njoo kanda ya ziwa ujionee sis ndio waamuz tunamsubir mama yenu tumnyooshe come 2024 and 2025.
 
Hakuna ubishi kanda ya ziwa bado wana kinyongo.

Uchaguzi wa 2025 kuna kisasi kikubwa watafanya by any means necessary.

Uteuzi wa Dotto Biteko ilikuwa ni mbinu ya kurudisha ushawishi wa mama kwa watu wa kanda ya ziwa ili akubalike. Lakini haukuzaa matunda.

Haya huyu mwenezi wa CCM sasa alipoteuliwa ilidhaniwa kuwa huenda akawavuta watu wa kanda ya ziwa.Lakini imeshindikana.

Kanda ya ziwa wana kinyongo gani?
Ccm nzima haikubaliki
 
Hata sie wa Iringa baada ya Lukuvi kutumbuliwa bila sababu ya msingi kipindi tunaamini ndio waziri wa ardhi Bora aliyewahi kutokea.......bado tunatafakari.
Ukitaka uwaziri awamu hii kagombee mkoa wa Pwani au Tanga.
 
Mama ntilie muuza uji wa ulezi, au mama yupi

We ndo wapaswa kurudi class ukafanye utafiti upya
Kanda ya ziwa ipi hiyo,ziwa Tanganyika au ziwa Rukwa,eleweka usaidiwe?,kama unaongelea mikoa ya Mwanza,Kagera,Shinyanga,Geita na simiyu,rudia kufanya utafiti wako,umekosea mkuu.

Kanda ya ziwa huwambii kitu kuhusu mama
 
Kwani Kanda ya ziwa ndiyo pekee wanaoamua hatima ya uchaguz? Nchi hii kubwa sana
 
Hakuna ubishi kanda ya ziwa bado wana kinyongo.

Uchaguzi wa 2025 kuna kisasi kikubwa watafanya by any means necessary.

Uteuzi wa Dotto Biteko ilikuwa ni mbinu ya kurudisha ushawishi wa mama kwa watu wa kanda ya ziwa ili akubalike. Lakini haukuzaa matunda.

Haya huyu mwenezi wa CCM sasa alipoteuliwa ilidhaniwa kuwa huenda akawavuta watu wa kanda ya ziwa.Lakini imeshindikana.

Kanda ya ziwa wana kinyongo gani?
Kanda ya ziwa siyo wajinga kama watu wa pwani na kati, Ziwa na kaskazini hatumtaki maza
 
Back
Top Bottom