[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utapasukaaa bureeeeUna makombe mangapi ya Africa?
Una muwaza Al Ahly na Wydad na kikosi cha kina Akpan na Onyango?
Soo Fun!
Embu kaimbe kwanza shairi hapa Shairi la papuchi ongezea beti zako... Leo zamu yetu la saba BMlongo kwann uteseke? Kheeeeh mbna ndo kwanza maumivu yaana anzishwa. Hebu relaaaaaaxx.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
anakaa kushindana na Simba,atachizi fala yuleTusubirie Demigod anandaa Uzi huko
Kwani sakho ana goli ngapi ligi kuu?Pamoja na yote dogo yuko OVERRATED sana naongea kama Shabiki kindaki wa Mnyama wanasimba wanataka kumfananisha na miqquison lakini dogo kuna namna anakwama sana uwanjani kwanza ni MCHOYO MNOOO wa PASI hasa akikalibia golini na matatzo kadhaa kama kulazimisha kupenya ndani ya Box naamini akiambiwa ukweli atabadilika na angekua hatari angekua ana walau goli 5 tu za ligi POVU ruksa
wakakuvunjia na mayai piaUtajuaje kama HAWANA KELELE wakati unaangalia ukiwa sebuleni kwako…!!! Hapa nilipo watu wameshangilia mpka kuvunja chupa za bia
Ligi Kuu..sisi hatuko hukoKwani sakho ana goli ngapi ligi kuu?
Hebu tuweke sawa ndugu msomi wa Havadi, ni RAYOR TOUR au royol tour?Kwa usiku huu dogo Sako mchezaji wwa Simba kaitangaza vizuri Tanzania kuliko royol tour ya mpemba,Safi Sana kijana
Kwani sakho ana goli ngapi ligi kuu?
OP ( Off Point )Ule utumbo wako kuhusu Babra na hersi bado ni valid?
Kwani sakho ana goli ngapi ligi kuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huko nilishavukaaa.Embu kaimbe kwanza shairi hapa Shairi la papuchi ongezea beti zako... Leo zamu yetu la saba B
Mayele kapewa ng'ombe mambo ya Morocco hayamuhusu siyo level zake,tunachotaka ng'ombe anenepe. Sakho ndo habari ya Africa nzima na dunia.Mbona naskia Mayele alifunga goli zuri kupita hilo kwenye mechi ya Yanga na Azamu ?
Kwani ligi kuu ya Tanzania haipo chini ya CAF ?
Hadi wasilione goli bora kama hilo na kuamuru lipigiwe kura ?