Tetesi: Papa Francis akutana na Kiongozi wa Jesuits kujadili masuala ya LBGTQ

Tetesi: Papa Francis akutana na Kiongozi wa Jesuits kujadili masuala ya LBGTQ

kwa passion hii uliyonayo inaonekana dhahiri unawaunga mkono! Shame
Unajua tusikaze fuvu sana..yani kwa dunia hii ilipofikia uwaunge mkono usiwaunge mkono agenda zao zinazidi kuenea kwa kasi ya ajabu...wala haina haja ya kutukanana humu mitandaoni.

Mbaya zaidi hata utoke povu aje huwezi wafanya kitu mana wanalindwa hata naserikali yako hii ya kiafrika.

#MaendeleoHayanaChama
 
Unajua tusikaze fuvu sana..yani kwa dunia hii ilipofikia uwaunge mkono usiwaunge mkono agenda zao zinazidi kuenea kwa kasi ya ajabu...wala haina haja ya kutukanana humu mitandaoni.

Mbaya zaidi hata utoke povu aje huwezi wafanya kitu mana wanalindwa hata naserikali yako hii ya kiafrika.

#MaendeleoHayanaChama
Tuanze na wewe binafsi unaona ni haki yako ya msingi kushiriki mapenzi ya jinsia moja?
 
Tuanze na wewe binafsi unaona ni haki yako ya msingi kushiriki mapenzi ya jinsia moja?
Je wewe unadhani sio haki yao kuwa na maamuzi ya mlengo huo..kama vile wewe ulivyo na haki kuwa na mlengo huu ulio nao.?

#MaendeleoHayanaChama
 
Kupanick na kufoka kwenye keyboard ndo zenu nshawazoeaaa, wanafiki wakubwa nyie, Dunia ipi hiyo ya ustaarabu? Hii iliyojaza waovu kila kona?

Mambo yasiyofanywa na wanyama haielekezi kwamba binadamu asifanye, kwan mambo yote wanayofanya wanyama na binadamu wanafanya?

Mkiwa hamna hoja mukae kimyaaa, sio kujionesha kuwa uwezo wako wa akili ni mdogo. Poleeeeeeeeeh.
Babe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
 
Kwahiyo leo mbuzi na mbwa wamekua mfano mzuri..mbona wewe hujawahi lala na mavi au panda nduguzo wa damu kama wafanyavyo mbuzi na mbwa..mana hao hata kambwa dume kakibarehe hata mamake kana mtia mimba..vipi na hapo tuchukue hayo pia.

#MaendeleoHayanaChama
Daah! [emoji23]
Umepiga spana ngumu sana hapo atarudi kukutukana tu,
 
Naona kuna hoja za watu ambao wamejiweka kundi ambalo halipingi hili swala na wala hawalitangaz wakidai kuw ni privacy za watu na zaid wakiend mbali kusema wanaopinga hawana sababu za msingi kupnga ushoga lakin yangu haya

[emoji736]kama ushoga hauna faida wala hasara kwann wautangaze na unamanufaa gani NA KWA nani

[emoji736]Kwann biology iliweka jinsia mbili ke na me

[emoji736]Je mwanao hasa wa kiume akiwa shoga kwako utaona sawa

[emoji736]kwann walazimuishe kama ni nature wangeacha i take place automatically.

[emoji3522] Mimi naona haya mambo yana agenda za siri kidunia sambamba na wanamikaka yao ya utawala mpya na biashara mpya ambazo zitatoka na hali hizo za kishoga


Kwangu mimi napng ushoga kwa [emoji817][emoji817] ukiona wew sawa jiulize sana kuhusu familia yako na kizazi chako jambo kubwa bado Africa atujawa na uwezo wa kuchagua jambo sahihi tunashinikizwa na kugeukia jambo ovu ambalo litatugharimu zaid kutokan na Elimu zetu na hali za maisha.

1. Ushoga hautangazwi bali inaweka uelewa kwa jamii sababu jamii nyingi zimekariri mapenzi ni ya Me na Ke bila kujua kuna Me na Me, kuna Ke na Ke,

2. Kuna tofauti kati ya Jinsi (Sex) na Jinsia (Gender),
Jinsi (Sex) zipo mbili tu Me na Ke mahususi kwa kuzaana lakini Jinsia (Gender) zipo nyingi sanaaaa,

Nenda kasome Sexual Orientation na Gender Identity.

3. Mtoto akiwa Shoga ajabu ni nini sasa si amechagua njia yake? Au unadhani akiwa Shoga hawezi kusoma na kufanya kazi zake?

4. Hakuna aliyelazimishwa kua Shoga au wewe unao ushahidi kuna Mtu alikuomba akufire? Kama hujawahi basi jua hakuna anayelazimishwa kilichopo ni kuweka usawa wa kibinaadam, kila Mtu awe huru kuishi katika jamii yake kwa amani as long as hatoi madhara.

