Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Miongoni mwa madhehebu ya hovyo ya wakristo...kuna lengine linaitwa casfeta

Tutahakikisha tunayaondoa hata kwa dua

ALLAH AKBAR
CASFETA sio dhehebu mkuu ni sawa useme UKWATA ni dhehebu.

Hayo ni makundi tu ya dhehebu flani ambao wameamua kuwapa watu wao wote wanao ungana jina moja.

Dhehebu ni Lutheran,RC,Pentekoste,T.A.G Nk
 
Nawaza namna kanisani wanaume wawili wamekaa pamoja kama wapenzi na pembeni yao kuna mtoto..sijui hii imekaaje.

ningekua RC ingekua mwisho kwenda kansani siku tu naskia tangazo hilo limesomwa kanisani/ibadani
 
Linafiki limoja wewe! Kwani hata ikitokea huyo Papa akahalilisha huo upuuzi kutokana na mila zao za wati weupe, itaniathiri vipi mimi ambaye ni mpingaji wa hivyo vitendo?

Ila nyinyi wanafiki ndiyo mnao ongoza kwa hivyo vitendo! Ila mkija humu jukwaani, mnajikosha. Hovyo kabisa.

MKUU SASA HASIRA UNANIPATIA MIMI KWANI NI PAPA MKUU??

UNASEMA UNATAKA KUPINGA HIVYO VITENDO,UNAWEZAJE KUPINGA MAELEKEZO YA KIONGOZI WAKO MKUU WA DINI??

MTAFUTE MTAFUTE,MTAFUTE WA KURUKA NAAEEEE
 
Nawaza namna kanisani wanaume wawili wamekaa pamoja kama wapenzi na pembeni yao kuna mtoto..sijui hii imekaaje.

ningekua RC ingekua mwisho kwenda kansani siku tu naskia tangazo hilo limesomwa kanisani/ibadani
TEH TEH TEH

MKUU VIPI TENA,MTAFUTE WAKO UKARUKE NAE MKUU,PAPA KESHATOA RUKSA YA KUTANUANA MARINDA MKUUUU
 
Wakristu katika giza la ufiraji

Waislamu katika giza la mauji kwa kivuli cha jihadi

Shetani ameshaziteka hizi Imani mbili, wakristu na waislamu wamebaki kushutumiana tu nani ni mchafu kuliko mwenzie


ila papa Fransisi inapaswa anyongwe aisee
Ni balaa kubwa na wafuasi wao wanatetea matamko bila kuangalia jamii yetu inapata hasara gani.Jambo hili likikikuta kwenye familia yako utajuta kutetea uovu huu mkubwa katika jamii yetu.
Biblia inasema zinaa hata isitajwe kwenu.
 
Hameni mtuachie kanisa letu tufunge ndoa kwa raha. 😂😂

Kesho naenda kigangoni kufunga ndoa, ole wake mtu alete mbambamba.

Mimi na dem wangu tumeruhusiwa na PAPA kutafunana bila bughudha.
Usimsahau na Pancha Its Pancho naye ana jambo lake, michango ishaanza na vipimo vya shela tayari huku 🤣🤣🤣🤣
 
Mods wa jf hivi mkoje nyie? Taarifa imenukuliwa na vyanzo rasmi kutoka Vatican na Wala sio mara ya kwanza Kwa Papa Francis kuleta mabadiliko yanayohusiana na Ushoga ikiwemo Kumtimua Askofu aliyekuwa anapinga.

Sasa nataka kufahamu mlifuta mada niliyoanzisha Jana Kwa kunukuu taarifa rasmi kama ilivyoripotiwa na The Citizen Kwa sababu zipi hasa?

View: https://www.instagram.com/p/C1AHCA1IvVs/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==

On top of that mlifuta mada niliyonukuu kutoka Millard Ayo kuhusu Serikali kutangaza nafasi za kazi Kwa wanaotaka kwenda Saudia nayo mkafuta Kwa nini?

View: https://www.instagram.com/p/C1APjjyCoIf/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==

Swali Kwa mods wa jf,Je hivyo vyomba vya habari sio credible source kwamba nyie hamvitambui ama?

Je mnaweza kuniambia nimevunja kanuni ipi ya jukwaa lenu?

