Tetesi: Papa Francis akutana na Kiongozi wa Jesuits kujadili masuala ya LBGTQ

Acha kabisa, Hali ni mbaya FaizaFoxy njoo kuna watu wanahitaji msaada wako wa mawazo
 
ukristo nidini yakujitoa ufahamu ndio utakapo iweza ina mambo yaajabu na kuchukiza kwelikweli
 
Kwani Ushoga ukiwa ruksa tatizo nn? Unajua kwann watu wanataka ushoga uwe ruksa na halali? Wahusika baadhi wakitaka kufunga ndoa bas iwe ni sawa,

Kwa sababu sio lazima mtu kuwa shoga kwaa usiyehusika au taka, ila wao wahusika na waliopo ndani ya jamii hiyo wawe huru kufanya mambo yao pasipo kuhofia macho ya jamii iliyo nje yao.

Naomba usomeeee kwa makini na ueleweee.
 
Mkuu wazazi wako wamekufundisha hivyo? Natamani kujua kabila lako /ukoo wako wana msimamo kama wako?
 
Ama kweli, ukistaajabu ya Musa,je kanisa linaelekea kusapoti agenda hizi ovu?
Shemale

Shemale is a term most commonly used in the pornography industry to describe trans women or other people with male genitalia and female secondary sex characteristics acquired via hormones or surgery.

Tatizo lilianzia hapo mkuu,
 
Shemale

Shemale is a term most commonly used in the pornography industry to describe trans women or other people with male genitalia and female secondary sex characteristics acquired via hormones or surgery.

Tatizo lilianzia hapo mkuu,
Tukiacha unafiki hizi kelele zisingekuwepo

Ushoga upo tangu zama za biblia,leo ni marudio tu.
 
swadaqka!! mungu akuzidishie
 
Mkuu wazazi wako wamekufundisha hivyo? Natamani kujua kabila lako /ukoo wako wana msimamo kama wako?
Wazazi wangu hawajanifundisha hivi,

kuhusu kujua kabila langu sio suala la msingi hapa,

ukoo wangu hawana msimamo km wangu, kwa sababu tuna tofautiana mtazamo na fikra. Na mie msimamo wangu hautoki ndani ya ukoo wangu, mie n mie, wao n wao.

Nafikiri nimekujibu ipasavyo
 
Sasa wapitishe mara ngapi mkuu kwan hii kauli ya "God doesn't disown his child because they are LBGTQ" unaitafsiri vipi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui kwann nimecheka sanaaa.
 

sasa mkuu dunia nzima haiezi kuwa sawa

ndo maana kuna waislamu na wakristo na wabudha na atheist

hawa wanaeza kubaliwa kama marekani au huko SA lakini jamii kamwe haiwezi kukubali asilimia 100 kwa hio resistance itakuwa forever

ndo maana hata uko ulaya bado kuna watu hawataki hayo mambo

all in all dunia inaelekea huko

everyone will choose their sides

may the best team win
 
Umejibu vizuri, unahisi wazazi wako wanakosea kuwa na msimamo huo? Je ungependa kuwaona wakishiriki mapenzi ya jinsia moja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…