Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Achana na Comrade lete habari za Dj Mbowe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taharuki ipi mkuu?Sio kwa Makonda, wana hadaa umma, na kuzima taharuki tyuu.
Chanzo : MwananchiAchana na Comrade lete habari za Dj Mbowe.
Kama walimtukana mama tena wanataMkuu wa Mkoa wa Arusha , Ndugu Paulo Makonda ameitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi .
Ameelekezwa kufika kwenye Kamati hiyo , tarehe 22/04/2024
anaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Naona taarifa za CCM unareport haraka sana. Wakati ww ni cdm. Kuna u kweli kuwa kuna wana cdm mchana wapo CCM using wapo cdm.huyu kijana hafai kuwa kiongozi, alishawahi kuota mapembe Mungu akamshusha, hakujifunza, sasaivi amerudi na kiburi kilekile na kuaibisha watu wazima mbele za watu ili yeye apate credit. aonywaye mara nyingi na kushupaza shingo atavunjika na hata pata data. kwa kifupi, wakimuita kama watamrudisha au watamwondoa, ipo wazi, huyu ni kiongozi muonevu, kiongozi asiye na maadili na hafai kuongoza watu wazima. hata asipowajibishwa na ccm kuna siku Mungu atamwajibisha. aombe Mungu awajibishwe na ccm, manake akiwajibishwa na Mungu hawezi kustahimili kabisa.
Sijawahi kuwa ccm wala chadema. speaking the truth. ila hata wanaccm wenye akili hawajafurahia kitendo alichokifanya. huyo imebaki tu aadhibiwe na Mungu, kwasababu inaonekana wanadamu wamemshindwa.Kama walimtukana mama tena wanata
Naona taarifa za CCM unareport haraka sana. Wakati ww ni cdm. Kuna u kweli kuwa kuna wana cdm mchana wapo CCM using wapo cdm.
Sisi tunachochea kuni tu , halafu hii taarifa imetoka MwananchiKama walimtukana mama tena wanata
Naona taarifa za CCM unareport haraka sana. Wakati ww ni cdm. Kuna u kweli kuwa kuna wana cdm mchana wapo CCM using wapo cdm.
Ngoja akafungwe "gavana"Mkuu wa Mkoa wa Arusha , Ndugu Paulo Makonda ameitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi .
Ameelekezwa kufika kwenye Kamati hiyo , tarehe 22/04/2024
=====
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemuita Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kwenye Kamati ya Maadili.
Makonda anatarajiwa kufika mbele ya Kamati hiyo Jumatatu, Aprili 22, 2024 asubuhi na kukutana na wajumbe wa kamati hiyo.
Hata hivyo, Mwananchi inafahamu kuwa Makonda alitakiwa kufika mbele ya kamati hiyo Aprili 20, 2024 majira ya asubuhi, lakini haikuelezwa sababu za kusogezwa mbele.
Barua ya wito wa CCM kwa Makonda haikueleza sababu za kumuita huku ikieleza kwamba, kuna masuala mbalimbali kati yake na wajumbe wanakwenda kujadili.
Lakini, wito huo huenda unahusishwa na kauli ya Makonda aliyoitoa wakati wa kumbukumbu ya miaka 40 ya kifo cha Waziri mkuu wa zamani, Edward Sokoine iliyofanyika Monduli, Arusha ambako Makonda alidai kuwa viongozi wakiwemo mawaziri wamekuwa wakilipa watu kumtukana Rais Samia Suluhu Hassan kwenye mitandao ya kijamii.
Makonda alitoa onyo kwa viongozi hao akisema kama wakiendelea atawataja hadharani na kwamba, hayuko tayari kuona Rais Samia akitukanwa.
Chanzo: Mwananchi online
Pia soma:
- Wito kwa Serikali yetu, Huu ni Udhalilishaji wa Bullying & Intimidation!. Mbona Rais Samia Hadhalilishi?. Tusiruhusu Udhalilishaji Huu Uendelee!.
- Paul Makonda: Kiongozi Mzima Kujieleza Hujui, Mnapataje Hizi Nafasi?
- Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Umesha ambiwa nchi za kusini mwa janga ,kwa hiyo majanga yapo na watu wake nao ni majanga tuu.Duh atakoma huyooo kwanza kwa Nini yule bi mkubwa alimpa cheo mtu kilaza ama kweli nchi za kusini mwa janga la Sahara viongozi ni watu wenye elimu ndogo sana
UhakikaDereva anakula per diem tu hapo
Hata safari ya mwisho ya mmoja aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM Bw. Horace Kolimba naye ilikuwa kama hivi hivi, aliitwa kama anavyoitwa huyu Paul Makonda.Mkuu wa Mkoa wa Arusha , Ndugu Paulo Makonda ameitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi .
Ameelekezwa kufika kwenye Kamati hiyo , tarehe 22/04/2024
=====
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemuita Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kwenye Kamati ya Maadili.
Makonda anatarajiwa kufika mbele ya Kamati hiyo Jumatatu, Aprili 22, 2024 asubuhi na kukutana na wajumbe wa kamati hiyo.
Hata hivyo, Mwananchi inafahamu kuwa Makonda alitakiwa kufika mbele ya kamati hiyo Aprili 20, 2024 majira ya asubuhi, lakini haikuelezwa sababu za kusogezwa mbele.
