Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

Mkuu wa Mkoa wa Arusha , Ndugu Paulo Makonda ameitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi .

Ameelekezwa kufika kwenye Kamati hiyo , tarehe 22/04/2024

anaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Kama walimtukana mama tena wanata
huyu kijana hafai kuwa kiongozi, alishawahi kuota mapembe Mungu akamshusha, hakujifunza, sasaivi amerudi na kiburi kilekile na kuaibisha watu wazima mbele za watu ili yeye apate credit. aonywaye mara nyingi na kushupaza shingo atavunjika na hata pata data. kwa kifupi, wakimuita kama watamrudisha au watamwondoa, ipo wazi, huyu ni kiongozi muonevu, kiongozi asiye na maadili na hafai kuongoza watu wazima. hata asipowajibishwa na ccm kuna siku Mungu atamwajibisha. aombe Mungu awajibishwe na ccm, manake akiwajibishwa na Mungu hawezi kustahimili kabisa.
Naona taarifa za CCM unareport haraka sana. Wakati ww ni cdm. Kuna u kweli kuwa kuna wana cdm mchana wapo CCM using wapo cdm.
 
Dogo huwa anajivurugiaga mwenyewe japo ana ngekewa.
Waswahili wanasema hutakiwi kuongea sana wakati wa kula.
Waswahili wakaongeza kwamba unapomenya karanga za kipofu, usiongee piga mruzi huku unatafuna ili kipofu asijue unakula karanga zake, maana ukiacha kupiga mruzi atajua unakula karanga.
 
Kama walimtukana mama tena wanata

Naona taarifa za CCM unareport haraka sana. Wakati ww ni cdm. Kuna u kweli kuwa kuna wana cdm mchana wapo CCM using wapo cdm.
Sijawahi kuwa ccm wala chadema. speaking the truth. ila hata wanaccm wenye akili hawajafurahia kitendo alichokifanya. huyo imebaki tu aadhibiwe na Mungu, kwasababu inaonekana wanadamu wamemshindwa.
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha , Ndugu Paulo Makonda ameitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi .

Ameelekezwa kufika kwenye Kamati hiyo , tarehe 22/04/2024

=====

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemuita Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kwenye Kamati ya Maadili.

Makonda anatarajiwa kufika mbele ya Kamati hiyo Jumatatu, Aprili 22, 2024 asubuhi na kukutana na wajumbe wa kamati hiyo.

Hata hivyo, Mwananchi inafahamu kuwa Makonda alitakiwa kufika mbele ya kamati hiyo Aprili 20, 2024 majira ya asubuhi, lakini haikuelezwa sababu za kusogezwa mbele.

Barua ya wito wa CCM kwa Makonda haikueleza sababu za kumuita huku ikieleza kwamba, kuna masuala mbalimbali kati yake na wajumbe wanakwenda kujadili.

Lakini, wito huo huenda unahusishwa na kauli ya Makonda aliyoitoa wakati wa kumbukumbu ya miaka 40 ya kifo cha Waziri mkuu wa zamani, Edward Sokoine iliyofanyika Monduli, Arusha ambako Makonda alidai kuwa viongozi wakiwemo mawaziri wamekuwa wakilipa watu kumtukana Rais Samia Suluhu Hassan kwenye mitandao ya kijamii.

Makonda alitoa onyo kwa viongozi hao akisema kama wakiendelea atawataja hadharani na kwamba, hayuko tayari kuona Rais Samia akitukanwa.


Chanzo: Mwananchi online

Pia soma:
Ngoja akafungwe "gavana"
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha , Ndugu Paulo Makonda ameitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi .

Ameelekezwa kufika kwenye Kamati hiyo , tarehe 22/04/2024

=====

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemuita Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kwenye Kamati ya Maadili.

Makonda anatarajiwa kufika mbele ya Kamati hiyo Jumatatu, Aprili 22, 2024 asubuhi na kukutana na wajumbe wa kamati hiyo.

Hata hivyo, Mwananchi inafahamu kuwa Makonda alitakiwa kufika mbele ya kamati hiyo Aprili 20, 2024 majira ya asubuhi, lakini haikuelezwa sababu za kusogezwa mbele.