The citizen na Millard ayo ndio credible hahhahaha haupo serious? Nenda kafanya quotation ya Website rasmi ya Vatican na Papa why uokoteze Ayo Tv ambao hawana wachambuzi makini.

Hata hao Citizen wamefeli kutafsiri sijui shida ni lugha ama vipi. Ni kama Papa aseme Mungu ni wetu sote iwe Mwizi, kahaba, shoga, mlevi n.k. sasa Kichwa cha habari wataandika; Papa asema Mashoga ni watu wa Mungu...
 
Ni taarifa ilyotumwa hivi punde,waraka rasmi kutumwa kwa makadinali Dunia nzima,.......tushuhudie vidume wakivalishana mashela kanisani huku nyomi la wakatoliki mashabaab wakipiga vigelegele wanaume wenzao kwenda kupigana miti baada ya kanisa kutoa Sacramento takatifu!
---
ROME (AP) — Pope Francis has formally approved allowing priests to bless same-sex couples, with a new document explaining a radical change in Vatican policy by insisting that people seeking God’s love and mercy shouldn’t be subject to “an exhaustive moral analysis” to receive it.

The document from the Vatican’s doctrine office, released Monday, elaborates on a letter Francis sent to two conservative cardinals that was published in October. In that preliminary response, Francis suggested such blessings could be offered under some circumstances if they didn’t confuse the ritual with the sacrament of marriage.

The new document repeats that rationale and elaborates on it, reaffirming that marriage is a lifelong sacrament between a man and a woman. And it stresses that blessings should not be conferred at the same time as a civil union, using set rituals or even with the clothing and gestures that belong in a wedding.

But it says requests for such blessings should not be denied full stop. It offers an extensive definition of the term “blessing” in Scripture to insist that people seeking a transcendent relationship with God and looking for his love and mercy should not be subject to “an exhaustive moral analysis” as a precondition for receiving it.

“Ultimately, a blessing offers people a means to increase their trust in God,” the document said. “The request for a blessing, thus, expresses and nurtures openness to the transcendence, mercy, and closeness to God in a thousand concrete circumstances of life, which is no small thing in the world in which we live.”

He added: “It is a seed of the Holy Spirit that must be nurtured, not hindered.”

The Vatican holds that marriage is an indissoluble union between man and woman. As a result, it has long opposed same-sex marriage.

And in 2021, the Vatican’s Congregation for the Doctrine of the Faith said flat-out that the church couldn’t bless the unions of two men or two women because “God cannot bless sin.”

That document created an outcry, one it appeared even Francis was blindsided by even though he had technically approved its publication. Soon after it was published, he removed the official responsible for it and set about laying the groundwork for a reversal.

In the new document, the Vatican said the church must shy away from “doctrinal or disciplinary schemes, especially when they lead to a narcissistic and authoritarian elitism whereby instead of evangelizing, one analyzes and classifies others, and instead of opening the door to grace, one exhausts his or her energies in inspecting and verifying.”

It stressed that people in “irregular” unions — gay or straight — are in a state of sin. But it said that shouldn’t deprive them of God’s love or mercy.

“Thus, when people ask for a blessing, an exhaustive moral analysis should not be placed as a precondition for conferring it,” the document said.

AP News
Naona akina BBC mna push sana agenda hii, sijajua mna maslahi gani nayo. Kanisa Katoliki muda wote linakanusha mambo haya, lakini bado tu mmeshikilia. Tuwekee waraka wa Vatican tuusome!
 
Hili Kanisa lilikuwa pekee lenye heshima duniani sijui kwa wenye heshima zao watafanyaje au ndo kubaki kuugulia maumivu tu!!!
 
once you are Roman, you are roman, you will never step out... kuna level ukishafikia kwenye mashirika ya kimafia au hata uchawi basi huwezi kugeuka tena, ukigeuka lazima ufe au wakuzime data..

Wake wanaojua histori ya Italian Mafia aka wazee wa Sicily, bila shaka wataelewa.
 
Maamuzi sahihi kabisa, wapenzi wa jinsia Moja ni binadamu kama wengine. Wanastahili kuishi kwa uhuru.
20230808_205410.jpg
 
Back
Top Bottom