Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
Fuata Uislamu kwa furaha yako lakini usitukaribishe sisi kwa kuwa tunaiona ni dini ya KISHETANI. Hata Salman Rushdie baada ya kusoma Quran vizuri akiona ni juzuu iliyojaa chuki, visasi na kumwaga damu. (rejea kitabu cha Satanic Verses)
Ninapomsikia mtu ni Mwislamu cha kwanza kinachokuja kichwani ni uwoga wa kuwa karibu naye. Maana Mwislamu kuvaa mabomu na kujilipua kwa ajili ya kumtetea Mwamedi ni dakika 0. Na sisi Tamzania tulikumbwa na haya madhila kule Amboni mwaka 2014 na Kibiti na Mkuranga mwaka 2016 hadi tulipopeleka jeshi na kuwaua wote.
Angalia kinachotokea huko Gaza ambapo Hamas wanaua maelfu ya watu, angalia Yemen, Somalia, Syria, Iraq na Afghanistan. Kote huko watu wanajilipua mabomu na kuua watu eti kumtetea ALLA!! Halafu unaniambia eti Uislamu ndiyo dini ya kweli?? MNADANGANYWA sana na warabu
DJIt's obvious kabisa catholic ni dini ya kishetani viongozi wa dini ni Wapinga kristo....hii kussuport ushoga na usagaji na agenda za Lucifer ...wacatholic wanaangamizwa ...just imagine Binti yako anakuletea mwanamke mwenzie kama mwenza wa maisha au kijana wako anakuletea kijana mwenzie et mwenzi wa maisha...it's so filthy and disgusting....
Chagua kufuata neno la Mungu na Mungu mwenyewe.SIwezi kuendelea kubishana wafuasi wa mazushi Hellen White
DJMimi ni RC mfu
DJTofauti ya BBC na CNN kwenye utoaji habari potoshi ni ipi? Weka waraka wa Papa hapa tuusome. Sina mamlaka wala nia ya kuficha uozo.
DJKanisa linanuka Kinyesi !!
Chagua kufuata neno la Mungu na Mungu mwenyewe.
Unamfuata pope hadi unaacha maandiko matakatifu.
Waraka mtaletewa kanisani huko muwasomee waumini. CNN au BBC wamzushie papa ili iweje? Kweli nimeamini bado wajinga mpo wengi sana yani habari imetangazwa dunia nzima bado umekaza shingo eti ni uzushi. FoolishTofauti ya BBC na CNN kwenye utoaji habari potoshi ni ipi? Weka waraka wa Papa hapa tuusome. Sina mamlaka wala nia ya kuficha uozo.
Ni kweli Pope anaijua Bible ila yeye alishachagua kunena maneno yalikinyume chake Mungu.SASA POPE SI NDIE KIONGOZI WAKO MKUU??
KWAMBAJE WE UNAJUA BIBLE KULIKO POPE??
DJ
WEKA ULE WIMBO UNAOSEMA MTAFUTE MTAFUTEEE,MTAFUTE WA KURUKA NAEEE,WE MTAFUTE MTAFUTE WA KUDANGA NAEEE,MOJA MOJA PAPA KARUHUSU TURUKEEE...!!!
TEH TEH TEH
LINDA SANA MARINDA MKUU,HALI SI SHWARII TENAANi kweli Pope anaijua Bible ila yeye alishachagua kunena maneno yalikinyume chake Mungu.
Na maandiko yametabiri hiyo.
Rumi iliungana na Tawala za Kidunia na kuleta mambo ya kipagani kwenye Dini. Na ndivyo afanyavyo papa. Na hata tangu enzi za Daniel Biblia imeandika haya mambo wala usishangae.
Kwani biblia inasemaje juu ya ndoa za jinsia moja
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Samahani, hapa unamwambia nani eti?Huwezi kupingana na papa wewe kilaza, labda uhame kanisa.
Hao nu mashogaa hawawezi kuupinga tabia ya kanisa.wakuu habar ya KANISA KATOLIKI kubariki USHOGA au mapenzi ya jinsia Moja.....Kila mtu anafahamu, wale wazee wa WARAKA nataka nione uwezo wao wa kuandika, na WARAKA huo USOMWE kwenye Kila kigango au jumuiya...yaani wafanye kama vile walivyofanya DP WORLD.
kama ingekuwa ni kweli na habari ni ya jana ungekuta imeshatrend vyakutosha. na wasi wasi na habari yako sio ya kweli.
😀😀😀😀watajifanya wanapinga tamko la papawakuu habar ya KANISA KATOLIKI kubariki USHOGA au mapenzi ya jinsia Moja.....Kila mtu anafahamu, wale wazee wa WARAKA nataka nione uwezo wao wa kuandika, na WARAKA huo USOMWE kwenye Kila kigango au jumuiya...yaani wafanye kama vile walivyofanya DP WORLD.
Kwanini mkuu?Mimi siamini