Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Covid ya tatu hiyo
Jamaa alikuwa mwizi sana na anajua ufisadi wote waliofanya na jiwe kwenye miradi..
Aende kunakostahili.
Mbona yule profesa b hukusema hivyo?Hiyo itakuwa ni BIP tu tokea kwenye lile wimbi.
Hebu leteni chanjo wajameni. Chanjo zenyewe si hiari?
Mkuu acha uchuro .....!!Nyerere hakupenda majina yake kutumika akiwa hai alisema ni uchuro.
Magufuli - Stendi, Daraja; Mfugale - tower, flyover; Kijazi - Daraja, Flyover...
Wewe ni taahira!hawa ndio waliokuwa wanainjoy enzi za mwenda zake na kumshauri aendelee kukaza Praizi kwa watanzania. Wataisha. Karma
Alikuibia pesa gani wewe masikini namna hiyo?Afe tuu...huyu na kichaa Magu walichangia kuiba pesa zetu
BBaregu aliugua muda mlefu Sana toka mwaka janaMbona baregu hukusema ni covid?
Ndio umasikini unaotafuna ukoo wako utaisha?Msaidizi wa dikteta anapofariki ni jambo jema sana na la kutia matumaini.
View attachment 1834607
Peacock hotel ni ya mwingine. Ni majina tu yanafananaHivi huyu ndie mmiliki wa Ebony FM iringa,na Peacock Hotel mnazi mmoja?
Anyway R.I.P
Mkuu acha uchuro .....!!
kama karma ni kifo basi kila mtu ni mwovu.hawa ndio waliokuwa wanainjoy enzi za mwenda zake na kumshauri aendelee kukaza Praizi kwa watanzania. Wataisha. Karma
cheti feki kila siku kulia kulia na makasiriko kwa watu ambao walikuacha mbaaali kwa kila kitu...cha zaidi ulichowazidi labda ni mzigo wa pumbu tuCovid ya tatu hiyo
Jamaa alikuwa mwizi sana na anajua ufisadi wote waliofanya na jiwe kwenye miradi..
Aende kunakostahili.