Paul Kagame katoa onyo kwa Kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?

huna akili.
 
Fact yaani totally nonsense
 
Unazungumza kwa mihemko ila Kuna sehemu umesema wanafadhiliwa na Rwanda na Uganda Ni Kweli

Ila sas kosa kubwa alililifanya tshekedi Ni kujumuisha Uganda kwenye operation hyo ya kuwaondoa waasi na kuleta amani mashariki mwa Kongo[emoji41]


Kosa la kuwjulisha Uganda ktk Operation no kosa ambalo watajuta maishani
 
Kagame ameshakaa madarakani muda mrefu sana,amefikia sasa ile hali ya kujiona kuwa hakuna anayemuweza,hizo ni lugha za viongozi wengi waliokaa muda mrefu kwenye madaraka na anafikiri kwakuwa wananchi wameshindwa kumtoa kwenye kura basi anaamini kuwa ni untouchable kwenye kila kitu,sasa aendelee kujitutumua tu,lakini nadhani sasa atakuwa anajiandalia mwisho wa utawala wake kama asipotumia hekima...
 
Wamekuwa dhaifu Tena si unawaona wa maana wewe au? Huna msimamo na hata huelewi unachosimamia.
Usiwe mjinga wewe, wapi nimesema wa maana? Ni juha ndiye anasifia anachopata bila kujali ni kiasi gani hasa anastahili kupata kulingana na nguvu na uwezo alio nao..ndio maana kwenye boxing wanapima uzito, haiwezekani mwenye uzito heavyweight apigane na middle weight halafu unajisifu umeshinda.. wewe ni nchi yenye watu 61 million unajisifu kuwashinda watu hawazidi hata 35 million..unless kichwani hazitoshi ndio huwezi kuona ukweli ninaousema.
 
Nikawaida kwa debe tupu kupiga makelele.
 
Magufuli (rip) aliyekuwa anatuhimiza kufanya kazi kwa bidii hayupo, sasa kwa nini tusishinde mitandaoni? Enzi za kuuza ngada na kujikusanyia mipesa na kushinda vijiweni zimerudi, wewe unataka tuwe bize na nini tena?
Acha yeye aendelee kubeba magunia sisi atuache tushinde mitandaoni huku tukiuza ngada na maisha yanaenda
 
Mimi sijui kwa nini nna imani kubwa sana na nchi yangu ya Tanzania. Naamini malalamiko ya wananchi huwa hayakosi kwenye nchi yoyote ile iwe Tajir au maskini. Lakini kwenye ishu ya usalama wa nchi, ni kitu ambacho hakuna nchi inalala usingizi.
Ukiangalia sana, katika ukanda wa Afrika mashariki, ni Tanzania tu ambayo haijigambi kabisa kuhusu jeshi lake, ipo kimya sana as if hakuna kinachoendelea kwenye majeshi yetu.
Sasa kwa ukimya huo, nchi nyingine zisichukulie poa sana. Tz ipo vizuri zaidi ya tuijuavyo.
Kama hotuba ya jamaa ilichomekwa kwa kiswahili, inaamana TZ pia ilikua ni target kwa sababu ingeishia kwenye English, basi tungejua anawalenga Kenya, Congo na Uganda na nchi nyingine zinazoweka English mbele.
Kiswahili ilikua kwa ajili yetu! Lakini hatujalala. Tangu 1978 tunatambua umuhimu wa kuimalisha usalama eneo lote la kaskazini Magharibi na Magharibi kwa ujumla.
 
Magufuli (rip) aliyekuwa anatuhimiza kufanya kazi kwa bidii hayupo, sasa kwa nini tusishinde mitandaoni? Enzi za kuuza ngada na kujikusanyia mipesa na kushinda vijiweni zimerudi, wewe unataka tuwe bize na nini tena?
Halafu hakuwah kuajili
 
Kama kamtisha Rutto basi nasikitika kusema Kagame ataondoka madarakani na Rwanda utakuwa mkoa wa Kenya.

Rutto anaonekana kama padri lakini ni moja ya watu wenye mioyo ya chuma kupigania anachoamini.

Tusidanyike humu na maneno ya vijiweni Rwanda is overrated na haina uwezo wa kupigana na Kenya
 
Tena kirahisi kabisa !
 
Naongea kwa uchungu mkubwa toka Moyoni mwangu,nakupenda Tanzania yangu,Lakini ipo siku watu watasema nyie CCM na mafisadi,Majizi yote muende mkapigane wenyewe Vita,kwa maslai yenu wenyewe,wanyonge na wapinzani na wapenda haki wataungana na adui bila kujua dhumuni la adui ni nini?hiyo siku ngumu inakuja tena haiko mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…