Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

Wanazidi kumpa umaarufu...inaonekana wanamuogopa ndomana wanampa cheo licha ya matendo meengi yasiyofaa!!
Alafu mtu ananiambia eti niwe mzalendo!! Mzalendo huku mtuhumiwa anapewa cheo na rais nasisi watiifu tunateswa Kwa mishahara midogooo
 
Hii ndo kazkazini😋😎 ataondokA tu..
 
Maisha yanaenda kasi. Juzitu alikua anahoji hadi mawaziri leo anahojiwa na wale aliokua anawaona ni manamba tu
 
kwanza tujue ni mawaziri wepi ndio tujue nini la kufanya.
 
Sisi tunaangalia kazi yake nzuri kuhusu kutetea maslahi ya umma na yenye matokeo makubwa. Kama unamchukia hapo hujasema nini ameharibu. bila shaka utakua mmoja wa watu wabinafsi na dhulumati kwa wanyonge na mali ya umma.
 
Sisi tunaangalia kazi yake nzuri kuhusu kutetea maslahi ya umma na yenye matokeo makubwa. Kama unamchukia hapo hujasema nini ameharibu. bila shaka utakua mmoja wa watu wabinafsi na dhulumati kwa wanyonge na mali ya umma.
dhulumati ni wewe mkewe na makonda mwenyewe, mlitaka kumdhulumu GSM nyumba yake, mmedhulumu magari sasa hapo kati yenu na sisi nani dhulumati nyooooooo
 
Nasikia huko wanakamatana, kwa sababu kamati ya kumuhoji ina dhambi kubwa kuliko dhambi ya makonda.

Hivyo imeishia kushauriana na wala sio kumhoji kwa sababu dogo anajua dhambi zao wote.


Ccm imeoza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…