Barua ya wito wa CCM kwa Makonda haikueleza sababu za kumuita huku ikieleza kwamba, kuna masuala mbalimbali kati yake na wajumbe wanakwenda kujadili.

Lakini, wito huo huenda unahusishwa na kauli ya Makonda aliyoitoa wakati wa kumbukumbu ya miaka 40 ya kifo cha Waziri mkuu wa zamani, Edward Sokoine iliyofanyika Monduli, Arusha ambako Makonda alidai kuwa viongozi wakiwemo mawaziri wamekuwa wakilipa watu kumtukana Rais Samia Suluhu Hassan kwenye mitandao ya kijamii.

Makonda alitoa onyo kwa viongozi hao akisema kama wakiendelea atawataja hadharani na kwamba, hayuko tayari kuona Rais Samia akitukanwa.


Chanzo: Mwananchi online

Pia soma:
Hata safari ya mwisho ya mmoja aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CCM Bw. Horace Kolimba naye ilikuwa kama hivi hivi, aliitwa kama anavyoitwa huyu Paul Makonda.
 
Wajumlishe na udhalilishaji alioufanya kwa yule muhandisi wa TARURA kwenye clip inayotembea mtandaoni kwa sasa

Kule sio kumuwajibisha mtumishi, ule ni udhalilishaji wa wazi ningekuwa mimi ningetoka ukumbini halafua aagize askari wanikamate wanipeleke ndani kesi ianzie hapo

Kuna lugha za uongozi wenye mamlaka zisizohusisha dhihaka, CCM wanatakiwa wawafundishe vijana wao.
Uko sahihi mkuu! Hata mimi nisingekubali ujinga huo! Ningetoka hapo podium nione anachofanya!
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha , Ndugu Paulo Makonda ameitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi .

Ameelekezwa kufika kwenye Kamati hiyo , tarehe 22/04/2024

=====

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemuita Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kwenye Kamati ya Maadili.

Makonda anatarajiwa kufika mbele ya Kamati hiyo Jumatatu, Aprili 22, 2024 asubuhi na kukutana na wajumbe wa kamati hiyo.

Hata hivyo, Mwananchi inafahamu kuwa Makonda alitakiwa kufika mbele ya kamati hiyo Aprili 20, 2024 majira ya asubuhi, lakini haikuelezwa sababu za kusogezwa mbele.

Barua ya wito wa CCM kwa Makonda haikueleza sababu za kumuita huku ikieleza kwamba, kuna masuala mbalimbali kati yake na wajumbe wanakwenda kujadili.

Lakini, wito huo huenda unahusishwa na kauli ya Makonda aliyoitoa wakati wa kumbukumbu ya miaka 40 ya kifo cha Waziri mkuu wa zamani, Edward Sokoine iliyofanyika Monduli, Arusha ambako Makonda alidai kuwa viongozi wakiwemo mawaziri wamekuwa wakilipa watu kumtukana Rais Samia Suluhu Hassan kwenye mitandao ya kijamii.

Makonda alitoa onyo kwa viongozi hao akisema kama wakiendelea atawataja hadharani na kwamba, hayuko tayari kuona Rais Samia akitukanwa.


Chanzo: Mwananchi online

Pia soma:
Nilisema, huo mkoa aliopelekwa ndiyo mwisho wake. Ashukuru meisho wenyewe una unafika akiwa na uhai.
 
huyu kijana hafai kuwa kiongozi, alishawahi kuota mapembe Mungu akamshusha, hakujifunza, sasaivi amerudi na kiburi kilekile na kuaibisha watu wazima mbele za watu ili yeye apate credit. aonywaye mara nyingi na kushupaza shingo atavunjika na hata pata data. kwa kifupi, wakimuita kama watamrudisha au watamwondoa, ipo wazi, huyu ni kiongozi muonevu, kiongozi asiye na maadili na hafai kuongoza watu wazima. hata asipowajibishwa na ccm kuna siku Mungu atamwajibisha. aombe Mungu awajibishwe na ccm, manake akiwajibishwa na Mungu hawezi kustahimili kabisa.
Huyu mama naye sijui ni takataka ya wapi, hili jitu halifai hata kuongoza mtaa analing'ang'ania la nini? Halina maadili ya utumishi hata kidogo! Na linaonesha limetoka familia hohehahe sana!
 
Back
Top Bottom