Barua ya wito wa CCM kwa Makonda haikueleza sababu za kumuita huku ikieleza kwamba, kuna masuala mbalimbali kati yake na wajumbe wanakwenda kujadili.
Lakini, wito huo huenda unahusishwa na kauli ya Makonda aliyoitoa wakati wa kumbukumbu ya miaka 40 ya kifo cha Waziri mkuu wa zamani, Edward Sokoine iliyofanyika Monduli, Arusha ambako Makonda alidai kuwa viongozi wakiwemo mawaziri wamekuwa wakilipa watu kumtukana Rais Samia Suluhu Hassan kwenye mitandao ya kijamii.
Makonda alitoa onyo kwa viongozi hao akisema kama wakiendelea atawataja hadharani na kwamba, hayuko tayari kuona Rais Samia akitukanwa.
Chanzo: Mwananchi online
Pia soma:
- Wito kwa Serikali yetu, Huu ni Udhalilishaji wa Bullying & Intimidation!. Mbona Rais Samia Hadhalilishi?. Tusiruhusu Udhalilishaji Huu Uendelee!.
- Paul Makonda: Kiongozi Mzima Kujieleza Hujui, Mnapataje Hizi Nafasi?
- Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Ohoooooo !Hata safari ya mwisho ya mmoja aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM Bw. Horace Kolimba naye ilikuwa kama hivi hivi, aliitwa kama anavyoitwa huyu Paul Makonda.
Uko sahihi mkuu! Hata mimi nisingekubali ujinga huo! Ningetoka hapo podium nione anachofanya!Wajumlishe na udhalilishaji alioufanya kwa yule muhandisi wa TARURA kwenye clip inayotembea mtandaoni kwa sasa
Kule sio kumuwajibisha mtumishi, ule ni udhalilishaji wa wazi ningekuwa mimi ningetoka ukumbini halafua aagize askari wanikamate wanipeleke ndani kesi ianzie hapo
Kuna lugha za uongozi wenye mamlaka zisizohusisha dhihaka, CCM wanatakiwa wawafundishe vijana wao.
Nilisema, huo mkoa aliopelekwa ndiyo mwisho wake. Ashukuru meisho wenyewe una unafika akiwa na uhai.Mkuu wa Mkoa wa Arusha , Ndugu Paulo Makonda ameitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi .
Ameelekezwa kufika kwenye Kamati hiyo , tarehe 22/04/2024
=====
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemuita Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kwenye Kamati ya Maadili.
Makonda anatarajiwa kufika mbele ya Kamati hiyo Jumatatu, Aprili 22, 2024 asubuhi na kukutana na wajumbe wa kamati hiyo.
Hata hivyo, Mwananchi inafahamu kuwa Makonda alitakiwa kufika mbele ya kamati hiyo Aprili 20, 2024 majira ya asubuhi, lakini haikuelezwa sababu za kusogezwa mbele.
Barua ya wito wa CCM kwa Makonda haikueleza sababu za kumuita huku ikieleza kwamba, kuna masuala mbalimbali kati yake na wajumbe wanakwenda kujadili.
Lakini, wito huo huenda unahusishwa na kauli ya Makonda aliyoitoa wakati wa kumbukumbu ya miaka 40 ya kifo cha Waziri mkuu wa zamani, Edward Sokoine iliyofanyika Monduli, Arusha ambako Makonda alidai kuwa viongozi wakiwemo mawaziri wamekuwa wakilipa watu kumtukana Rais Samia Suluhu Hassan kwenye mitandao ya kijamii.
Makonda alitoa onyo kwa viongozi hao akisema kama wakiendelea atawataja hadharani na kwamba, hayuko tayari kuona Rais Samia akitukanwa.
Chanzo: Mwananchi online
Pia soma:
- Wito kwa Serikali yetu, Huu ni Udhalilishaji wa Bullying & Intimidation!. Mbona Rais Samia Hadhalilishi?. Tusiruhusu Udhalilishaji Huu Uendelee!.
- Paul Makonda: Kiongozi Mzima Kujieleza Hujui, Mnapataje Hizi Nafasi?
- Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Huyu mama naye sijui ni takataka ya wapi, hili jitu halifai hata kuongoza mtaa analing'ang'ania la nini? Halina maadili ya utumishi hata kidogo! Na linaonesha limetoka familia hohehahe sana!huyu kijana hafai kuwa kiongozi, alishawahi kuota mapembe Mungu akamshusha, hakujifunza, sasaivi amerudi na kiburi kilekile na kuaibisha watu wazima mbele za watu ili yeye apate credit. aonywaye mara nyingi na kushupaza shingo atavunjika na hata pata data. kwa kifupi, wakimuita kama watamrudisha au watamwondoa, ipo wazi, huyu ni kiongozi muonevu, kiongozi asiye na maadili na hafai kuongoza watu wazima. hata asipowajibishwa na ccm kuna siku Mungu atamwajibisha. aombe Mungu awajibishwe na ccm, manake akiwajibishwa na Mungu hawezi kustahimili kabisa.
Sasa wewe hutaki waingie mkenge ?Hamna kitu hapo! Tuna rejesha chama hewani, Mbinu za kivita hizo!
Watu wamesha ingia mkenge tayari
Vipi Safari ya askofu gwajima?Hata safari ya mwisho ya mmoja aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM Bw. Horace Kolimba naye ilikuwa kama hivi hivi, aliitwa kama anavyoitwa huyu Paul Makonda.