TANZIA Patrick Mfugale wa TANROADS afariki dunia Jijini Dodoma

TANZIA Patrick Mfugale wa TANROADS afariki dunia Jijini Dodoma

Afe tuu...huyu na kichaa Magu walichangia kuiba pesa zetu
Alikuibia pesa gani wewe masikini namna hiyo?

Ndio maana rais kawambia acheni porojo za katiba fanyeni kazi!

Vijana mtakufa koo zenu zikiwa zinaliwa na umasikini huku mkitumika kuwapandisha madaraja kina Mbowe!

Mfugale kaacha alama kwenye ukoo wake, wewe ukifa hapo ulipo utaacha nini zaidi ya ukurutu tu?

Alafu eti ametuibia! Amekuibia wew na nani?
 
Back
Top Bottom