Mwami Atale
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 279
- 1,103
Weeeeeeh lazima nikose wewe pesa mbele kuliko kingine ntakua napeleka rejesho bhn🤣
Update browser unayotumia... Tatizo lako litakuwa limetatukaAlafu mbona sielewi boss kule inbox ile conversion kila nikijaribu kuufungua kwangu inagoma inaandika connecting kwa muda mrefu shida sijajua ni nini? unisamehe tu boss wangu wito niliuona.
Woyooooooooooooooo 🏃🏃🏃Update browser unayotumia... Tatizo lako litakuwa limetatuka
shukrani mkuu.Update browser unayotumia... Tatizo lako litakuwa limetatuka
Ndio mkuu, hujakosea.Hio picha ukiwa unakula bata ni wewe?
Mimi ninayo lakini sifanyi huo upuuziDuh, kwa hamasa hii maisha yangekuwa rahisi sana.
Swali langu ni je, hiyo nyumba ya m.100 wangapi wanayo?
Akavunje benki achukue hata 500 kabisa kama spika alivyochukua bajaji 500Anza na 2 Kwanza mwanangu
10 nyingi Sana
Miezi 6 wakikuletea hela Kila siku elfu 10 Kwa miezi 6, hapo uongeze 2 tena
Updates plsJesus Christ😂😂😂
Jumamosi NIko na hadithi ya kausha damu
YouTube na jamii forum
Usikose
Talk is cheap.NI kweli
BIASHARA ya Bodaboda ukiifanya vizuri utapata Hadi milioni 15 KWA MWEZI
Statistics zaonyesha hivi
View attachment 2749912
Kwenye makaratasi inawezekana sema usijaribu kufanya ni ushauri tu
Talking is cheap. Hapo utakula za usoNI kweli
BIASHARA ya Bodaboda ukiifanya vizuri utapata Hadi milioni 15 KWA MWEZI
Statistics zaonyesha hivi
View attachment 2749912
😂😂 kama hatalia machozi ya damuKabla hajanunua nyumba nyingine anatafuta odds zake 3 tu anaweka mkeka 196,000,000×3=600M
Umeona eeeUkiwa nazo nyingi ni biashara inayolipa sana...
Sili za uso wala piaTalking is cheap. Hapo utakula za uso
Mbona naifanya bossKwenye makaratasi inawezekana sema usijaribu kufanya ni ushauri tu
Sauwa mkaa kwenye a/cTalk is cheap.
Spika gan?Akavunje benki achukue hata 500 kabisa kama spika alivyochukua bajaji 500
Unataka nikutag?Updates pls
Hizo ni hesabu za kwenye calculator....NI kweli
BIASHARA ya Bodaboda ukiifanya vizuri utapata Hadi milioni 15 KWA MWEZI
Statistics zaonyesha hivi
View attachment 2749912
FIX🤪Mimi NIna bodaboda 10 mtaani na ni mstaafu WA Miaka 10 nakula pensheni
Shida nyie mnawapa bodaboda watu hamjaandikishana serikalini, hao mabodaboda hawana ma referee 3 just incase wakikimbia au kuuza
Jipange bro utakula hela kilaini mjini hapa