Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

Ngoja tumsubiria mwamba makonda tumsikie anasemaje

Ova
Ila mzee wa Kino tukubaliane huyu jamaa kama ni uchawa kavuka level zote. Ni supreme chawa. Unaambiwa kuanzia Mkapa alikuwa anampenda... yaani marais wote isipokuwa mwinyi na Nyerere walimkubali...
 
Huyu mama naye sijui ni takataka ya wapi, hili jitu halifai hata kuongoza mtaa analing'ang'ania la nini? Halina maadili ya utumishi hata kidogo! Na linaonesha limetoka familia hohehahe sana!
Mama kauli mbiu yake eti madai yake hana kundi, wote ni wa kwake, Majambazi, Mafisadi, Machawa, Mashoga, Wasagaji n.k, wote ni wa keake na wote anawapa nafasi lwenye uongozi wake.
 
Ila mzee wa Kino tukubaliane huyu jamaa kama ni uchawa kavuka level zote. Ni supreme chawa. Unaambiwa kuanzia Mkapa alikuwa anampenda... yaani marais wote isipokuwa mwinyi na Nyerere walimkubali...
😄

Ova
 
Hamna kitu hapo! Tuna rejesha chama hewani, Mbinu za kivita hizo!

Watu wamesha ingia mkenge tayari
Sawa Acha waingie mkenge ila hatutanyamaza. Huyu kichaa tulisema tangu mwanzo kuwa hafai kuwa kiongozi. Matokeo yake yanaonekana. Hakuna cha rejesha chama hewani hapo, jamaa kazingua kinoma
 
Makonda kashatoka Dodoma ila kitu Samia anapaswa kujua hii ndiyo kete yake yenye mustakabali mpana wa Kiti chake hili lijamaa la Kolomije atamsaidia Sana na atamfaa kujenga imani yake kwa Wananchi wanaotaka sauti zao zenye vilio sikike tofauti na hiyo mijizi ya ccm iliyomzungumka japo na yeye mhe Rais Mara kadhaa amekuwa akihusishwa na hilo kundi hatari zaidi ya M23 kwa Rasilimali za Taifa hili.
 
Nawaza tu kwa mapana, hivi akitenguliwa Kardinali Pengo ataipimaje ile sala pale ofisini kwa Makonda (Arusha):MonkiFlip:
 
Makonda kwa taarifa za mwananchi media kafika saa tatu dodoma kahojiwa masaa matatu, yaani kamaliza mahojiano saa sita +, saa nne alikuwa msibani dar, usijekuta walikuwa wanahojiana na fisi, hawa watu wa misungwi sio wazuri kabisa
 
Makonda kwa taarifa za mwananchi media kafika saa tatu dodoma kahojiwa masaa matatu, yaani kamaliza mahojiano saa sita +, saa nne alikuwa msibani dar, usijekuta walikuwa wanahojiana na fisi, hawa watu wa misungwi sio wazuri kabisa
Hahaha huyo kafunikwa kwa damu ya Yesu! Watashindana sana lakini hawatashinda!
 
Labda kukuongoza wewe na wengine jamii yako! Ila viongozi bora kwa nchi za watu wenye akili hawana uongozi kama wa Makonda.
Raia na watumishi wa umma wa Nchi za watu wenye akili hawapo Kama Tanzania

Kwa kigezo hicho haipaswi viongozi wa huku waende sawa na viongozi wa huko!
 
Leo kuna maandamano kupinga sheria mbovu za uchaguzi; haijulikani kama watashiriki uchaguzi chini ya sheria hizo japo mwenye chama kishasema wataweka wagombea kila mtaa/kitongoji hadi jimbo.
Wapambanie walau hilo ishu za makonda wanamuongezea tu Credt jamaa,yaani anaonekana mwiba mchungu.
 
Back
Top Bottom