Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

It's obvious kabisa catholic ni dini ya kishetani viongozi wa dini ni Wapinga kristo....hii kussuport ushoga na usagaji na agenda za Lucifer ...wacatholic wanaangamizwa ...just imagine Binti yako anakuletea mwanamke mwenzie kama mwenza wa maisha au kijana wako anakuletea kijana mwenzie et mwenzi wa maisha...it's so filthy and disgusting....
 

USISAHAU NA UKRAINE PIAA,WAISLAM HUKO WANALPIUNA KILA SIKU MKUU..

PIA.USISAHAU KUWA NI HAWA HAWA WAISLAM NDIYO WALIANZISHA NA KUPIGANA VITA YA KWANZA NA YA PILI YA DUNIIAA...

DJ

WEKA ULE WIMBO UNAOSEMA MTAFUTE MTAFUTEEE,MTAFUTE WA KURUKA NAEEE,WE MTAFUTE MTAFUTE WA KUDANGA NAEEE,MOJA MOJA PAPA KARUHUSU TURUKEEE...!!!

TEH TEH TEH
 
DJ

WEKA ULE WIMBO UNAOSEMA MTAFUTE MTAFUTEEE,MTAFUTE WA KURUKA NAEEE,WE MTAFUTE MTAFUTE WA KUDANGA NAEEE,MOJA MOJA PAPA KARUHUSU TURUKEEE...!!!

TEH TEH TEH
 
Tofauti ya BBC na CNN kwenye utoaji habari potoshi ni ipi? Weka waraka wa Papa hapa tuusome. Sina mamlaka wala nia ya kuficha uozo.
DJ

WEKA ULE WIMBO UNAOSEMA MTAFUTE MTAFUTEEE,MTAFUTE WA KURUKA NAEEE,WE MTAFUTE MTAFUTE WA KUDANGA NAEEE,MOJA MOJA PAPA KARUHUSU TURUKEEE...!!!

TEH TEH TEH
 
Chagua kufuata neno la Mungu na Mungu mwenyewe.

Unamfuata pope hadi unaacha maandiko matakatifu.

SASA POPE SI NDIE KIONGOZI WAKO MKUU??

KWAMBAJE WE UNAJUA BIBLE KULIKO POPE??

DJ

WEKA ULE WIMBO UNAOSEMA MTAFUTE MTAFUTEEE,MTAFUTE WA KURUKA NAEEE,WE MTAFUTE MTAFUTE WA KUDANGA NAEEE,MOJA MOJA PAPA KARUHUSU TURUKEEE...!!!

TEH TEH TE
H
 
Tofauti ya BBC na CNN kwenye utoaji habari potoshi ni ipi? Weka waraka wa Papa hapa tuusome. Sina mamlaka wala nia ya kuficha uozo.
Waraka mtaletewa kanisani huko muwasomee waumini. CNN au BBC wamzushie papa ili iweje? Kweli nimeamini bado wajinga mpo wengi sana yani habari imetangazwa dunia nzima bado umekaza shingo eti ni uzushi. Foolish
 
Hii taarifa nimechelewa kuiona.

Nimesoma kommenti hapa nyingi zinachekesha tu.

In fact hawajakurupuka kufanya hivyo and I think hapa duniani everything is under control
 
SASA POPE SI NDIE KIONGOZI WAKO MKUU??

KWAMBAJE WE UNAJUA BIBLE KULIKO POPE??

DJ

WEKA ULE WIMBO UNAOSEMA MTAFUTE MTAFUTEEE,MTAFUTE WA KURUKA NAEEE,WE MTAFUTE MTAFUTE WA KUDANGA NAEEE,MOJA MOJA PAPA KARUHUSU TURUKEEE...!!!

TEH TEH TE
H
Ni kweli Pope anaijua Bible ila yeye alishachagua kunena maneno yalikinyume chake Mungu.

Na maandiko yametabiri hiyo.

Rumi iliungana na Tawala za Kidunia na kuleta mambo ya kipagani kwenye Dini. Na ndivyo afanyavyo papa. Na hata tangu enzi za Daniel Biblia imeandika haya mambo wala usishangae.
 
LINDA SANA MARINDA MKUU,HALI SI SHWARII TENAA

DJ

WEKA ULE WIMBO UNAOSEMA MTAFUTE MTAFUTEEE,MTAFUTE WA KURUKA NAEEE,WE MTAFUTE MTAFUTE WA KUDANGA NAEEE,MOJA MOJA PAPA KARUHUSU TURUKEEE...!!!

TEH TEH TEH
 
Ukatoliki sio dini, Bali ni Mfumo wa kuitawala Dunia Kwa mgongo wa "Eti wanaamini BIBLIA TAKATIFU"

Ukatoliki na USA ni mtu na kaka yake.

Alichokianzisha USA, Katoliki ilishabariki.

Ni suala la muda tu ataanza kumtukana YEHOVA-YESU waziwazi.
 
wakuu habar ya KANISA KATOLIKI kubariki USHOGA au mapenzi ya jinsia Moja.....Kila mtu anafahamu, wale wazee wa WARAKA nataka nione uwezo wao wa kuandika, na WARAKA huo USOMWE kwenye Kila kigango au jumuiya...yaani wafanye kama vile walivyofanya DP WORLD.
 
Hao nu mashogaa hawawezi kuupinga tabia ya kanisa.
 
😀😀😀😀watajifanya wanapinga tamko la papa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…