Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Naona akina BBC mna push sana agenda hii, sijajua mna maslahi gani nayo. Kanisa Katoliki muda wote linakanusha mambo haya, lakini bado tu mmeshikilia. Tuwekee waraka wa Vatican tuusome!
🤣🤣 mbona unapenda kujidanganya mwenyewe mkuu? Usijaribu kujificha uozo wa kanisa kwa kupitia BBC angalia hii ni CNN haya unataka kusemaje sasa.
 

Attachments

  • Screenshot_20231219_132108_Instagram.jpg
    94.3 KB · Views: 1
So you have to be a sinner for the grace of God to work for you?
We are all sinners, wewe hapo I'm sure hujatoa kikumi mwezi huu ni dhambi sawa tu na mwizi au mzinzi so bila neema unadhani ungeendelea kulindwa na Mungu au kuwa hai?
If God loves the sinner but hates sins, Why is there hell for the sinners?
Ndio maana anawapa neema ili wabadilike, hell was meant for the devil alone not otherwise. Hata kwenye Bible ukisoma 2 Peter, Yesu alipokufa alienda he'll kuhubiria wenye dhambi ili afufuke nao!! Unadhani bila neema angeenda huo?
 
Papa na vatcan hawafanyii kazi huu ujinga ulioandikwa na mashoga mafirauni.
Taarifa za vatcan ziko kwenye web yao na sii mitandao yenu ya kijinga.
Nendeni mkawasaidie HAMAS maana wananyukwa huko Gaza.
Mnaacha kufanya yenu mnakuja kuandika ujinga kuhusu Papa
 
Matamko na miongozo ya papa hutolewa vatican na hupokelewa na na kusambazwa na baraza la maaskofu kupitia vitengo husika. Matamko haya ya facebook ni kama ya kigogo tu. Usiyatilie maanani utajaumia roho
 
🤣🤣 mbona unapenda kujidanganya mwenyewe mkuu? Usijaribu kujificha uozo wa kanisa kwa kupitia BBC angalia hii ni CNN haya unataka kusemaje sasa.
Tofauti ya BBC na CNN kwenye utoaji habari potoshi ni ipi? Weka waraka wa Papa hapa tuusome. Sina mamlaka wala nia ya kuficha uozo.
 

Tulipofikia dunia ya leo,kukwepa habari za ushoga labda uhame dunia ukaishi mars.
 
Walidhani Tanzania ni mali ya kanisa,

Umesahau kila uchwao unalia na mfumo kristo,hadi bakwata uchaguzi wake wa kwanza walipewa hela na kanisa ili kufanikisha zoezi la uchaguzi.
 
Tangu mwanzo ukisoma BIBLIA vizuri RUMI NI wapinga Kristo
 
Tulipofikia dunia ya leo,kukwepa habari za ushoga labda uhame dunia ukaishi mars.
Hapana usihalilishe mambo yenu mbaki nayo huko huko sisi wengine tutaendelea kufuata quran ndio muongozo wetu na kamwe hatutoruhusu huo ujinga kwenye dini yetu msahafu hautobadilika kamwe nenda nchi zenye kufuata sheria za kiislamu utajua nachoongea ,
Unakumbuka world cup qatar wazungu walitishia kuhusu mashoga na tamaduni zao ziruhusiwe qatar? Na si unakumbuka kauli za kiume walizopewa? Hawakuthubutu kupeleka sio tu ushoga hadi mambo yote ya zinaa waliyaacha , pombe yakatengwa maeneo maalumu kwenye hoteli za kitalii, na wote waliondoka wamefurahi na kusema its the best world cup ever
 
Hili Kanisa lilikuwa pekee lenye heshima duniani sijui kwa wenye heshima zao watafanyaje au ndo kubaki kuugulia maumivu tu!!!
DJ

WEKA ULE WIMBO UNAOSEMA MTAFUTE MTAFUTEEE,MTAFUTE WA KURUKA NAEEE,WE MTAFUTE MTAFUTE WA KUDANGA NAEEE,MOJA MOJA PAPA KARUHUSU TURUKEEE...!!!

TEH TEH TEH
 
Tangu mwanzo ukisoma BIBLIA vizuri RUMI NI wapinga Kristo
DJ

WEKA ULE WIMBO UNAOSEMA MTAFUTE MTAFUTEEE,MTAFUTE WA KURUKA NAEEE,WE MTAFUTE MTAFUTE WA KUDANGA NAEEE,MOJA MOJA PAPA KARUHUSU TURUKEEE...!!!

TEH TEH TEH
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…