Mzee Wacha ujinga. Watu zaidi ya 40 Wenye mapanga unazani Rahisi hivyo.
 
Wazungu wametumia panya road miaka yote(wezi kwa njia za uchochoroni, rushwa, udhalimu, uhasama, na mpaka uuaji wa kikatili).

Wacheni Lugha za Kimbari.
 
hawa mapanya kwa nini wanatushinda wakati wanaishi mitaani mwetu.

Nashauri Jeshi letu la Polisi lifanye operesheni kabambe ya mtaa kwa mtaa nyumba kwa nyuma, vijiwe vyote vya uvutaji bangi vitokomezwe.

Ikishindikana basi dawa yao ni moto tu.
 
Serikali pamoja na kukusanya tozo nyingi Kwa raia bado inashindwa kutulinda na panya road.

Tozo Zetu mnaiba basi mtulinde na panya road.

Nipo hapa nauguza majeraha ya Jana.
Watu wenyewe ni hawa akina masauni,Mwigulu , january... hapa ni mwanzo tu, wameshajua kuwa sasa hawawezekani, watatenda mauaji makubwa some times to come soon!
 
Kwamba walinda usalama wa raia na mali zao wako likizo wote
 
Kwa yaliyotokea Kawe na Temeke hatuna namna zaidi ya kumuombea Mungu wa mbinguni atupe ulinzi wake

Bwana usikie kuomba kwetu!

Hii kazi kuna watu ni kazi zao wanalipwa mishahara na wengine kodi hawalipi. Kumpa mungu kazi hii tena itakuwa ni kumkosea sana.

Hawa wenye dhamana ndiyo wa kuanza nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…