5. Kama ushoga ulikuwepo tangu enzi za hekaya za Sodoma na Gomora kwanini uhisi sasa hivi kuna ajenda? As if hao unaowahisi ndio waliozalisha Mashoga? Kama unatetea Albino asiuliwe basi tetea na Shoga asiuwawe, hizo nchi zimeamua kua sauti ya wanyonge.
 
rudia kusoma comment yako hlf jiite kichaa , hv wagumba na tasa mbona wapo na nimezaliwa , una mjua kim kardashian , je baba ake ana sexual hobby gan ? kuwaheshimu mashoga haimaanish ipo siku dunia nzima watakuwa mashoga HAPANA , Mbona din ya mnyaz mung ipo na sio kila mtu anaifuata , tujifunz kireason kabla ya kukosoa , fantassy ya mtu km haikugus inakuuma nn ? I AM NOT GAY BUT I HAVE NO REASON TO FIGHT THEM
Fikra zako zimefunguka safi sanaaaaa
 
1. Ushoga hautangazwi bali inaweka uelewa kwa jamii sababu jamii nyingi zimekariri mapenzi ni ya Me na Ke bila kujua kuna Me na Me, kuna Ke na Ke,

2. Kuna tofauti kati ya Jinsi (Sex) na Jinsia (Gender),
Jinsi (Sex) zipo mbili tu Me na Ke mahususi kwa kuzaana lakini Jinsia (Gender) zipo nyingi sanaaaa,

Nenda kasome Sexual Orientation na Gender Identity.

3. Mtoto akiwa Shoga ajabu ni nini sasa si amechagua njia yake? Au unadhani akiwa Shoga hawezi kusoma na kufanya kazi zake?

4. Hakuna aliyelazimishwa kua Shoga au wewe unao ushahidi kuna Mtu alikuomba akufire? Kama hujawahi basi jua hakuna anayelazimishwa kilichopo ni kuweka usawa wa kibinaadam, kila Mtu awe huru kuishi katika jamii yake kwa amani as long as hatoi madhara.

5. Kama ushoga ulikuwepo tangu enzi za hekaya za Sodoma na Gomora kwanini uhisi sasa hivi kuna ajenda? As if hao unaowahisi ndio waliozalisha Mashoga? Kama unatetea Albino asiuliwe basi tetea na Shoga asiuwawe, hizo nchi zimeamua kua sauti ya wanyonge.
Sijakuandikia wew ujumbe huu , uendelee kuangaika ukijidanganya kuw kila unachoambiw ni sawa , hayo maandiko yaamendikwa na watu ,

Nimesema iachwe nature ifanye kazi sio kulazimisha huo upuuzi acha agenda zako za kichoko hao wanabenifit wew utaishia kumwagishwa mamavi
 
1. Ushoga hautangazwi bali inaweka uelewa kwa jamii sababu jamii nyingi zimekariri mapenzi ni ya Me na Ke bila kujua kuna Me na Me, kuna Ke na Ke,

2. Kuna tofauti kati ya Jinsi (Sex) na Jinsia (Gender),
Jinsi (Sex) zipo mbili tu Me na Ke mahususi kwa kuzaana lakini Jinsia (Gender) zipo nyingi sanaaaa,

Nenda kasome Sexual Orientation na Gender Identity.

3. Mtoto akiwa Shoga ajabu ni nini sasa si amechagua njia yake? Au unadhani akiwa Shoga hawezi kusoma na kufanya kazi zake?

4. Hakuna aliyelazimishwa kua Shoga au wewe unao ushahidi kuna Mtu alikuomba akufire? Kama hujawahi basi jua hakuna anayelazimishwa kilichopo ni kuweka usawa wa kibinaadam, kila Mtu awe huru kuishi katika jamii yake kwa amani as long as hatoi madhara.

5. Kama ushoga ulikuwepo tangu enzi za hekaya za Sodoma na Gomora kwanini uhisi sasa hivi kuna ajenda? As if hao unaowahisi ndio waliozalisha Mashoga? Kama unatetea Albino asiuliwe basi tetea na Shoga asiuwawe, hizo nchi zimeamua kua sauti ya wanyonge.
Mashoga hawana haki ya kuishi
 
Bora turudi kwenye vilinge vya wazee wetu au sio..mana hizi dini za majahazi zimejaa matamanio matupu.

#MaendeleoHayanaChama
I am Muslim mkuu
Sisi huku tunafuata kile Muumba alichotuamrisha tu
 
Sijakuandikia wew ujumbe huu , uendelee kuangaika ukijidanganya kuw kila unachoambiw ni sawa , hayo maandiko yaamendikwa na watu ,

Nimesema iachwe nature ifanye kazi sio kulazimisha huo upuuzi acha agenda zako za kichoko hao wanabenifit wew utaishia kumwagishwa mamavi

Umepanic baada ya kupewa fact [emoji1787]
Haya wao wana benefit kwenye lipi?

Nature ipi unayoizungumzia au unajiropokea tu kama umekunywa Ulanzi [emoji851]
 
Unataka kusema kanisa likubali kuendana na Hawa wapuuzi? Badala ya kubaki kwenye Misingi?
Kwa nini liwatenge wakati ni sawa na wezi, wazinzi, waongo, wauaji nk? Au kwa namna nyingine ya kuuliza swali, kwa nini kanisa Katoliki haliwatengi wezi, wazinzi, waongo, wauaji nk, halafu lije liwatenge mashoga (ambao kimsingi ni wazinzi)?
 
Unaambiwa kanisa lipo kwenye kusaka mali zaidi kuliko kuwaweka watu katika kweli sasa kipindi hiki ambapo Ulaya na America wanaliona kanisa kama Conversative kwa kuzuia ushoga tegemeo lililobaki la uchumi ni Africa na Asia ambako waumini ni masikini sasa game changer ni nini?

Game changer ni kuruhusu waumini mashoga na ushoga wao kuabudu kanisani ili kuwashawishi wazungu kusali kwa amani huku kanisa likizidi kuchuma mali za wazungu washenzi
 
Back
Top Bottom